EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Haya ndio yanayokera wananchiNb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndio yanayokera wananchiNb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
Mama anachukiwa na majambazi ya Sukuma gang akina Sabaya, Makonda, Polepole, Mnyeti na wengineo wa namna hiyo! Mirija yao ya kufanya ujambazi na kukwapua hela za watanzania kwa kisingizio cha uzalendo fake imekatwa!! Ukitaka kujua hawa watu walikuwa majambazi angalia sababu walizotumia kumuondoa Prof Assad (Tena walimuondoa kwa kuivunja katiba mchanaa kweupe)Hakuna aliyekamilika chini ya Jua. Kwa kweli mimi naona Mama anafanya vizuri na kazi zinaonekana kufanyika bila kelele nyingiiii.. swala la machinga limefanyika vizuri sana bila kelele, washirika wetu wa maendeleo wamerudi na tunaona miradi ikitekelezwa kama ilivyopangwa. Ukweli usemwe na unafiki ujitenge..
Kwa hali ya kawaida kila binadamu anatamani kitu flani na sio rahisi kuwaridhisha watu wote kwa wakati mmoja, kwa maana hiyo pia mtu asitegemee mama akaonekana mzuri machoni pa wote. Wapo watakaomuona tofauti tu na ni mitazamao yao.
Ukichunguza vizuri utagundua kuwa wanaomtukana 'Mama' na dharau ni Al Mataga, sisi Wapinzani tumekuwa pamoja nae kuanzia aliposhika Madaraka hadi pale alipoiambia Dunia kupiti BBC kuwa Mbowe ni Gaidi na 'Wenzie' walishafungwa.Umeibuka utamaduni wa wengi pale inapotokea mada imuhusuyo mheshimiwa Rais Samia walio wengi wamekuwa wakimbeza na kujibu yamhusuyo pasi na staha.
Hakika hiyo tabia si ya kiuungwana na sote kwa umoja wetu tuikemee.
Samia ni dada,mama,shangazi lakini pia ni mke.Shime tusiutweze utu wake.
Na hata kama hana uwezo wa kuongoza kama Viongozi wengine waliopata kuwa lakini bado ni kiongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Nb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
Kwani Tundu Lisu yeye amamsemaje?Umeibuka utamaduni wa wengi pale inapotokea mada imuhusuyo mheshimiwa Rais Samia walio wengi wamekuwa wakimbeza na kujibu yamhusuyo pasi na staha.
Hakika hiyo tabia si ya kiuungwana na sote kwa umoja wetu tuikemee.
Samia ni dada,mama,shangazi lakini pia ni mke.Shime tusiutweze utu wake.
Na hata kama hana uwezo wa kuongoza kama Viongozi wengine waliopata kuwa lakini bado ni kiongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Nb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
Apandacho mtu ndicho avunacho. Maji hufuata mkondo. Ukiona mtu haheshimiwi jua kaanza kutojiheshimu mwenyewe. Wanaojiheahimu hawalazimishi kuheshimiwaUmeibuka utamaduni wa wengi pale inapotokea mada imuhusuyo mheshimiwa Rais Samia walio wengi wamekuwa wakimbeza na kujibu yamhusuyo pasi na staha.
Hakika hiyo tabia si ya kiuungwana na sote kwa umoja wetu tuikemee.
Samia ni dada,mama,shangazi lakini pia ni mke.Shime tusiutweze utu wake.
Na hata kama hana uwezo wa kuongoza kama Viongozi wengine waliopata kuwa lakini bado ni kiongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Nb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
Kuunga tela kwa yule bedui! Hapana.Imesha expire hiyo haiko kwenye chati tena wale waliokuwa wana mdhiaki "mungu wetu" sasa tunaimba nao wimbo mmoja bado wewe ndo hutaki kujifunza na kuelewa ila soon nawe utaunga tera.
Wapuuzi tuu wachache magenge ya sukuma gang na Chadomo gang ila wengi tunamkubali sanaUmeibuka utamaduni wa wengi pale inapotokea mada imuhusuyo mheshimiwa Rais Samia walio wengi wamekuwa wakimbeza na kujibu yamhusuyo pasi na staha.
Hakika hiyo tabia si ya kiuungwana na sote kwa umoja wetu tuikemee.
Samia ni dada,mama,shangazi lakini pia ni mke.Shime tusiutweze utu wake.
