Hata kama Mbowe akiwa Mwenyekiti na Lissu Mkurugenzi wa NEC Mnyika awe IGP bado CHADEMA ya sasa haishindi uchaguzi

Hata kama Mbowe akiwa Mwenyekiti na Lissu Mkurugenzi wa NEC Mnyika awe IGP bado CHADEMA ya sasa haishindi uchaguzi

Unataka kusema tungekua tumeendelea kama Amerika nchi isingekua na uchaguzi.Uchaguzi ni zaidi ya vitu na miundombinu ndo maana hata marekani kwenye huduma bora zakijamii bado vyama vinabadilishana hatamu za uongozi na kampeni wanapiga.sasa kama unafikiri ni miaka yote utaongelea kujenga barabara utakua uko nyuma ya wakati.Ata hivyo nafasi zakusimamia uchaguzi sio kumweka fulani ili ajipendelee au ampendelee mtu bali kusimamia haki ili wananchi wachague kwakilishi wao kwa haki.Kwahiyo anaweza akaa mbowe kwenye hiyo nafasi na bado akashindwa kwasababu atasimamia haki.Nyie majizi ya kura ndo mnaowaza kujipendelea na kupora haki za wananchi kwakuweka viongozi mnaowataka.Vyama vya upinzani lazima vijikite kwenye agenda ya katiba mpya kwasababu ndo agenda pekee itakayobadilisha hali za wananchi kwenye nyanja nyingi kuliko kuongelea shida za wananchi moja moja ambazo kamwe haziwezi kuisha kwenye aina ya mfumo wa uongozi uliopo hivi sasa.
Chadema inaitwa Chama Cha maendeleo ni maendeleo yapi labda? Mimi nilidhani labda maendeleo ya kujenga nchi?
 
Ukweli ni kwamba hali ya kisiasa ya sasa hapa nchini inakatisha tamaa sana.

Ukisoma maandiko mengi humu ndani ya wenye mrengo wa upinzani, wanailaumu ccm kuwadhoofisha huku wakisahau kwamba hakuna chama siasa chenye jukumu la kuruhusu chama pinzani kisitawi.

Ukiwa kama mpinzani unalazimika kutumia njia yoyote kuhakikisha chama chako kinavutia raia wa kawaida Kwa wingi, kikishaungwa mkono kiwango hicho hata mkiibiwa kura hao watu hawatakubali.

Hali tuliyonayo Kwa sasa hapa nchini tuna wapinzani dhaifu sana wanaonunulika wabinafsi wababe na wengi wao wako pale Kwa maslahi yao binafsi.

Katika mazingira ya namna hii hakuna mwamko mkubwa sana huku mtaani unaoleta kashkash kama za mwaka 2010 ambapo hata ccm wenyewe walikuwa wamejikatia tamaa.

Kwa sasa taifa linazungumzia kupanda Kwa gharama za maisha, ila wapinzani wamekomaa na tume huru mara uchaguzi huru mara katiba mpya nk.

Katika muktadha kama huo akija kinana akasema tunduma njia nne Bashe akaja na mbolea nusu bei Samia akaja na elimu bure hadi form six nk itakuwa ngumu sana raia kukuelewa mpinzani kuwa unapambana Kwa Kwa niaba ya mwananchi wa kawaida.

Naomba wapinzani tubadili namna ya kufanya siasa tufanye siasa zenye ushawishi kwa watu ili tuungwe mkono na ccm istaafishwe siasa.
Unaliambia sikio la kufa litakuelewa kweli!
 
CDM hata wakipewa hizi nyadhifa ni kweli Hawana guarantee ya kushinda uchaguzi kwa sababu SIYO MAJIZI YA KURA.
Kwa hiyo kama hawana uwezo wa kuiba kura wana mkakati gani kuhakikisha wanaingia ikulu au ndo wamejiandaa kutuletea ngonjera za kuibiwa kura?
 
