Hata Manara angekuwa balozi wa Mohammed Enterprises, Mo asingepata faida

Hata Manara angekuwa balozi wa Mohammed Enterprises, Mo asingepata faida

Ww unamjua anaeshindana nae kwenye sekta hizo??
Yeye ndo kimara kwenye hizo sekta zamazao yabiashara tz kwenye mkonge pekeake anamiliki Hector 90,000, unajua heka 1 inatoa kias gani chamkonge???
Unaijua bei ya kilo 1 yamkonge kwenye soko ladunia??

3 bora yamazao yakilimo ya biashara yanaipatia tz fedha zakigeni ni korosho chai na mkonge, kwa afrika nzima tz ndoinaongoza kuuza mkonge dunian namoo anaweza kuwepo kwenye 5 bora ya supplier wa mkonge kutoka Africa. Kama unahis Hana wataalam nawashauri wabiashara ujue ww nikichaa
Acha kujitoa ufahamu! Watu wamezungumzia bidhaa za viwandani tunazoingiza mdomoni! Watu wamezungumzia bidhaa ambazo Mo na Azam wanazalisha! Wengine wametaja hadi bidhaa husika kama vile maji na juice! Sasa wewe umekomaa mara mkonge, mara chai!! Ukweli mchungu unaojaribu kutaka kupindisha ndo huo kwamba bidhaa karibu zote za Mo ni copy and paste ya bidhaa za Azam lakini bado bidhaa za Azam zinaendelea kuwa bora. Kwa lengo la kujaribu kum-win aliyem-copy, anachofanya Mo ni kuongeza ujazo lakini bado mtu kama mimi nipo tayari kulipa bei kubwa kwa Azam Energy yenye ujazo mdogo kuliko kulipa bei ndogo kwa Mo Energy yenye ujazo mkubwa.
 
Mtu hata uhakika wa kula huna unamtukana Mo Dewji.

Kwa taarifa yako Mo Dewji kaajiri wafanyakazi 26,000. Baba yako na mama yako hata housegirl tu wameshindwa kuajiri.
This is not true!!! Sio Kila anachokisema ni lazima uamini ,mo ni attention seeker tu!!! ana kauli kubwa kuliko vitendo!!! Uwekezaji anaoufanya aufanye ila awaheshimu wanasimba!! Mfano alichofanya Leo kwa Chama si sahihi na kwa mazingira yoyote inanipa picha kuwa mchezaji yoyote ambaye alikuwa na ukaribu/maelewano mazuri na Manara leo hii ni lazima ataonekana mbaya mbele ya Mo.
 
Acha kujitoa ufahamu! Watu wamezungumzia bidhaa za viwandani tunazoingiza mdomoni! Watu wamezungumzia bidhaa ambazo Mo na Azam wanazalisha! Wengine wametaja hadi bidhaa husika kama vile maji na juice! Sasa wewe umekomaa mara mkonge, mara chai!! Ukweli mchungu unaojaribu kutaka kupindisha ndo huo kwamba bidhaa karibu zote za Mo ni copy and paste ya bidhaa za Azam lakini bado bidhaa za Azam zinaendelea kuwa bora. Kwa lengo la kujaribu kum-win aliyem-copy, anachofanya Mo ni kuongeza ujazo lakini bado mtu kama mimi nipo tayari kulipa bei kubwa kwa Azam Energy yenye ujazo mdogo kuliko kulipa bei ndogo kwa Mo Energy yenye ujazo mkubwa.
Ujazo mkubwa lakini hakuna kitu 😆😆
 
Hata watu wa graphics tu kwenye bidhaa zake sijui ni wahindi!Hajui mwinekano wa bidhaa una nafasi nzuri sana kuitangaza.

Aache ubahili aajiri wazungu wamfanyie vitu vizuri kuliko hawa wahindi wake.

Sie wabongo tungeweza kuomba hizo nafasi ila wengi si wabunifu,wabishi kukosolewa,na watu tunaoridhika na kipato kidogo
Sina nia mbaya na brand ya Mo ila najaribu kusema tu hata Manara angekuwa anatangaza biashara za huyu Mdosi bado hali ingekuwa mbaya tu sababu tatizo sio ubalozi bali ni ubunifu.

Azam ni mbunifu sana ameajiri wataalamu na washauri wa biashara kitu ambacho Mo hana. Mo anatembelea nyota ya azam, anasubiri azam atoe yeye akatoe kopi sa atapataje pesa?

Biashara pekee inayompa Mo faida ni Mo extra tu tena sababu tunakunywa sisi mashabiki wa Simba.

Aje mtu ananimbie Mo aliwahi kubuni biashara gani ikawa mpya sokoni?

Fursa ziko nyingi, aanze hata na juisi ya muwa huenda ikampa faida.

Mimi ni [emoji881] lakini Mo ana roho ya kihindi sana.
 
Kuna yale mengine yana harufu kalii, anayaita MO pineapple na portelo.

Kama perfume za kwenye fridge.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji23]ila nyinyi Mna maneno jmn eti mwingine maguta yake yanapiga kelele Kama jenereta za meli![emoji28][emoji28]
 
Tupate wadhamini kidogo [emoji2][emoji2]
Screenshot_2021-08-09-00-54-30-1.jpg
 
Mo mjanja mjanja lakini alimzidi ujanja azam kwenye Mo xtra.
Kama Mo xra ikiwekwa sumu basi nusu ya vijana tz wanakufa.
 
Hata watu wa graphics tu kwenye bidhaa zake sijui ni wahindi!Hajui mwinekano wa bidhaa una nafasi nzuri sana kuitangaza.

Aache ubahili aajiri wazungu wamfanyie vitu vizuri kuliko hawa wahindi wake.

