Hata Manara angekuwa balozi wa Mohammed Enterprises, Mo asingepata faida

Hata Manara angekuwa balozi wa Mohammed Enterprises, Mo asingepata faida

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Sina nia mbaya na brand ya Mo ila najaribu kusema tu hata Manara angekuwa anatangaza biashara za huyu Mdosi bado hali ingekuwa mbaya tu sababu tatizo sio ubalozi bali ni ubunifu.

Azam ni mbunifu sana ameajiri wataalamu na washauri wa biashara kitu ambacho Mo hana. Mo anatembelea nyota ya azam, anasubiri azam atoe yeye akatoe kopi sa atapataje pesa?

Biashara pekee inayompa Mo faida ni Mo extra tu tena sababu tunakunywa sisi mashabiki wa Simba.

Aje mtu ananimbie Mo aliwahi kubuni biashara gani ikawa mpya sokoni?

Fursa ziko nyingi, aanze hata na juisi ya muwa huenda ikampa faida.

Mimi ni 🦁 lakini Mo ana roho ya kihindi sana.
 
Uchawi wangu nini? Mimi nimechukia jinsi anavyojiona tajiri kumbe muhuni tu
Naunga mkono hoja, Azam kuna ubunifu wa kiwango fulani hivi fikiria ile huduma yao ya sarafu. Ile ni namna nzuri ya kupata wateja, kingine Azam anazipa promo sana bidhaa zake, la mwisho kama uko na picha ya tajiri wa Azam iweke Mo zake zipo kila mahali
 
Naunga mkono hoja, Azam kuna ubunifu wa kiwango fulani hivi fikiria ile huduma yao ya sarafu. Ile ni namna nzuri ya kupata wateja, kingine Azam anazipa promo sana bidhaa zake, la mwisho kama uko na picha ya tajiri wa Azam iweke Mo zake zipo kila mahali
Tajiri anatafuta umaarufu kwenye instagram? Haimaanishi asiwepo ila ana uhindi mwingi
 
Waswahili wa Kariakoo si watu wazuri. Unachomzd Mo labda uchawi tu
Huo ndio ukweli mtupu, Mo hana ubunifu katika ubora wa bidhaa zake na ndio maana hata sokoni hazifanyi vizuri kulingana na azam!!

Mfano wewe ulishawahi kuona wapi maji ya chupa unatumia mifuniko mieusi? Kweli hili nimeliona kwa mo kwenye maji ya masafi, sijui kama bado anatumia mifuniko hiyo!!

Mwaka jana alipigwa faini kwa kujaribu kutumia jina la biasahara la sabuni moja nadhani ya Kenya! KLEAN SOFT, alipoona ina soko sana akatoa herufi kadhaa hapo, kwenye kuandikwa ni tofauti lakini kwenye matamshi ni kama sawa!!

Nenda kwenye juice huko ndio shida, azam akiingiza bidhaa mpya naye anaibuka nayo ila kinachomshinda ni taste, mwenzake anatumia asilimia kubwa matunda halisi, yeye asilimia 100, anatumia ya viwandani!!

Labda ubunifu wake ni ule wa yale MAGUTA, yanayopiga kelele mji mzima, kama jenereta za meli.
 
Huo ndio ukweli mtupu, Mo hana ubunifu katika ubora wa bidhaa zake, na ndio maana hata sokoni hazifanyi vizuri kulingana na azam!!mfano wewe ulishawahi kuona wapi maji ya chupa unatumia mifuniko mieusi?kweli hili nimeliona kwa mo kwenye maji ya masafi, sijui kama bado anatumia mifuniko hiyo!!mwaka jana alipigwa faini kwa kujaribu kutumia jina la biasahara la sabuni moja nadhani ya kenya!KLEAN SOFT, alipoona inasoko sana akatoa herufi kadhaa hapo, kwenye kuandikwa ni tofauti lakini kwenye matamshi ni kama sawa!!nenda kwenye juice huko ndio shida, azam akiingiza bidhaa mpya naye anaibuka nayo ila kinachomshinda ni taste, mwenzake anatumia asilimia kubwa matunda halisi, yeye asilimia 100, anatumia ya viwandani!!labda ubunifu wake ni ule wa yale MAGUTA, yanayopiga kelele mji mzima, kama jenereta za meli.
🤣🤣🤣🤣 Bidhaa zake zote kakop na kupest, mahakamani ana kakesi kibao ya kibiashara
 
Wizara ya afya izingatie Sana hali zetu zaafya ya akili.