Kwa hiyo wewe unadhani chadema wakipewa madaraka utaishi juu ya dollar moja Kwa siku Kwa mkakati upo na Kwa watendaji wapi? Hawa Hawa walioshindwa kuikuza chadema Toka wabunge 100++ Hadi mbunge mmoja?
Dikteta Magufuli ndiye aliyewapa Chadema mbunge moja na sio wananchi ila Mungu amelipa hiyo dhuluma yake.
 
Ukweli ni kwamba hali ya kisiasa ya sasa hapa nchini inakatisha tamaa sana.

Ukisoma maandiko mengi humu ndani ya wenye mrengo wa upinzani, wanailaumu ccm kuwadhoofisha huku wakisahau kwamba hakuna chama siasa chenye jukumu la kuruhusu chama pinzani kisitawi.

Ukiwa kama mpinzani unalazimika kutumia njia yoyote kuhakikisha chama chako kinavutia raia wa kawaida Kwa wingi, kikishaungwa mkono kiwango hicho hata mkiibiwa kura hao watu hawatakubali.

Hali tuliyonayo Kwa sasa hapa nchini tuna wapinzani dhaifu sana wanaonunulika wabinafsi wababe na wengi wao wako pale Kwa maslahi yao binafsi.

Katika mazingira ya namna hii hakuna mwamko mkubwa sana huku mtaani unaoleta kashkash kama za mwaka 2010 ambapo hata ccm wenyewe walikuwa wamejikatia tamaa.

Kwa sasa taifa linazungumzia kupanda Kwa gharama za maisha, ila wapinzani wamekomaa na tume huru mara uchaguzi huru mara katiba mpya nk.

Katika muktadha kama huo akija kinana akasema tunduma njia nne Bashe akaja na mbolea nusu bei Samia akaja na elimu bure hadi form six nk itakuwa ngumu sana raia kukuelewa mpinzani kuwa unapambana Kwa Kwa niaba ya mwananchi wa kawaida.

Naomba wapinzani tubadili namna ya kufanya siasa tufanye siasa zenye ushawishi kwa watu ili tuungwe mkono na ccm istaafishwe siasa.
Rubbish
 
Hatuipendi ccm pia hatuwachukii wapinzani wamefanya kazi kubwa wamehatariisha maisha Yao, wamefungwa , wamepigwa risasi,

Alafu ngedere moja inaandima upumbumbavu
 
Hakuna mpinzani Tanzania. Wote wanahongeka na kutulia tuli. Kama ulivyosema ni kwamba wapinzani hawajui waongee nini na wakati gani. Na pia chama kizima utakuta ni wasemaji tofauti kabisa na CCM. Huko CHADEMA utakuta viongozi karibu wote wanapost hovyo hovyo mambo yaliyopaswa yatolewe na msemaji wa chama au katibu mkuu. Kuongelea katiba mpya wakati watu wanawaza bei ya unga ni upumbavu usioelezeka. Kwenye uchaguzi wa Zambia Mzee HH alishinda kwa kuongelea mambo yanayomgusa mwananchi moja kwa moja ila wapinzani wetu wanaongelea mambo ambayo ni ngumu kueleweka.
 
Ukweli ni kwamba hali ya kisiasa ya sasa hapa nchini inakatisha tamaa sana.

Ukisoma maandiko mengi humu ndani ya wenye mrengo wa upinzani, wanailaumu ccm kuwadhoofisha huku wakisahau kwamba hakuna chama siasa chenye jukumu la kuruhusu chama pinzani kisitawi.

Ukiwa kama mpinzani unalazimika kutumia njia yoyote kuhakikisha chama chako kinavutia raia wa kawaida Kwa wingi, kikishaungwa mkono kiwango hicho hata mkiibiwa kura hao watu hawatakubali.

Hali tuliyonayo Kwa sasa hapa nchini tuna wapinzani dhaifu sana wanaonunulika wabinafsi wababe na wengi wao wako pale Kwa maslahi yao binafsi.

