chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Naona kama kuna jambo linawekwa sawa kabla ya mtu kutimkia chama kingine.
Msigwa pia alianza kwa kutamka kwamba Mbowe lazima aachie uenyekiti, akamshambulia sana, lakini baadae akahama chama.
Sasa ni zamu ya rafiki mkubwa wa Msigwa kufata mkondo
Msigwa pia alianza kwa kutamka kwamba Mbowe lazima aachie uenyekiti, akamshambulia sana, lakini baadae akahama chama.
Sasa ni zamu ya rafiki mkubwa wa Msigwa kufata mkondo