GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nimeona hili nalo lina tija.Ngoja taratibu nianze kuangalia Arusha kuna Rasilimali gani na labda unaweza Kuwekeza katika lipi Ukishirikiana na Wazungu ( hasa Wamarekani ) na Waarabu ( hasa wa Yemen na Dubai ) ili GENTAMYCINE nisije kuwa Namlaumu tu Mtu bure.
Tuna bahati mbaya sana kama Taifa.Kabisa, usikii mwisho wa rel kigoma, Tena angekuwa mbunifu angeenda na treni mpaka kule.
ππππππππNimeona hili nalo lina tija.
Lakini hii picha haina maswali hata kidogo. Hakuna baya etiπ€£
View attachment 2730934
Dubai inautaka kwani?Labda wana taka kuuza na mlima meru
No offence intended lakini au siyo?π€£ππππππππ
No offense intended π€No offence intended lakini au siyo?π€£