Katika mazingira ya namna hii hakuna mwamko mkubwa sana huku mtaani unaoleta kashkash kama za mwaka 2010 ambapo hata ccm wenyewe walikuwa wamejikatia tamaa.

Kwa sasa taifa linazungumzia kupanda Kwa gharama za maisha, ila wapinzani wamekomaa na tume huru mara uchaguzi huru mara katiba mpya nk.

Katika muktadha kama huo akija kinana akasema tunduma njia nne Bashe akaja na mbolea nusu bei Samia akaja na elimu bure hadi form six nk itakuwa ngumu sana raia kukuelewa mpinzani kuwa unapambana Kwa Kwa niaba ya mwananchi wa kawaida.

Naomba wapinzani tubadili namna ya kufanya siasa tufanye siasa zenye ushawishi kwa watu ili tuungwe mkono na ccm istaafishwe siasa.
Wapinzani hawawezi kushinda ila wanaweza punguza kura za ccm na hivyo ccm kushinda kwa margin ndogo..

Imagine wapinzani wanashindwa hadi kuweka mawakala na wagombea kwenye ngazi zote hata pale wanapoweka wanakuwa ni WA kukamilisha ikama tuu..
 
Sijasema waungaji mkono hawapo ninachosema ni kwamba hakuna upinzani wa kutosha kuleta kashkash Kwa sababu matendo ya viongozi wa upinzani yamechangia sana kuwavunja moyo waungaji mkono wa upinzani.
Matendo kama kuchukua wagombea toka ccm wapinzani walioaminiwa kuenda ccm kirahisi tu hii imewafanya raia wa kawaida walio wengi kuona ni kama upinzani ni kiini macho tu hakuna haja ya kuwa serious nao.

Kwani unaweza ukajitoa kumpigania mtu Kwa nguvu kiwango Cha kuhatarisha maisha yako lkn kufumba na kufumbua unakuta kateuliwa ukuuu wa wilaya huko ccm , au umepambana kwaajili ya mtu ghafla anatofautiana na mwenyekiti anafukuzwa uanachama bila vikao halali huku akiwa anapendwa bado.

Jambo lingine ni kwamba viongozi wa wapinzani wanawakamia sana watu wao hata Kwa makosa madogomadogo tu mtu anafukuzwa. haya yote yanafanya upinzani uonekane hauko serious kiviile
Walishanikera Sana na mimi,sitokuja kuhangaika na kampeni ya mtu unless na mimi niwe mnufaika hapo sawa..

Unfortunately na hii ndio mentality ya watu wengi kitaa..

Harafu hata kule wapinzani walishinda ni vile ccm haikuweka wagombea wanaokubalika zaidi.
 
Ukweli ni kwamba hali ya kisiasa ya sasa hapa nchini inakatisha tamaa sana.

Ukisoma maandiko mengi humu ndani ya wenye mrengo wa upinzani, wanailaumu ccm kuwadhoofisha huku wakisahau kwamba hakuna chama siasa chenye jukumu la kuruhusu chama pinzani kisitawi.

Ukiwa kama mpinzani unalazimika kutumia njia yoyote kuhakikisha chama chako kinavutia raia wa kawaida Kwa wingi, kikishaungwa mkono kiwango hicho hata mkiibiwa kura hao watu hawatakubali.

Hali tuliyonayo Kwa sasa hapa nchini tuna wapinzani dhaifu sana wanaonunulika wabinafsi wababe na wengi wao wako pale Kwa maslahi yao binafsi.

Katika mazingira ya namna hii hakuna mwamko mkubwa sana huku mtaani unaoleta kashkash kama za mwaka 2010 ambapo hata ccm wenyewe walikuwa wamejikatia tamaa.

Kwa sasa taifa linazungumzia kupanda Kwa gharama za maisha, ila wapinzani wamekomaa na tume huru mara uchaguzi huru mara katiba mpya nk.

