Hata Tundu Lissu hawezi shinda kesi ya Bil 260 ICSID. Wanaohusika na kuingia mikataba mibovu wanyongwe

Hata Tundu Lissu hawezi shinda kesi ya Bil 260 ICSID. Wanaohusika na kuingia mikataba mibovu wanyongwe

Hakuna njia yoyote hao jamaa watashinda kesi hito ya mchongo.Hiyo kampuni haijasajiliwa wala kufanya investment yiyote Tanzania.siyo kampuni ambayo iliingia mikataba na nchi yetu.Wahusika wala sio raia wa Canada....wanachokifanya kwa kushirikiana na watz wasio waaminfu kutengeneza kesi kwa kutumia makampuni yaliyowahi kuja kuwekeza hapa nchini. Muhimu pia kuweka clip ya respondent mkajua serikali imejibu kitu gani katika hii kesi ya kubumba.
Kesi nyingi ni za kubumba Nchi hii !! Nadhani sio kwamba zinatokea kwa kutokujua au kuzidiwa akili bali everything is set up by wajanjas
 
Hadi raha sana, nimefurahi sana CCM kushindwa mahakamani, CCM level yake ni walimu tu wa bongo ambao walifutiwa mkataba walioingia na serikali akaja mwamba, chuma, jiwe, mtu hatari, mtaalamu, simba, msomi akayafuta kwa dharau, kejeli, nk.

Hata CWT ni wajinga hakuna wanacho saidia wanachama wao, huu ndo mda wa kwenda mahakamani kudai arreas zenu za miaka yote mliokanyagwa na jiwe kodini Mh Lissu na Kibatala asubuhi mmeshinda kesi

Lakini watanganyika ni ng'ombe tu hakuna mwenye uelewa ndani ya CWT, walimu mmekuwa machawa hadi mnaboa!
Duh 🙄
 
Back
Top Bottom