Uchaguzi 2020 Hata uchaguzi wa 1995 ambao vyama pinzani vilikua dhaifu kuliko CCM bado vilipata wabunge na madiwani

Uchaguzi 2020 Hata uchaguzi wa 1995 ambao vyama pinzani vilikua dhaifu kuliko CCM bado vilipata wabunge na madiwani

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Uchaguzi wa Jana ni zaidi ya vituko.

Tujikumbushe kidogo 1995 kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi baada ya sote baada ya ushauri wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kukubaliana tuwe na mfumo wa siasa za vyama vingi.

Kipindi hicho jamii kubwa ya watanzania haikuwa na uelewa mpana wa vyama vingi ninini.

Uelewa umekuwa ukiongezeka taratibu na kwa sana hata vijijini wana uelewa mpana wa siasa za vyama vingi.

Mgombea uraisi kipindi hicho upande wa upinzani alikua Ryatonga Mrema kupitia NCCR na upande wa CCM alikua Willium Mkapa.

Nilikua Iringa kipindi hicho. Mchuano mkali pale Iringa mjini alikua Hassy Kitine vs Mfaramagoha.

Pamoja na rafu kadhaa za CCM bado jimbo lilienda Nccr mageuzi. Vivyo hivyo mbeya mjini, Da es salaam, kigoma pia.

Nguvu ya upinzani imezidi kukua kutokana na uelewa mkubwa wa jamii na kutishia hata nafasi ya chama tawala.

Eti over the sudden. Anakuja mtu anandaa uchaguzi then anatuambia majimbo yote inchi nzima hata kwnye strong hold za upinzani yamechukuliwa na CCM. Haingii akilini mwa waelewa.
 
Inasikitisha sana kuona baadhi ya watu wanaanzisha thread za kipumbavu wakilaumu wapinzani kupoteza majimbo[emoji2359]. Hata kwa wale wapinzani manguli waliokuwa wakikemea na kuibua Mambo yalioficha uovu na uozo wa chama dola na maswala mengine mengi yenye ukakasi ili kupata ufafanuzi kwa maslahi ya wananchi wote na taifa kwa ujumla wake wao pia kupoteza viti vyao.

Kuna tatizo kubwa sana kwenye fikra za baadhi ya watanzania kwani Kadri siku zinavyozidi kwenda “Vizazi vya wazee wetu vinaonyesha ishara zote za kuwa wao walikuwa wasomi na werevu kuliko hata sisi tunatembea vifua mbele kwamba tumeenda shule ingali bado Limbukeni na wapuuzi wa mwisho.
 
1604003945689.png
1604004068503.png

Wizi wa Tume ya Uchaguzi inakuaje kura walizopata lisu na Magufuli zinafanana kwenye majimbo yote mawili?
 
Wakurugenzi na wasimamizi wote walikuwa na maelekezo kutoka kwa Magafool
 
Uchaguzi wa Jana ni zaidi ya vituko.

Tujikumbushe kidogo 1995 kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi baada ya sote baada ya ushauri wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kukubaliana tuwe na mfumo wa siasa za vyama vingi.

Kipindi hicho jamii kubwa ya watanzania haikuwa na uelewa mpana wa vyama vingi ninini.

Uelewa umekuwa ukiongezeka taratibu na kwa sana hata vijijini wana uelewa mpana wa siasa za vyama vingi.

Mgombea uraisi kipindi hicho upande wa upinzani alikua Ryatonga Mrema kupitia NCCR na upande wa CCM alikua Willium Mkapa.

Nilikua Iringa kipindi hicho. Mchuano mkali pale Iringa mjini alikua Hassy Kitine vs Mfaramagoha.

Pamoja na rafu kadhaa za CCM bado jimbo lilienda Nccr mageuzi. Vivyo hivyo mbeya mjini, Da es salaam, kigoma pia.

Nguvu ya upinzani imezidi kukua kutokana na uelewa mkubwa wa jamii na kutishia hata nafasi ya chama tawala.

Eti over the sudden. Anakuja mtu anandaa uchaguzi then anatuambia majimbo yote inchi nzima hata kwnye strong hold za upinzani yamechukuliwa na CCM. Haingii akilini mwa waelewa.
Inaingia sana akilini, tatizo ni kwamba wapinzani walijisahau mno. Wao walitaka tu kulumbana bila hoja za msingi ndani ya bunge na kuleta kelele za kijinga. Ilikuwa haki kuwatema wabunge walioachwa ili wajifunze ujinga wao.
 
Uchaguzi wa Jana ni zaidi ya vituko.

Tujikumbushe kidogo 1995 kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi baada ya sote baada ya ushauri wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kukubaliana tuwe na mfumo wa siasa za vyama vingi.

Kipindi hicho jamii kubwa ya watanzania haikuwa na uelewa mpana wa vyama vingi ninini.

Uelewa umekuwa ukiongezeka taratibu na kwa sana hata vijijini wana uelewa mpana wa siasa za vyama vingi.

