Hata kama Rais Samia haumkubali, si sahihi kumpuuza na kumwandikia jumbe zisizo na staha

Hata kama Rais Samia haumkubali, si sahihi kumpuuza na kumwandikia jumbe zisizo na staha

Umesema kweli kabisa..nikiongozi wetu hatukatai ila ni incompetent leader..kiufupi tumepigwa..hata speech zake unaona kabisa hajiwezi huyu...makonda njoo uchukue nchi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hakuna aliyekamilika chini ya Jua. Kwa kweli mimi naona Mama anafanya vizuri na kazi zinaonekana kufanyika bila kelele nyingiiii.. swala la machinga limefanyika vizuri sana bila kelele, washirika wetu wa maendeleo wamerudi na tunaona miradi ikitekelezwa kama ilivyopangwa. Ukweli usemwe na unafiki ujitenge..
Kwa hali ya kawaida kila binadamu anatamani kitu flani na sio rahisi kuwaridhisha watu wote kwa wakati mmoja, kwa maana hiyo pia mtu asitegemee mama akaonekana mzuri machoni pa wote. Wapo watakaomuona tofauti tu na ni mitazamao yao.
Ni katika namna hio hio ambayo hamkuridhika na Magufuli ila sie tuliona anachapa kazi na zinaonekana
 
Kama humkubali ni wewe, Mimi namkubali kabisa, Mtu anayetutawala kufuata sheria na Katiba ndo kipimo cha kiongozi mzuri
Nanukuu maneno ya mwalimu Nyererer : Rais anayetawala bila kufuata katiba hatufai, haatufai kabisaaaa.

Sasa linganisha Mama SAMIA na hilo lipunguani lako nani ametia fora kwa kuvunja katiba?

Labda nikupe mifano michache:

1.Wabunge wa kuteuliwa katiba inasema ana uwezo wa kuteuwa wabunge kumi. Punguani lako halikuteuwa wabunge 11 mpaka lilivyoona limevunja katiba likatengua uteuzi wa Abdalla Possi

2. Hela za kodi zinazokusanywa na hazina matumizi yake yanaidhinishwa na Bunge kwa mjibu wa katiba, Punguani lako halikuwa linazigawa barabarani? Tena mleta mada ukome kabisa mwachae Rais wetu SSH atawale kufuata katiba.
▪︎ Ndiyo hivyo sasa aliwateua 11 na haukumfanya kitu, na hata sasa hauna cha kumfanya, utabaki kulialia tu mitandaoni.

▪︎ Hela aligawa kwa wananchi bila idhini ya Bunge and yet hauna chochote cha kumfanya, isipokuwa unaendelea kuteseka na chuki inayokutafuna kidogokidogo mpaka utakapokufa.

NB: Mwenzio amekufa akiwa na cheo namba moja kabisa nchini ambacho wewe hata ufanyaje utakaa ukisikie tu. Ni ushauri kwako ujikite kuitafutia familia yako mkate badala ya kuhangaika na marehemu.
 
Kwa nini Mbowe yuko gerezani?
Kama humkubali ni wewe, Mimi namkubali kabisa, Mtu anayetutawala kufuata sheria na Katiba ndo kipimo cha kiongozi mzuri
Nanukuu maneno ya mwalimu Nyererer : Rais anayetawala bila kufuata katiba hatufai, haatufai kabisaaaa.

Sasa linganisha Mama SAMIA na hilo lipunguani lako nani ametia fora kwa kuvunja katiba?

Labda nikupe mifano michache:

1.Wabunge wa kuteuliwa katiba inasema ana uwezo wa kuteuwa wabunge kumi. Punguani lako halikuteuwa wabunge 11 mpaka lilivyoona limevunja katiba likatengua uteuzi wa Abdalla Possi

2. Hela za kodi zinazokusanywa na hazina matumizi yake yanaidhinishwa na Bunge kwa mjibu wa katiba, Punguani lako halikuwa linazigawa barabarani? Tena mleta mada ukome kabisa mwachae Rais wetu SSH atawale kufuata katiba.
 
Hilo ni kundi la wajinga wachache wapuuze tu!
Pombe zikiwaishia kichwani wataacha!
 
Baadhi ya watanzania wame miss kuwekwa ndani wakikamatwa wawili ka sample utaona ukimya, ndio maana magufuli anakuwa anawanyoosha kwerikweri, in short watanzania majority hatuna jema,
 
Umeibuka utamaduni wa wengi pale inapotokea mada imuhusuyo mheshimiwa Rais Samia walio wengi wamekuwa wakimbeza na kujibu yamhusuyo pasi na staha.

Hakika hiyo tabia si ya kiuungwana na sote kwa umoja wetu tuikemee.

Samia ni dada,mama,shangazi lakini pia ni mke.Shime tusiutweze utu wake.

Na hata kama hana uwezo wa kuongoza kama Viongozi wengine waliopata kuwa lakini bado ni kiongozi wetu.

Mungu ibariki Tanzania.

Nb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!

Mkuu kwenye Nb:Sijakuelewa una Maana gani Au ulitaka Kumaanisha Nini?
 
Hata mwaka bado ,, mshatepeta,
Aachie tu wengine aende akalee ndoa yake ya mitala Makunduchi, na hakuna wala hatoona mtu anamsumbua.. hatuna shida na yeye nchi yetu lazima tutaipigania kwa wivu wetu wote. Hatutamuacha katu.
Tutapiga mpaka achakae..
 
Huyu mama anajitakia Mmbowe anashida gani mpk aendelee kuumfanyia hivyo.. Ngombe wakanywe wapi maji fedheha. Unanunua ndege badala ya kununua mtambo wa kuchenjua chumvi maji ya bahari watu wakanywa maji safi
 
Rais ni mkuu wa nchi
Nchi siyo kama vile familia yako unavyotaka wewe ndo ni amri
kweli kabisa inatoka rohoni kiongozi aliyepita awamu ya tano alikuwa hafai hafai hafai
CCM isituletee tena kiongozi kama huyo

Kwanza mama yake mzazi ndiye alikuwa wa kwanza kumtilia mashakaa eti mnampa urais huyo hivi mnamjua?
wa pili alikuwa Antony DIALLO wa Star TV hivi hamjui huyo anafaili milembe?
wa tatu alikuwa ni Zitto Kabwe baada ya kumwambia Mh Lihaga Mpina aliyekuwa ni waziri wa uvuvi enzi za awamu yake alisema wewe Mpina chapa kazi wewe ni kichaa kama mimi, Ndipo Mh. Zitto akasema sasa kuhangaika kupima itasaidia nini mbona mwenyewe kesha sema ni kichaa?
 
Umeibuka utamaduni wa wengi pale inapotokea mada imuhusuyo mheshimiwa Rais Samia walio wengi wamekuwa wakimbeza na kujibu yamhusuyo pasi na staha.

Hakika hiyo tabia si ya kiuungwana na sote kwa umoja wetu tuikemee.

Samia ni dada,mama,shangazi lakini pia ni mke.Shime tusiutweze utu wake.

Na hata kama hana uwezo wa kuongoza kama Viongozi wengine waliopata kuwa lakini bado ni kiongozi wetu.

Mungu ibariki Tanzania.

Nb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
Mfumo dume umeharibu akili yako. Aliyekwambia Samia hawezi kuongoza ni nani?. Ondoa dhana potofu kichwani mwako.
 
Back
Top Bottom