Hata sijamtongoza

Hata sijamtongoza

Kula mzigo hapo, ukimwacha tuu atakudharau sana..
 
.....ndio kakutongoza yeye, we umekalia hata sijamtongoza! Mpe jibu lake mwenzio, ukizubaa anakuharibia uhusiano wako na mpenzi wako.
 
.....ndio kakutongoza yeye, we umekalia hata sijamtongoza! Mpe jibu lake mwenzio, ukizubaa anakuharibia uhusiano wako na mpenzi wako.
hana huo uwezo
ananiheshim sana
 
Kama unajijua una mpenzi inatakiwa kuwe na mipaka kwa hao marafiki zako,
ushalikoroga mpe tu hizo hela
mi ningekuwa huyo dem nakuomba tu, yani naomba tu
eti una mpenzi hata sisimizi nae ana mpenzi wake

hahaaaaa, natamani sana kumuona mtu aliye nyuma ya hiyo avatar
 
kwa nin sasa wewe hukumwambia ukweli alipokupigia simu hata wewe unampenda..epuka michepuko ndugu kuwa mkweli..
 
Hapo utakuta unchunwa tu hata hajawaza kukupa papuchi
ila we unahisi utapewa basi bichwa hiloooooo
ngoja ailete ndo ukatae.
tatizo sio kuchunwa hata ww ukiwa nashida naweza kukusaidia,tabia yangu mm huwa nafata moyo wangu ukimpenda girl simuachi lazima nigonge papuch kwa garama yeyote ndivyo nilivyo bt kama sijakupenda nakuona kama kichefuchefu
 
Habarini wana JF,

Nina rafiki yangu wa kike tulisoma nae elimu ya sekondari tulipendana kama marafiki na alikuwa akinipenda sana ila mimi sikumpenda kimapenzi japo ni mzuri,miaka minne imepita sikuwa na mawasiliano nae kwa sababu nilikuwa mbali nikiendelea na masomo ya juu, yeye yupo Arusha na mimi nilirejea Dar,akapata mawasiliano yangu tukawa tunawasiliana alilalamika sana sababu sikutaka kumtafuta,akaanza kuniomba vocha,pesa vyote nilimsaidia kibinadamu.

Nimekuja kushtuka jana baada ya kuniambia baby naomba hela nikanunue kuna nguo nimeipenda halafu wiki ijayo nakuja.

Msaada jaman na mimi nina mpenzi wangu.

Simba mla nyama hachaguliwi pori la kuwinda.
 
mpe hela bwana akanunue nguo anayoipenda ... afu we mwanaume uwezi kuwa na mipaka na wasi wasi na we ngoja nikufuate PM nikuombe hela ya saluni unaonekana mtoajei mzuri sana
 
Mpenz ni wako si wake
Kila mtu ana nafasi yake
Vitu vidogo kama hivi fikir kwa akili yako mtu gan huna urafiki wa mipaka??
Unataka unataka ushaur gan while yeye kashapanga kuja dar na wewe utume pesa za nguo
 
Habarini wana JF,

Nina rafiki yangu wa kike tulisoma nae elimu ya sekondari tulipendana kama marafiki na alikuwa akinipenda sana ila mimi sikumpenda kimapenzi japo ni mzuri,miaka minne imepita sikuwa na mawasiliano nae kwa sababu nilikuwa mbali nikiendelea na masomo ya juu, yeye yupo Arusha na mimi nilirejea Dar,akapata mawasiliano yangu tukawa tunawasiliana alilalamika sana sababu sikutaka kumtafuta,akaanza kuniomba vocha,pesa vyote nilimsaidia kibinadamu.

Nimekuja kushtuka jana baada ya kuniambia baby naomba hela nikanunue kuna nguo nimeipenda halafu wiki ijayo nakuja.

Msaada jaman na mimi nina mpenzi wangu.

Sasa unashindwa nini kumwambia kuwa huna pesa na zaidi una mke? Utakuja kujiweka kwenye matatizo yasiyokuwa na msingi.
 
Back
Top Bottom