Huu msimamo usiulegeze mwanangu!!!!Huyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.
Ichezeni tu wenyeweNgoma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo sio shosti ako ni ww mwenyew[emoji15]
Unamsemea mtu au ni wewe wenyewe?Huyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.
Mrs lee hujambo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilijua tu babu Asprin hawezi kukuacha salama [emoji23] [emoji23] hahaha anwyz ila dada zetu mna upendo sana, juzi kakuchiti leo anarudi mikono nyuma na unampokea. Endelea tu na maisha yako huyo bwana kama aliweza kutafuta na kupata sababu ya kukusaliti, huko mbele ya safari haitokuwa shida kwake kutafuta sababu za ziada za kurudia tabia zake,kwa mja wa namna hiyo kupima haisadii sana,leo wapima upo salama unaanza kujiamnisha kwake kumbe huku nyuma anaendela kuchoma makaa tuHuyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.
Sijambo jaman mrs ivuga umenichekesha sanaMrs lee hujambo?
Ivuga nimeachana nae usiniite tena hvyo utanpeperushia ndege wangu....watu hawatakuja pm tenaSijambo jaman mrs ivuga umenichekesha sana
Huyu mwenza wangu tulipima kabla hatujaanza mahusiano, wote tulijikuta tuko salama. Baada ya kugundua kuwa ana mahusiano ya ziada nimemtenga. Ameomba msamaha nimemwambia tukapime tena kabla hatujarudisha mahusiano yetu hataki. Lakini bado anadai ananipenda.
Mmmh hizi habari mpya kwangu na sitaki kuziamini kabisaIvuga nimeachana nae usiniite tena hvyo utanpeperushia ndege wangu....watu hawatakuja pm tena
iko siku utaitwa ukachukulie hela chumbani alafu ndo siku uliyo omba mtaji apo ndo utafurahi sasaTena usiishie Hapa tu.
Baki na msimamo wako hivyo hivyo.
Kuna mzee mmoja anasemaga ananipenda, nilimwambia ukitaka kuwa nani kwenye mahusiano twendwe tukapime.
Anakataaaga.
Kwa vile kapenda ,anakazi ya kunihudumia tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Na sitokaa niende nae chobingo kamwe
I'm the queen of my own empire. [emoji182]