Hata Manara angekuwa balozi wa Mohammed Enterprises, Mo asingepata faida

Hata Manara angekuwa balozi wa Mohammed Enterprises, Mo asingepata faida

Sina chuki na Mo na nipo upande wake,ila kwenye swala la ubinifu nakuunga mkono mtoa mada.hata Mo kusemwa kuwa ni tajiri zaidi ya Backhresa linanitia mshaka makubwa.
Bakhressa ni tajili ila bado hajamfikia MO! Kwasababu zifuatazo: MO anazalisha na kusafilisha asilimia 16 ya chai yote inayouzwa nje,ndie muuzaji wa korosho number moja nje ya nchi, ndie mzalishaji wa katani number moja hapa bongo, ana kampuni kubwa ya kusambaza mafuta ya petrol africa mashariki,ana viwanda vitatu vikubwa vya kuzalisha vitenge,kanga mashati,
Ana kampuni ya vifaa vya electronic ya MOelect,ni msambazaji wa bidhaa za LG Africa mashariki,ni msambazaji wa bidhaa za Bajaji Africa mashariki,
Anamiliki kampuni ya africarry ambao ndio wanaouza mabasi ya Eicher hapa bongo, ana kampuni ya Aone wazalishaji wa vinywaji baridi,na kampuni ya maisha bottles nao ni wazalishaji wa vinywaji baridi pia,ana kampuni ya kuuza matrekta africa mashariki,ni mmoja wa wasambazaji na wauzaji wa mbolea Africa mashariki,ana kampuni ya usagishaji ya sembe,ngano,ndie muagizaji mkubwa wa mafuta ya kula hapa nchini, bado ndie anaenunua sukari asilimia 70 ya viwanda vya mtibwa na kiwanda cha sukari Moshi, Moshi anauza betri,viberiti,tambi za kula,pipi biscuits ana kampuni ya bima nk ukisikia forbers wana mtaja mtu kuwa ana pesa,ujue hawapepesi macho.
 
Bakhressa ni tajili ila bado hajamfikia MO! Kwasababu zifuatazo: MO anazalisha na kusafilisha asilimia 16 ya chai yote inayouzwa nje,ndie muuzaji wa korosho number moja nje ya nchi, ndie mzalishaji wa katani number moja hapa bongo, ana kampuni kubwa ya kusambaza mafuta ya petrol africa mashariki,ana viwanda vitatu vikubwa vya kuzalisha vitenge,kanga mashati,
Ana kampuni ya vifaa vya electronic ya MOelect,ni msambazaji wa bidhaa za LG Africa mashariki,ni msambazaji wa bidhaa za Bajaji Africa mashariki,
Anamiliki kampuni ya africarry ambao ndio wanaouza mabasi ya Eicher hapa bongo, ana kampuni ya Aone wazalishaji wa vinywaji baridi,na kampuni ya maisha bottles nao ni wazalishaji wa vinywaji baridi pia,ana kampuni ya kuuza matrekta africa mashariki,ni mmoja wa wasambazaji na wauzaji wa mbolea Africa mashariki,ana kampuni ya usagishaji ya sembe,ngano,ndie muagizaji mkubwa wa mafuta ya kula hapa nchini, bado ndie anaenunua sukari asilimia 70 ya viwanda vya mtibwa na kiwanda cha sukari Moshi, Moshi anauza betri,viberiti,tambi za kula,pipi biscuits ana kampuni ya bima nk ukisikia forbers wana mtaja mtu kuwa ana pesa,ujue hawapepesi macho.
Dah ee bhana mengineyo ila umenijuza mkuu
 
Pamoja na uwekezaji huo bado anashida insta kujibishana na watoto tena maskini? Huo uwekezaji tunaanzaje kuamini zaidi ya ujanja ujanja tu.
Elon musk amewahi kuwa tajiri namba 1 duniani lakini kila siku Yuko twitter , nenda kaone anavyovipost tweeter
 
Mtu hata uhakika wa kula huna unamtukana Mo Dewji.

Kwa taarifa yako Mo Dewji kaajiri wafanyakazi 26,000. Baba yako na mama yako hata housegirl tu wameshindwa kuajiri.
Mo sisi [emoji173]sana fanya kazi kaka pambana sana sana
Acha na awa wafia matumbo ambao hawaijui ata kesho yake
 
Sina nia mbaya na brand ya Mo ila najaribu kusema tu hata Manara angekuwa anatangaza biashara za huyu Mdosi bado hali ingekuwa mbaya tu sababu tatizo sio ubalozi bali ni ubunifu.

Azam ni mbunifu sana ameajiri wataalamu na washauri wa biashara kitu ambacho Mo hana. Mo anatembelea nyota ya azam, anasubiri azam atoe yeye akatoe kopi sa atapataje pesa?

Biashara pekee inayompa Mo faida ni Mo extra tu tena sababu tunakunywa sisi mashabiki wa Simba.

Aje mtu ananimbie Mo aliwahi kubuni biashara gani ikawa mpya sokoni?

Fursa ziko nyingi, aanze hata na juisi ya muwa huenda ikampa faida.

Mimi ni [emoji881] lakini Mo ana roho ya kihindi sana.
Wewe jamaa ni mswahili sana
Ungeuliza basi kuwa Mo anfanya biashara gani mpaka anakuwa na mkwanja wa kutambulika Afrika?
Unaongea vitu vya ajabuajabu eti Mo anamuiga Azam!
Siku nyingine uliza kabla haujautambulisha uswahili wako hapa jf.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wewe jamaa ni mswahili sana
Ungeuliza basi kuwa Mo anfanya biashara gani mpaka anakuwa na mkwanja wa kutambulika Afrika?
Unaongea vitu vya ajabuajabu eti Mo anamuiga Azam!
Siku nyingine uliza kabla haujautambulisha uswahili wako hapa jf.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nitajie bidhaa mpya ya Mo?
 
Utajiri unapimwa kwa kulipa kodi ya serekali. TRA ndio wanajua sio nyie masikini wa kutupwa
 
Naunga mkono hoja, Azam kuna ubunifu wa kiwango fulani hivi fikiria ile huduma yao ya sarafu. Ile ni namna nzuri ya kupata wateja, kingine Azam anazipa promo sana bidhaa zake, la mwisho kama uko na picha ya tajiri wa Azam iweke Mo zake zipo kila mahali
Huduma ya sarafu usiisifie sana,kama na matajiri wengine wakiiga basi maduka ya jumla ya mitaani yataenda kufa.
 
Huduma ya sarafu usiisifie sana,kama na matajiri wengine wakiiga basi maduka ya jumla ya mitaani yataenda kufa.
Hapana hayawezi kufa kinachotakiwa ni ubunifu zaidi ya hapo. Kuna bidhaa nyingine sarafu hana unazipata kwenye maduka ya jumla, tusiogope challenge tukabiliane nazo kwa kuumiza vichwa.
 
Hapana hayawezi kufa kinachotakiwa ni ubunifu zaidi ya hapo. Kuna bidhaa nyingine sarafu hana unazipata kwenye maduka ya jumla, tusiogope challenge tukabiliane nazo kwa kuumiza vichwa.
Asante sana mkuu,watz tunashindwa kufanikiwa kwa kuogopa challenge
 
Back
Top Bottom