Na hata kama hana uwezo wa kuongoza kama Viongozi wengine waliopata kuwa lakini bado ni kiongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Nb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
Nimeona clip kwenye TV za taarifa za habari zinazozungumzia bandari ya bagamoyo:Umeibuka utamaduni wa wengi pale inapotokea mada imuhusuyo mheshimiwa Rais Samia walio wengi wamekuwa wakimbeza na kujibu yamhusuyo pasi na staha.
Hakika hiyo tabia si ya kiuungwana na sote kwa umoja wetu tuikemee.
Samia ni dada,mama,shangazi lakini pia ni mke.Shime tusiutweze utu wake.
Na hata kama hana uwezo wa kuongoza kama Viongozi wengine waliopata kuwa lakini bado ni kiongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Nb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
Kile cheti fake kilichopelekea ukafutwa kazi na Magufuli ulikipata wapi mwenzetu?!Mama anachukiwa na majambazi ya Sukuma gang akina Sabaya, Makonda, Polepole, Mnyeti na wengineo wa namna hiyo! Mirija yao ya kufanya ujambazi na kukwapua hela za watanzania kwa kisingizio cha uzalendo fake imekatwa!! Ukitaka kujua hawa watu walikuwa majambazi angalia sababu walizotumia kumuondoa Prof Assad (Tena walimuondoa kwa kuivunja katiba mchanaa kweupe)
Nani alikusudiwa tofauti na Hangaya?😲😲😲😲Mama ni ‘asante CDF'…. japo ni mweupe ila ni afadhali kuliko aliyekusudiwa.
Huyu aliingia kwenye siasa sio mam yangu Wala dada yangu, pamoja namheshimu Ila hawezi kuepuka kutukanwa au kupewa kejeli eti ni mama, mwanamke what the heck!!! Kwa hiyo wanaume wanasiasa ndio wapewe kejeli??? Ujinga mtupu.Umeibuka utamaduni wa wengi pale inapotokea mada imuhusuyo mheshimiwa Rais Samia walio wengi wamekuwa wakimbeza na kujibu yamhusuyo pasi na staha.
Hakika hiyo tabia si ya kiuungwana na sote kwa umoja wetu tuikemee.
Samia ni dada,mama,shangazi lakini pia ni mke.Shime tusiutweze utu wake.
Na hata kama hana uwezo wa kuongoza kama Viongozi wengine waliopata kuwa lakini bado ni kiongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Nb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
Huna lolote eti unamtetea wakati we ndo una chuki nae acha unafiki,,eti hata kama wengi hawamkubali!!! Eti hata kama hana uwezo kama viongozi waliopita!! Jipange 2030 si karibuUmeibuka utamaduni wa wengi pale inapotokea mada imuhusuyo mheshimiwa Rais Samia walio wengi wamekuwa wakimbeza na kujibu yamhusuyo pasi na staha.
Hakika hiyo tabia si ya kiuungwana na sote kwa umoja wetu tuikemee.
Samia ni dada,mama,shangazi lakini pia ni mke.Shime tusiutweze utu wake.
Na hata kama hana uwezo wa kuongoza kama Viongozi wengine waliopata kuwa lakini bado ni kiongozi wetu.
Mungu ibariki Tanzania.
Nb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
Hahaha, Huyo Magufuli mwenyewe alikuwa na Masters and PhD fake, angeanza kujifukuza mwenyewe ingekuwa poa zaidiKile cheti fake kilichopelekea ukafutwa kazi na Magufuli ulikipata wapi mwenzetu?!
We nae hebu vunga basi.Huna lolote eti unamtetea wakati we ndo una chuki nae acha unafiki,,eti hata kama wengi hawamkubali!!! Eti hata kama hana uwezo kama viongozi waliopita!! Jipange 2030 si karibu
Dawa ya moto ni motoNa Mbowe ana watoto na família kiujumla inamhitaji yeye sio aonewe kwasababu ya mitazamo tofauti na watawala.
Huyo Samia atakachokipanda ndicho atakachovuna na atakejeliwa bila ya kuangalia sura yake.
NdiyoUko sawa mwenyekiti haiwezekani sisi tunaoitwa sukuma gang na hao aliowateuwa tukavumilia kila aina ya matusi na kejeri na yeye ashindwe kuvumilia, avumilie tuu hamna namna.
Atulie na yeye sumu ipenyeSSH amewakumbatia Kigogo na Mange watu ambao walikuwa wanamtukana na kumdhihaki JPM kila kukicha, acha na yeye atukanwe tu.