Katika muktadha kama huo akija kinana akasema tunduma njia nne Bashe akaja na mbolea nusu bei Samia akaja na elimu bure hadi form six nk itakuwa ngumu sana raia kukuelewa mpinzani kuwa unapambana Kwa Kwa niaba ya mwananchi wa kawaida.

Naomba wapinzani tubadili namna ya kufanya siasa tufanye siasa zenye ushawishi kwa watu ili tuungwe mkono na ccm istaafishwe siasa.


Tatizo tunashinda kuongelea sinema ambazo hazipo wanzetu wanafanya demokrasia

Tatizo sio chama ni kufuata sheria kama wenzetu. Mtu unaapa kufuata sheria halafu wewe ndiyo unakuwa wa kwanza kuopindisha… Polisi ndiyo waiba kura…

Kenye imetupa aibu sana
 
CCM ina hofu tuu zisizo na msingi ila ukweli ni kwamba wapinzani hawawezi kushinda ikiwa ccm watawateua wagombea ambao wananchi na wanachama wao wanawapenda.

Huu ni ukweli mchungu.
 
Ukweli ni kwamba hali ya kisiasa ya sasa hapa nchini inakatisha tamaa sana.

Ukisoma maandiko mengi humu ndani ya wenye mrengo wa upinzani, wanailaumu ccm kuwadhoofisha huku wakisahau kwamba hakuna chama siasa chenye jukumu la kuruhusu chama pinzani kisitawi.

Ukiwa kama mpinzani unalazimika kutumia njia yoyote kuhakikisha chama chako kinavutia raia wa kawaida Kwa wingi, kikishaungwa mkono kiwango hicho hata mkiibiwa kura hao watu hawatakubali.

Hali tuliyonayo Kwa sasa hapa nchini tuna wapinzani dhaifu sana wanaonunulika wabinafsi wababe na wengi wao wako pale Kwa maslahi yao binafsi.

Katika mazingira ya namna hii hakuna mwamko mkubwa sana huku mtaani unaoleta kashkash kama za mwaka 2010 ambapo hata ccm wenyewe walikuwa wamejikatia tamaa.

Kwa sasa taifa linazungumzia kupanda Kwa gharama za maisha, ila wapinzani wamekomaa na tume huru mara uchaguzi huru mara katiba mpya nk.

Katika muktadha kama huo akija kinana akasema tunduma njia nne Bashe akaja na mbolea nusu bei Samia akaja na elimu bure hadi form six nk itakuwa ngumu sana raia kukuelewa mpinzani kuwa unapambana Kwa Kwa niaba ya mwananchi wa kawaida.

Naomba wapinzani tubadili namna ya kufanya siasa tufanye siasa zenye ushawishi kwa watu ili tuungwe mkono na ccm istaafishwe siasa.


Yaani lissu anaongelea usalama wake baada ya kupigwa risasi na wasiojulikana na yeye anasema ni serikali ya Magu…. Yaani mtu hata kuja Tanzania mpaka leo hana uhakika wa usalama wewe unaongelea chaguzi 😂 ni sawa na zile PHD za darasa la saba…
 
Ukweli ni kwamba hali ya kisiasa ya sasa hapa nchini inakatisha tamaa sana.

Ukisoma maandiko mengi humu ndani ya wenye mrengo wa upinzani, wanailaumu ccm kuwadhoofisha huku wakisahau kwamba hakuna chama siasa chenye jukumu la kuruhusu chama pinzani kisitawi.

Ukiwa kama mpinzani unalazimika kutumia njia yoyote kuhakikisha chama chako kinavutia raia wa kawaida Kwa wingi, kikishaungwa mkono kiwango hicho hata mkiibiwa kura hao watu hawatakubali.

Hali tuliyonayo Kwa sasa hapa nchini tuna wapinzani dhaifu sana wanaonunulika wabinafsi wababe na wengi wao wako pale Kwa maslahi yao binafsi.

