Hata kutokee nini, sirudi kuweka makazi yangu Tanzania

Ukipambana wewe na hao primitive wenzako hapo Lumumba inatosha.
 
Ndugu yangu,your name is your name,tupeane mchongo upo chimbo gani,tutafiti uwezekano wa kuunga mguu,kucheck mafursa huko?
 
Usirudi tu maanake tunampango wa kuwarudisha tuliowatoa kwa vyeti feki,tunawapandisha mishahara na madaraja!
mkuu nukutoe kwa mada kidogo,
ni kweli wana mpango wa kuwarudisha wenye vyeti feki au unamjaza upepo huyu dogo tu hapa
 
mkuu nukutoe kwa mada kidogo,
ni kweli wana mpango wa kuwarudisha wenye vyeti feki au unamjaza upepo huyu dogo tu hapa
Mkuu uko nchi gani? Tunawarudisha na kuwalipa stahiki zao zote. Pesa ipo,tozo inatosha.
 
Huwezi amini wivu huleta chuki, na chuki ni jambo baya sana .. hakika nimeshuhudia kupitia hizi comment.

Mkuu upo sawa na mawazo yako yaheshimiwe..
Me nimeona umejaribu kuongea kwa uchungu kuhisu serikali na matumizi ya hovyo ya kodi za wananchi.. lakini naona watu wanakuattack wewe personally badala ya kujibu hoja..

Cha kushangaza wakishafanya matumizi ya hovyo anakuja kiongozi kuja kushangaa imekuwaje huu mradi umekuwa hivi ... mara imekuwaje mmejilipa posho kiasi hiki ... na bla bla kibao na hakuna litakalo fanyika..

Failed State!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…