Mgombea uraisi kipindi hicho upande wa upinzani alikua Ryatonga Mrema kupitia NCCR na upande wa CCM alikua Willium Mkapa.

Nilikua Iringa kipindi hicho. Mchuano mkali pale Iringa mjini alikua Hassy Kitine vs Mfaramagoha.

Pamoja na rafu kadhaa za CCM bado jimbo lilienda Nccr mageuzi. Vivyo hivyo mbeya mjini, Da es salaam, kigoma pia.

Nguvu ya upinzani imezidi kukua kutokana na uelewa mkubwa wa jamii na kutishia hata nafasi ya chama tawala.

Eti over the sudden. Anakuja mtu anandaa uchaguzi then anatuambia majimbo yote inchi nzima hata kwnye strong hold za upinzani yamechukuliwa na CCM. Haingii akilini mwa waelewa.
Mrema na mpasuko wa CCM 1995 UNAUJUA au umeusikia tu? Mwaka huu ni sababu gani ingemfanya mtu achague upinzani?
 
Uchaguzi wa Jana ni zaidi ya vituko.

Tujikumbushe kidogo 1995 kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi baada ya sote baada ya ushauri wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kukubaliana tuwe na mfumo wa siasa za vyama vingi.

Kipindi hicho jamii kubwa ya watanzania haikuwa na uelewa mpana wa vyama vingi ninini.

Uelewa umekuwa ukiongezeka taratibu na kwa sana hata vijijini wana uelewa mpana wa siasa za vyama vingi.

Mgombea uraisi kipindi hicho upande wa upinzani alikua Ryatonga Mrema kupitia NCCR na upande wa CCM alikua Willium Mkapa.

Nilikua Iringa kipindi hicho. Mchuano mkali pale Iringa mjini alikua Hassy Kitine vs Mfaramagoha.

Pamoja na rafu kadhaa za CCM bado jimbo lilienda Nccr mageuzi. Vivyo hivyo mbeya mjini, Da es salaam, kigoma pia.

Nguvu ya upinzani imezidi kukua kutokana na uelewa mkubwa wa jamii na kutishia hata nafasi ya chama tawala.

Eti over the sudden. Anakuja mtu anandaa uchaguzi then anatuambia majimbo yote inchi nzima hata kwnye strong hold za upinzani yamechukuliwa na CCM. Haingii akilini mwa waelewa.
Siyo kweli; mwaka 1995 mimi nilikuwa mwanaharakati wa NCCR-Mageuzi na chama chetu kilikuwa imara sana kuliko CHADEMA hii ya leo.
 
Inaingia sana akilini, tatizo ni kwamba wapinzani walijisahau mno. Wao walitaka tu kulumbana bila hoja za msingi ndani ya bunge na kuleta kelele za kijinga. Ilikuwa haki kuwatema wabunge walioachwa ili wajifunze ujinga wao.
well said; wao walidhani kuwa watu wanamchukia magufuli sana, na ndiyo ilikuwa kampeini ya Lissu. Imekula kwao
 
Uchaguzi wa Jana ni zaidi ya vituko.

Tujikumbushe kidogo 1995 kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi baada ya sote baada ya ushauri wa baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kukubaliana tuwe na mfumo wa siasa za vyama vingi.

Kipindi hicho jamii kubwa ya watanzania haikuwa na uelewa mpana wa vyama vingi ninini.

Uelewa umekuwa ukiongezeka taratibu na kwa sana hata vijijini wana uelewa mpana wa siasa za vyama vingi.

Mgombea uraisi kipindi hicho upande wa upinzani alikua Ryatonga Mrema kupitia NCCR na upande wa CCM alikua Willium Mkapa.

Nilikua Iringa kipindi hicho. Mchuano mkali pale Iringa mjini alikua Hassy Kitine vs Mfaramagoha.

Pamoja na rafu kadhaa za CCM bado jimbo lilienda Nccr mageuzi. Vivyo hivyo mbeya mjini, Da es salaam, kigoma pia.

Nguvu ya upinzani imezidi kukua kutokana na uelewa mkubwa wa jamii na kutishia hata nafasi ya chama tawala.

Eti over the sudden. Anakuja mtu anandaa uchaguzi then anatuambia majimbo yote inchi nzima hata kwnye strong hold za upinzani yamechukuliwa na CCM. Haingii akilini mwa waelewa.
Hakuna uchaguzi kuna vioja maigizo ya CCM ambao wameubaka na kuulawiti uchaguzi huu
 
well said; wao walidhani kuwa watu wanamchukia magufuli sana, na ndiyo ilikuwa kampeini ya Lissu. Imekula kwao
Watu wanamchukia ndiyo na hawakumchagua kilichofanyika ni wizi wa kura na uchakachuaji mtupu, CCM wamelibaka na kulilawiti sanduku la kura
 
Back
Top Bottom