Katika mazingira ya namna hii hakuna mwamko mkubwa sana huku mtaani unaoleta kashkash kama za mwaka 2010 ambapo hata ccm wenyewe walikuwa wamejikatia tamaa.

Kwa sasa taifa linazungumzia kupanda Kwa gharama za maisha, ila wapinzani wamekomaa na tume huru mara uchaguzi huru mara katiba mpya nk.

Katika muktadha kama huo akija kinana akasema tunduma njia nne Bashe akaja na mbolea nusu bei Samia akaja na elimu bure hadi form six nk itakuwa ngumu sana raia kukuelewa mpinzani kuwa unapambana Kwa Kwa niaba ya mwananchi wa kawaida.

Naomba wapinzani tubadili namna ya kufanya siasa tufanye siasa zenye ushawishi kwa watu ili tuungwe mkono na ccm istaafishwe siasa.
Sasa unategemea wenzio wakupiganie wewe huku wewe mwenyewe hujipiganii?
 
Maendeleo yapi hayo yamekuwa? Mbona mnakuwa wajinga kiwango cha kutisha? Yaani ujinga ni sehemu ya maisha yenu? Eti kwa sasa kuna maendeleo yapi?

Wao kwa viwango vyao haya ni bonge ya maendeleo, ndio maana wanaendelea kupora uchaguzi ili waendelee kuleta hivyo vihoja wanavyolazimisha kuwa ni maendeleo.
 
Ukweli ni kwamba hali ya kisiasa ya sasa hapa nchini inakatisha tamaa sana.

Ukisoma maandiko mengi humu ndani ya wenye mrengo wa upinzani, wanailaumu ccm kuwadhoofisha huku wakisahau kwamba hakuna chama siasa chenye jukumu la kuruhusu chama pinzani kisitawi.

Ukiwa kama mpinzani unalazimika kutumia njia yoyote kuhakikisha chama chako kinavutia raia wa kawaida Kwa wingi, kikishaungwa mkono kiwango hicho hata mkiibiwa kura hao watu hawatakubali.

Hali tuliyonayo Kwa sasa hapa nchini tuna wapinzani dhaifu sana wanaonunulika wabinafsi wababe na wengi wao wako pale Kwa maslahi yao binafsi.

Katika mazingira ya namna hii hakuna mwamko mkubwa sana huku mtaani unaoleta kashkash kama za mwaka 2010 ambapo hata ccm wenyewe walikuwa wamejikatia tamaa.

Kwa sasa taifa linazungumzia kupanda Kwa gharama za maisha, ila wapinzani wamekomaa na tume huru mara uchaguzi huru mara katiba mpya nk.

Katika muktadha kama huo akija kinana akasema tunduma njia nne Bashe akaja na mbolea nusu bei Samia akaja na elimu bure hadi form six nk itakuwa ngumu sana raia kukuelewa mpinzani kuwa unapambana Kwa Kwa niaba ya mwananchi wa kawaida.

Naomba wapinzani tubadili namna ya kufanya siasa tufanye siasa zenye ushawishi kwa watu ili tuungwe mkono na ccm istaafishwe siasa.
Umeandika upuuzi kamaulivyo mpuuzi
 
Wao upinzani strategies yao ni kuingia madarakani au kuitoa ccm na kukaa wao!
Engo wanayotumia ni kuwasadia wananchi wa kawaida kupata maendeleo, kwamba bila wao kuwapo madarakani maendeleo hayawezi kuja

Wakati fulani upinzani uliwahi kuwa na wabunge karibu 100 kwenye bunge lakini sio kwa wakati huo au wakati huu hayo maendeleo yamekua iwe kwenye taifa au sehemu za uwakilishi wao!

Msituletee majeshi huku ZANZIBAR wala Diwani Na usalama wake wasipige kambi hapa Mtoni Na Tume iwe huru , jawabu mtalipata
 
Back
Top Bottom