Hata Manara angekuwa balozi wa Mohammed Enterprises, Mo asingepata faida

Hata Manara angekuwa balozi wa Mohammed Enterprises, Mo asingepata faida

Umenena vyema kaka, watu wamejikita kwenye kumuhurumia manara lakini jiulize what if Manara angepewa mkataba anaoutaka yeye? That means Mo asingekua "muwekezaji mjanjamjanja", simba isingekua kama " timu ya sudan", babra asingekua "nyoka mwenye sumu" mo asingekua "mhindi"
That means Haji hana mapenzi na Simba ila anapigania maslahi yake binafsi!
Kwasababu haiwezekani shida za simba zionekane baada ya mo kukosana na Haji!
Kwa hiyo mkuu mapenzi ni bora kuliko maslahi? Yani uache mikataba minono kisa mapenzi? Hata huyo mo hana roho hiyo
 
Acheni kufananisha Mo na Bakhresa, ni vitu viwili tofauti.
Bakhresa kazaliwa kariakoo kaanza kifanya biashara kariakoo, anajua watu wanataka nn.
Mo kazaliwa singida kaja mjini juzijuzi tu, na biashara zinazomtoa no zile za kuuza mazao tu hizo nyingine anakopi hana lolote.
Wenzake, wanaexperiencw kubwa na maisha yeye hana experience amaforce tu.
Mm nashindwaga kuuelewa ubilionea wake unatokea wapi?
Hata mm nashangaa sana...Baresa ana viwanda mpaka huko Rwanda hana ujinga kama wa Mo
 
Kwa hiyo mkuu mapenzi ni bora kuliko maslahi? Yani uache mikataba minono kisa mapenzi? Hata huyo mo hana roho hiyo
Logic ni kwamba haji alitaka anyamazishwe, sasa huyu hana mapenzi ya kweli na club. Mo ameonyesha, matokeo yameonekana
 
Logic ni kwamba haji alitaka anyamazishwe, sasa huyu hana mapenzi ya kweli na club. Mo ameonyesha, matokeo yameonekana
Sikatai wala sipingi uwepo wa Mo na hata siku akiacha kuwekeza pale msimbazi binafsi nitaumia sana ila ni sahihi Manara apromote biashara zake bure kwa kisingizio kuwa ni za boss wa Simba??
 
Hakusema bure, anasema babra alimnyima mkataba, kila akimpigia anaambiwa "call me later"
Sasa rudi kwenye akili timamu ujiulize kama babra angempa hiyo tender, leo haji angeongea nini kuhusu Simba?
Sikatai wala sipingi uwepo wa Mo na hata siku akiacha kuwekeza pale msimbazi binafsi nitaumia sana ila ni sahihi Manara apromote biashara zake bure kwa kisingizio kuwa ni za boss wa Simba??
 
Hakusema bure, anasema babra alimnyima mkataba, kila akimpigia anaambiwa "call me later"
Sasa rudi kwenye akili timamu ujiulize kama babra angempa hiyo tender, leo haji angeongea nini kuhusu Simba?
Hayo ni mapungufu ya kibinadamu pia kumbuka mpaka kuweka yote public alikosa msaada asemee wapi sababu uongozi umemkataa wote
 
Naunga mkono hoja, Azam kuna ubunifu wa kiwango fulani hivi fikiria ile huduma yao ya sarafu. Ile ni namna nzuri ya kupata wateja, kingine Azam anazipa promo sana bidhaa zake, la mwisho kama uko na picha ya tajiri wa Azam iweke Mo zake zipo kila mahali
mzee bakhresa ni old school. hana shobo za kushobokea mitandao ya kijamii wala kujionyesha kwenye media japo yeye mwenyewe ana miliki media house kubwa east and central africa.
 
Hao ndio matajiri bhana
mzee bakhresa ni old school. hana shobo za kushobokea mitandao ya kijamii wala kujionyesha kwenye media japo yeye mwenyewe ana miliki media house kubwa east and central africa.
 
mzee bakhresa ni old school. hana shobo za kushobokea mitandao ya kijamii wala kujionyesha kwenye media japo yeye mwenyewe ana miliki media house kubwa east and central africa.
Aisee tena Azam ni media inakimbiza hatari mwamedi anapenda attention sana. Sasa kule kwenye Fobers mbona mzee Bakhresa hawekwi wakati naona kamzidi mpunga mwamedi mbali
 
Uongo mtupu,
hao wafanyakazi 26,000 kawajiri wapi? Ni bahati sana kama kaajiri hata 3,000.
Mtu hata uhakika wa kula huna unamtukana Mo Dewji.

Kwa taarifa yako Mo Dewji kaajiri wafanyakazi 26,000. Baba yako na mama yako hata housegirl tu wameshindwa kuajiri.
 
Naunga mkono hoja, Azam kuna ubunifu wa kiwango fulani hivi fikiria ile huduma yao ya sarafu. Ile ni namna nzuri ya kupata wateja, kingine Azam anazipa promo sana bidhaa zake, la mwisho kama uko na picha ya tajiri wa Azam iweke Mo zake zipo kila mahali
Huwezi kulazimisha watu wafanane,Mo anajisikia raha akijipost mapicha,Maboss wa Azam wanasikia raha jinsi wasivyojipost....duniani mungu kaumba kila kiumbe na Tabia zake.

Fikiria Dunia nzima tungekuwa hatunywi pombe,hatuvuti bangi,hatupendi chini etc. Dunia ingeboa sana
 
Huwezi kulazimisha watu wafanane,Mo anajisikia raha akijipost mapicha,Maboss wa Azam wanasikia raha jinsi wasivyojipost....duniani mungu kaumba kila kiumbe na Tabia zake.

Fikiria Dunia nzima tungekuwa hatunywi pombe,hatuvuti bangi,hatupendi chini etc. Dunia ingeboa sana
Mo mswahili na pia attention seeker hujasikia anauliza eti mbona watu wanasema wewe (Manara) maarufu kuliko mimi no Wonder haishi kujipost mwambie afanye kwa kiasi na aache uswahili.[emoji23][emoji23]
 
Mo mswahili na pia attention seeker hujasikia anauliza eti mbona watu wanasema wewe (Manara) maarufu kuliko mimi no Wonder haishi kujipost mwambie afanye kwa kiasi na aache uswahili.[emoji23][emoji23]
WaTanzania tuna shida mahali,wewe unavyotoa maoni yako ni vile ungefanya kama ungekuwa kama yeye,ila yeye ndo alivyo.

toka akiwa miaka 17 ana mapicha magazeti yamemtoa Mtoto wa Tajiri kavua shati baada ya Simba kushinda mechi ya ligi ya mabingwa Africa.

Chukulia mfano wa Messi na Ronaldo,wote mastaa lkn Ronaldo anapenda Social media.

Ali Kiba na Diamond,wote mastaa lkn Mondi ni king wa social media na Matukio.

Ndo maisha yalivyo tusipende kujaji sana,wewe kama Shabiki wa Simba mchukulie tu ni mwekezaji analipa Wachezaji vizuri,timu inafanya vizuri,vingine mwachie havitakusaidia kitu.

Kama Shabiki wa Yanga,Mchukie kwa sababu amewekeza Simba na kuifanya Yanga ionekane underdog,vingine achana navyoy
 
Back
Top Bottom