Mtu Kama moo asiwe ameajiri wataalum nawashauri wakibishiara kweli??

Moo anaexport korosho, mkonge in large scale, Kama kweli anaweza kulima maelfu ya Hector za mkonge nakuuza matons ya korosho bila kua nawatalam wakibiashara basi jamaa binge la genius
 
Mtu hata uhakika wa kula huna unamtukana Mo Dewji.

Kwa taarifa yako Mo Dewji kaajiri wafanyakazi 26,000. Baba yako na mama yako hata housegirl tu wameshindwa kuajiri.
Hatujakataa, pamoja na kuajiri wote hao bado alazimishe watu wamfagilie yeye na sio Manara, why?

Mwamedi kazingua aisee, hela ipo ila hana decency!
 
Wizara ya afya izingatie Sana hali zetu zaafya ya akili.

Mtu Kama moo asiwe ameajiri wataalum nawashauri wakibishiara kweli??
Moo anaexport korosho, mkonge in large scale, Kama kweli anaweza kulima maelfu ya Hector za mkonge nakuuza matons ya korosho bila kua nawatalam wakibiashara basi jamaa binge la genius
Yaani ww ni bure kabisa, unalinganisha mtaalamu wa mkonge na na wa soda? Chakula cha binadamu?? Una akili timamu kweli wewe?
 
Hatujakataa,pamoja na kuajiri wote hao bado alazimishe watu wamfagilie yeye na sio manara,why?
Mwamedi kazingua aisee,ela ipo ila hana decency!
Kabisa mkuu, huyu jamaa namkubali pale Simba ila nikijiweka nafasi ya Manara namkataa, hafai sio binadamu huyu
 
Sina nia mbaya na brand ya Mo ila najaribu kusema tu hata Manara angekuwa anatangaza biashara za huyu Mdosi bado hali ingekuwa mbaya tu sababu tatizo sio ubalozi bali ni ubunifu.

Azam ni mbunifu sana ameajiri wataalamu na washauri wa biashara kitu ambacho Mo hana. Mo anatembelea nyota ya azam, anasubiri azam atoe yeye akatoe kopi sa atapataje pesa?

Biashara pekee inayompa Mo faida ni Mo extra tu tena sababu tunakunywa sisi mashabiki wa Simba.

Aje mtu ananimbie Mo aliwahi kubuni biashara gani ikawa mpya sokoni?

Fursa ziko nyingi, aanze hata na juisi ya muwa huenda ikampa faida.

Mimi ni 🦁 lakini Mo ana roho ya kihindi sana.
Nimeona Mo anshambuliwa sana. Amenza kushambuliwa na Manara lakini baadae naona watu wa insta mpaka Mange nao wameunga mkono katika mashambulizi.

Jambo moja ni kuwa Mo ni mfanyabiashara na pamoja na mapenzi yake kwa simba bado asili ya mfanyabiashara kulenga faida ipo.

Unapowekeza 20b kisha kuna mtu anataka kuvuruga ina maana anahatarisha uwekezaji wako, hakuna tajiri atakayekubali hilo.

Azam walirusha mahojiano ya Manara na Mo lakini pia Azam na Mo ni washindani wa kibiashara (????).

Kwa muda Manara atapata sifa na umaarufu kwa alichokifanya lakini kwa muda mfupi sana na baada ya hapo atapotea kabisa.
 
Mtu hata uhakika wa kula huna unamtukana Mo Dewji.

Kwa taarifa yako Mo Dewji kaajiri wafanyakazi 26,000. Baba yako na mama yako hata housegirl tu wameshindwa kuajiri.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Yani ww ni bure kabisa,unalinganisha mtaalamu wa mkonge na na wa soda? Chakula cha binadamu?? Una akili timamu kweli wewe?
Unaleta ujuaji tuu, wote wawili hakuna anaetengeneza soda. Moo anaexport 15% ya chai yote inayoenda Ulaya kutoka Tanzania, unahisi ni biashara nyepesi kma kukata gogo?? Mnakula nini mpaka kufikia level hio ya ujinga?
 
Back
Top Bottom