Sie wabongo tungeweza kuomba hizo nafasi ila wengi si wabunifu,wabishi kukosolewa,na watu tunaoridhika na kipato kidogo
Kabisa mkuu,umeongea powa sana, unaweza leo mo extra ipo kwenye chupa fupi kesho ipo kwenye chupa ndefu,yan utadhani anaokota hizo chupa,pia hazina mvuto kabisa yan sio mbunifu kabisa kabida,hana washauri
 
Kabisa mkuu,umeongea powa sana, unaweza leo mo extra ipo kwenye chupa fupi kesho ipo kwenye chupa ndefu,yan utadhani anaokota hizo chupa,pia hazina mvuto kabisa yan sio mbunifu kabisa kabida,hana washauri
Watakuwepo ila hakuna morali.
 
Uchawi wangu nini? Mimi nimechukia jinsi anavyojiona tajiri kumbe muhuni tu
Ndugu umeongea hilo linalokupinga halina linachojua zaidi ya kuwa shabiki wa simba tu mala nyingi mijitu km hio hata umwambie mo anadhulumu haki za wanyonge atakataa atakwambia mo mzuri kisa simba. Mipumbavu sana
 
Huo ndio ukweli mtupu, Mo hana ubunifu katika ubora wa bidhaa zake na ndio maana hata sokoni hazifanyi vizuri kulingana na azam!!

Mfano wewe ulishawahi kuona wapi maji ya chupa unatumia mifuniko mieusi? Kweli hili nimeliona kwa mo kwenye maji ya masafi, sijui kama bado anatumia mifuniko hiyo!!

Mwaka jana alipigwa faini kwa kujaribu kutumia jina la biasahara la sabuni moja nadhani ya Kenya! KLEAN SOFT, alipoona ina soko sana akatoa herufi kadhaa hapo, kwenye kuandikwa ni tofauti lakini kwenye matamshi ni kama sawa!!

Nenda kwenye juice huko ndio shida, azam akiingiza bidhaa mpya naye anaibuka nayo ila kinachomshinda ni taste, mwenzake anatumia asilimia kubwa matunda halisi, yeye asilimia 100, anatumia ya viwandani!!

Labda ubunifu wake ni ule wa yale MAGUTA, yanayopiga kelele mji mzima, kama jenereta za meli.
Tuseme yote uliyosema yapo sahihi. Wewe na mumeo umezalisha bidhaa gani kwa miaka 10 iliyopita?
 
Unaleta ujuaji tuu, wote wawili hakuna anaetengeneza soda. Moo anaexport 15% ya chai yote inayoenda Ulaya kutoka Tanzania, unahisi ni biashara nyepesi kma kukata gogo?? Mnakula nini mpaka kufikia level hio ya ujinga?
Wanakula mavi hao.
 
Sina chuki na Mo na nipo upande wake,ila kwenye swala la ubinifu nakuunga mkono mtoa mada.hata Mo kusemwa kuwa ni tajiri zaidi ya Backhresa linanitia mshaka makubwa.
 
Hata watu wa graphics tu kwenye bidhaa zake sijui ni wahindi!Hajui mwinekano wa bidhaa una nafasi nzuri sana kuitangaza.

Aache ubahili aajiri wazungu wamfanyie vitu vizuri kuliko hawa wahindi wake.

Sie wabongo tungeweza kuomba hizo nafasi ila wengi si wabunifu,wabishi kukosolewa,na watu tunaoridhika na kipato kidogo
Mbona wanaofanya graphics Azam ni waTanzania?
 
Mtu hata uhakika wa kula huna unamtukana Mo Dewji.

Kwa taarifa yako Mo Dewji kaajiri wafanyakazi 26,000. Baba yako na mama yako hata housegirl tu wameshindwa kuajiri.
Hao wafanyakazi 26,000 anawalipa kima cha chini mshahara wa shilingi ngapi?
 
Tuseme yote uliyosema yapo sahihi. Wewe na mumeo umezalisha bidhaa gani kwa miaka 10 iliyopita?
Nyie ndio mnafanya watanzania tudharauliwe nje kwa uoumbavu huu
 
Sina chuki na Mo na nipo upande wake,ila kwenye swala la ubinifu nakuunga mkono mtoa mada.hata Mo kusemwa kuwa ni tajiri zaidi ya Backhresa linanitia mshaka makubwa.
Hata mm huwa nashangaa sana,au labda ni upande wa vijana
 
Sina nia mbaya na brand ya Mo ila najaribu kusema tu hata Manara angekuwa anatangaza biashara za huyu Mdosi bado hali ingekuwa mbaya tu sababu tatizo sio ubalozi bali ni ubunifu.

Azam ni mbunifu sana ameajiri wataalamu na washauri wa biashara kitu ambacho Mo hana. Mo anatembelea nyota ya azam, anasubiri azam atoe yeye akatoe kopi sa atapataje pesa?

Biashara pekee inayompa Mo faida ni Mo extra tu tena sababu tunakunywa sisi mashabiki wa Simba.

Aje mtu ananimbie Mo aliwahi kubuni biashara gani ikawa mpya sokoni?

Fursa ziko nyingi, aanze hata na juisi ya muwa huenda ikampa faida.

Mimi ni 🦁 lakini Mo ana roho ya kihindi sana.
Mkuu kwenye ulimwengu wa Biashara kuna mengi.Hivi Azam angeshindwa kumshitaki Mo kwa anachofanya? wewe wa Mbande uwe na uchungu kuliko Azam?Bakheresa na Mo wanajuana wanakaa meza moja.Nyie wapiga zumari wa Mitandaoni mkilala mkiamka Mo Mo Mo alafu mchana unakula mama n'tilie unashushia Maji ya Masafi ukisindikiza na Mo energy.
 
Back
Top Bottom