Umeshapata mzamini mwingine nn...
Hiyo sio sababu ya kuachana na mumeo. Huyo mwanamke aliyekiri alifanya makusudi ili akuharibie ndoa yako, si unajua wanawake msivyopendanaNina ushahidi wa kutosha, nimempigia mwanamke amekiri.
mamy k endelea na maisha yako mwaya yaan usijiguse kbs kudai talaka,ngj nikupe teknic ambayo itawork out,fanya kila kitu kumhusu mumeo mfano kupika na kufanya kaazii zooote km mke,jipende nyonyo,kuwa updated,yaan kiufupi fanya yako km huna kishughuil tafuta kashughul kokote kale kakukuingizia kipato uza hata genge,tafuta kikoba ,yaan fanya yako mwenyewee atajirudisha kwako,yena usisahau kujipa out mwenyew dadek ,kama unakunywa kunywa zako bia 3 rud ulale,jimpimp had shetani akuonee wivu,hawa wanawaume wanahisig sijui sie hatuna hisia??fanya yako utakuja nuiambia km hataanza kujibamiza kwako mxiew
alafu usipende kbs kushika nsimu yamumeo hapo ndo ulipokosea sana aic mie ht sim ya mume wangu ianguke huwa sithubutu kuiokota namwita mtoto ampelekee,na yy yangu hagusi na sitegemei aguse ,yaan ww usiifikirie kbs kuchungulia simu ya nmumeo aic mm niliweza kitambo sanaaaaaaa,yaan jht nuione mamake anampigia simu huwa simwambii yaan FANYA YAKO
Jaribu njia nyingine kwanza!!!Nimevumilia mengi, ila nahisi anachukulia uvumilivu wangu for granted, nimechoka
Are you serious? Uvunje ndoa ya miaka 7? Au ni mwanamume suruali tu!Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.
Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.
Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
Mianamike yenye mawazo kama haya haifai, baadala ya kutunza ndoa yeye ati kuchati tu. mbona sisi tulifumania kabisa ila bado tunao maisha yanaendelea. Usicheze na talaka!Umekuta chats tu unapanic hivyooo! Pigania ndoa yako mamy!!! Labda kama kuna sababu zingine!
Kwanini usiwe mpole kama mamayako?Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.
Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
God bless the women kwa kweli!..Basi mtu hata akuombe msamaha ndo anakunununia.
Mama yake co wa karne hiiiKwanini usiwe mpole kama mamayako?
Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.
Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?