Hata kama Rais Samia haumkubali, si sahihi kumpuuza na kumwandikia jumbe zisizo na staha

Hata kama Rais Samia haumkubali, si sahihi kumpuuza na kumwandikia jumbe zisizo na staha

Umeibuka utamaduni wa wengi pale inapotokea mada imuhusuyo mheshimiwa Rais Samia walio wengi wamekuwa wakimbeza na kujibu yamhusuyo pasi na staha.

Hakika hiyo tabia si ya kiuungwana na sote kwa umoja wetu tuikemee.

Samia ni dada,mama,shangazi lakini pia ni mke.Shime tusiutweze utu wake.

Na hata kama hana uwezo wa kuongoza kama Viongozi wengine waliopata kuwa lakini bado ni kiongozi wetu.

Mungu ibariki Tanzania.

Nb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
Huo mstari wako wa mwisho unaudhi sana. Ungekuwa karibu nami ningekudhaba kibao, na hao wazungu wako ningewanywesha mkojo wako.

Sasa uniambie kama wewe unastahili kuambiwa hayo maneno niliyokuandikia hapa, kwa vile tu wewe sio Samia!

Hata sijui kama utanielewa. Potelea mbali, hiyo ni shauri yako!
 
Na Mbowe ana watoto na família kiujumla inamhitaji yeye sio aonewe kwasababu ya mitazamo tofauti na watawala.

Huyo Samia atakachokipanda ndicho atakachovuna na atakejeliwa bila ya kuangalia sura yake.
Ningeomba mleta mada aitolee maoni yake hii uliyoweka hapa, vinginevyo ni mnafiki mkubwa.
 
Kama humkubali ni wewe, Mimi namkubali kabisa, Mtu anayetutawala kufuata sheria na Katiba ndo kipimo cha kiongozi mzuri
Nanukuu maneno ya mwalimu Nyererer : Rais anayetawala bila kufuata katiba hatufai, haatufai kabisaaaa.

Sasa linganisha Mama SAMIA na hilo lipunguani lako nani ametia fora kwa kuvunja katiba?

Labda nikupe mifano michache:

1.Wabunge wa kuteuliwa katiba inasema ana uwezo wa kuteuwa wabunge kumi. Punguani lako halikuteuwa wabunge 11 mpaka lilivyoona limevunja katiba likatengua uteuzi wa Abdalla Possi

2. Hela za kodi zinazokusanywa na hazina matumizi yake yanaidhinishwa na Bunge kwa mjibu wa katiba, Punguani lako halikuwa linazigawa barabarani? Tena mleta mada ukome kabisa mwachae Rais wetu SSH atawale kufuata katiba.
[emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu, wewe ni wale wahanga wa vyeti feki? Au teteko? Au wa Morogoro road?

Hilo povu sio la nchi hii.
 
swala la machinga limefanyika vizuri sana bila kelele, washirika wetu wa maendeleo wamerudi na tunaona miradi ikitekelezwa kama ilivyopangwa. Ukweli usemwe na unafiki ujitenge..
Katika hili la machinga na mimi wanamwunga mkono kwa kweli! Mama yuko vizuri! Sasa hivi miji yetu inawakawaka! Yaani imependeza!
 
Umeibuka utamaduni wa wengi pale inapotokea mada imuhusuyo mheshimiwa Rais Samia walio wengi wamekuwa wakimbeza na kujibu yamhusuyo pasi na staha.

Hakika hiyo tabia si ya kiuungwana na sote kwa umoja wetu tuikemee.

Samia ni dada,mama,shangazi lakini pia ni mke.Shime tusiutweze utu wake.

Na hata kama hana uwezo wa kuongoza kama Viongozi wengine waliopata kuwa lakini bado ni kiongozi wetu.

Mungu ibariki Tanzania.

Nb: Gesi ya Mtwara wazungu walishafanyaga yao kitambo!
Naona wewe ndo unataka kuleta uchochozi Kati ya Rais na wananchi wake.
Bora hata ungesema kikund Cha watu wachache...., Badala yake unasema umeibuka utamaduni wa watu wengi kumbeza Rais!!!

Kwann wawe wengi wa kumbeza? Na si wachache? Kwan tukipiga kura, rais si anashinda kwa kura za watu wengi? Sasa Kama hao wengi ndo wanamkataa bas mwenyewe tatizo uenda analijuwa.

So wewe tulia kabisaaa, unavyozidi kuandika hv ndivyo na ss wengne tunafunguka macho.
 
Ndo mnaongozwa na mwanamke, na huyu tunae Hadi achoke kutuongoza.
#tanzaniayasamia
#superwoman

Huna ujualo, Bi. Tozo hagombei 2025 (Gazeti UHURU halikuongopa, lilitoa za ndani likakemewa)…. jiandae tu kushangilia tutayekuletea.
 
Watu wenye matatizo kwa kawaida hukosa adabu. Tuendele kutatua matatizo ya watu. Ajira, maji, umeme, makazi, haki, uhuru, masoko...

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Hata mwaka bado ,, mshatepeta,
Aachie tu wengine aende akalee ndoa yake ya mitala Makunduchi, na hakuna wala hatoona mtu anamsumbua.. hatuna shida na yeye nchi yetu lazima tutaipigania kwa wivu wetu wote. Hatutamuacha katu.
Tutapiga mpaka achakae..
Mtakufa na kinyongo chenu, hamna jeuri zaidi ya kujifariji kwa maneno matupu ya jamiiforum.
 
Huna ujualo, Bi. Tozo hagombei 2025 (Gazeti UHURU halikuongopa, lilitoa za ndani likakemewa)…. jiandae tu kushangilia tutayekuletea.
Nakuonea huruma unavyoteseka, mama mitano tena
 
Back
Top Bottom