mvaa viatu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 351
- 522
26,000 au 2600 lete ushahidi hapaMtu hata uhakika wa kula huna unamtukana Mo Dewji.
Kwa taarifa yako Mo Dewji kaajiri wafanyakazi 26,000. Baba yako na mama yako hata housegirl tu wameshindwa kuajiri.
Kwa hiyo mkuu mapenzi ni bora kuliko maslahi? Yani uache mikataba minono kisa mapenzi? Hata huyo mo hana roho hiyoUmenena vyema kaka, watu wamejikita kwenye kumuhurumia manara lakini jiulize what if Manara angepewa mkataba anaoutaka yeye? That means Mo asingekua "muwekezaji mjanjamjanja", simba isingekua kama " timu ya sudan", babra asingekua "nyoka mwenye sumu" mo asingekua "mhindi"
That means Haji hana mapenzi na Simba ila anapigania maslahi yake binafsi!
Kwasababu haiwezekani shida za simba zionekane baada ya mo kukosana na Haji!
Hata mm nashangaa sana...Baresa ana viwanda mpaka huko Rwanda hana ujinga kama wa MoAcheni kufananisha Mo na Bakhresa, ni vitu viwili tofauti.
Bakhresa kazaliwa kariakoo kaanza kifanya biashara kariakoo, anajua watu wanataka nn.
Mo kazaliwa singida kaja mjini juzijuzi tu, na biashara zinazomtoa no zile za kuuza mazao tu hizo nyingine anakopi hana lolote.
Wenzake, wanaexperiencw kubwa na maisha yeye hana experience amaforce tu.
Mm nashindwaga kuuelewa ubilionea wake unatokea wapi?
Logic ni kwamba haji alitaka anyamazishwe, sasa huyu hana mapenzi ya kweli na club. Mo ameonyesha, matokeo yameonekanaKwa hiyo mkuu mapenzi ni bora kuliko maslahi? Yani uache mikataba minono kisa mapenzi? Hata huyo mo hana roho hiyo
Sikatai wala sipingi uwepo wa Mo na hata siku akiacha kuwekeza pale msimbazi binafsi nitaumia sana ila ni sahihi Manara apromote biashara zake bure kwa kisingizio kuwa ni za boss wa Simba??Logic ni kwamba haji alitaka anyamazishwe, sasa huyu hana mapenzi ya kweli na club. Mo ameonyesha, matokeo yameonekana
Mnajibu hoja kisimbe sanaMtu hata uhakika wa kula huna unamtukana Mo Dewji.
Kwa taarifa yako Mo Dewji kaajiri wafanyakazi 26,000. Baba yako na mama yako hata housegirl tu wameshindwa kuajiri.
Sikatai wala sipingi uwepo wa Mo na hata siku akiacha kuwekeza pale msimbazi binafsi nitaumia sana ila ni sahihi Manara apromote biashara zake bure kwa kisingizio kuwa ni za boss wa Simba??
Hayo ni mapungufu ya kibinadamu pia kumbuka mpaka kuweka yote public alikosa msaada asemee wapi sababu uongozi umemkataa woteHakusema bure, anasema babra alimnyima mkataba, kila akimpigia anaambiwa "call me later"
Sasa rudi kwenye akili timamu ujiulize kama babra angempa hiyo tender, leo haji angeongea nini kuhusu Simba?
Ni kweli mo anamzidi twist kwenye energy tu...Masoda yake mengi kaweka ujazo tu ila hakuna kitu. Twist inauza kuliko mo soda kwa sasa fanya uchunguzi mdogo mwenyewe
Hayo ni mapungufu ya kibinadamu pia kumbuka mpaka kuweka yote public alikosa msaada asemee wapi sababu uongozi umemkataa wote
mzee bakhresa ni old school. hana shobo za kushobokea mitandao ya kijamii wala kujionyesha kwenye media japo yeye mwenyewe ana miliki media house kubwa east and central africa.Naunga mkono hoja, Azam kuna ubunifu wa kiwango fulani hivi fikiria ile huduma yao ya sarafu. Ile ni namna nzuri ya kupata wateja, kingine Azam anazipa promo sana bidhaa zake, la mwisho kama uko na picha ya tajiri wa Azam iweke Mo zake zipo kila mahali
Aisee tena Azam ni media inakimbiza hatari mwamedi anapenda attention sana. Sasa kule kwenye Fobers mbona mzee Bakhresa hawekwi wakati naona kamzidi mpunga mwamedi mbalimzee bakhresa ni old school. hana shobo za kushobokea mitandao ya kijamii wala kujionyesha kwenye media japo yeye mwenyewe ana miliki media house kubwa east and central africa.
Mtu hata uhakika wa kula huna unamtukana Mo Dewji.
Kwa taarifa yako Mo Dewji kaajiri wafanyakazi 26,000. Baba yako na mama yako hata housegirl tu wameshindwa kuajiri.
Huwezi kulazimisha watu wafanane,Mo anajisikia raha akijipost mapicha,Maboss wa Azam wanasikia raha jinsi wasivyojipost....duniani mungu kaumba kila kiumbe na Tabia zake.Naunga mkono hoja, Azam kuna ubunifu wa kiwango fulani hivi fikiria ile huduma yao ya sarafu. Ile ni namna nzuri ya kupata wateja, kingine Azam anazipa promo sana bidhaa zake, la mwisho kama uko na picha ya tajiri wa Azam iweke Mo zake zipo kila mahali
Mo mswahili na pia attention seeker hujasikia anauliza eti mbona watu wanasema wewe (Manara) maarufu kuliko mimi no Wonder haishi kujipost mwambie afanye kwa kiasi na aache uswahili.[emoji23][emoji23]Huwezi kulazimisha watu wafanane,Mo anajisikia raha akijipost mapicha,Maboss wa Azam wanasikia raha jinsi wasivyojipost....duniani mungu kaumba kila kiumbe na Tabia zake.
Fikiria Dunia nzima tungekuwa hatunywi pombe,hatuvuti bangi,hatupendi chini etc. Dunia ingeboa sana
WaTanzania tuna shida mahali,wewe unavyotoa maoni yako ni vile ungefanya kama ungekuwa kama yeye,ila yeye ndo alivyo.Mo mswahili na pia attention seeker hujasikia anauliza eti mbona watu wanasema wewe (Manara) maarufu kuliko mimi no Wonder haishi kujipost mwambie afanye kwa kiasi na aache uswahili.[emoji23][emoji23]
Dah watu hamumpendi Mwamedi.Uongo mtupu,
hao wafanyakazi 26,000 kawajiri wapi? Ni bahati sana kama kaajiri hata 3,000.