my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
- Thread starter
- #61
Asa ulikua unatoa povu la nn 😂Bahat nzuri hata sikufahamu hiyo pesa yako ntaitaman vp?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asa ulikua unatoa povu la nn 😂Bahat nzuri hata sikufahamu hiyo pesa yako ntaitaman vp?
Asa we ktk akili yko mi nitakuja kuolewa Tz? Of course nitaolewa hku hkuTafuta bwana uolewe hukohuko limbukeni weye!
Najua. Help a brother outMimi sio kuwadi
Ukipambana wewe na hao primitive wenzako hapo Lumumba inatosha.Baki hukohuko utumwani ndugu yangu....si tunapambana kuijenga nchi yetu hivyo hivyo kibishi bishi...
Hata huko unakowasifia walipata taabu hivihivi babu na bibi zao kujenga nchi zao, unafikiri huko uliko mwaka 1820 hawakuwa maprimitive?.... primitive stages kila Taifa linapitia na limepitia na wananchi husika walipambana kuuondoa huo uprimitive sasa wewe umekuta mteremko huko watu wamepambana unafurahia matunda baada ya wewe nawe kupambana kuondoa uprimitive kwenye Taifa lako ili wajukuu zako wafurahie matunda....
tusipende sana kufurahia matunda na urithi wa wengine walioachiwa na mababu zao huku wenyewe tukikwepa majukumu yakujenga nchi kwa manufaa ya wajukuu zetu..... ndio wazungu wanatudharau tunavyoenda kwao na kuleta ujuaji...
Ndugu yangu,your name is your name,tupeane mchongo upo chimbo gani,tutafiti uwezekano wa kuunga mguu,kucheck mafursa huko?Hata siku wazazi wangu wakiamua kurudi Tanzania mimi siwez kurudi. Sirudi kamwe hata kutokee nini sirudi kuja kueka makaz yngu Tanzania.
Siwez kunufaisha watu wavivu, wajinga wasiofanya kazi km inavotakiwa ila kla mwisho wa mwezi kwa kutumia kodi yng wanavimbisha matumbo na familia zao kila sku.
Bora nionekane sio mzalendo lakini pesa yangu ina thamani kubwa sana haiwez kutumika kizembe. Pesa yangu hawezi kulipa watu wasiofaa kulipwa au kufanyiwa vtu vya kipumbavu vsiokua na manufaaa kwa raia wote wa Tanzania kwa pamoja. Pesa yangu sichumi kwenye mti hivo haiwezi kutumika kizembe tu.
Bora niendelee kunufaisha wazungu mana wao wanatumia vizuri kodi, kla siku maendeleo yanaonekana na mimi nanufaika na maendeleo hayo. Lakini sio serikali ya Tanzania na utumiaji wake wa hovo kodi za wananchi.
Kuna mda ukifika ntabadilisha kabsa uraia...👀
mkuu nukutoe kwa mada kidogo,Usirudi tu maanake tunampango wa kuwarudisha tuliowatoa kwa vyeti feki,tunawapandisha mishahara na madaraja!
mkuu nukutoe kwa mada kidogo,
ni kweli wana mpango wa kuwarudisha wenye vyeti feki au unamjaza upepo huyu dogo tu hapa
Mkuu uko nchi gani? Tunawarudisha na kuwalipa stahiki zao zote. Pesa ipo,tozo inatosha.mkuu nukutoe kwa mada kidogo,
ni kweli wana mpango wa kuwarudisha wenye vyeti feki au unamjaza upepo huyu dogo tu hapa
wamerudishwa wangapi? mbona bado tunapigana nao vikumbo huku mtaani, alafu na mimi ni muhanga lakini sijarudi mpaka sasaWamerudishwa
kumbe wanarudi kwa nguvu za tozo 😂😂😂Mkuu uko nchi gani? Tunawarudisha na kuwalipa stahiki zao zote. Pesa ipo,tozo inatosha.
wamerudishwa wangapi? mbona bado tunapigana nao vikumbo huku mtaani, alafu na mimi ni muhanga lakini sijarudi mpaka sasa