Hatari, nimeongea na Ex-Wangu, nimejisikia vizuri sana

Mkuu unanionea tu!
Mtoto tumekuwa nae sisi throughout.

Nimemlea binti yangu mwenyewe, Mama yangu/mke wangu wa sasa wangekuwa na uwezo wakumficha mtoto, wala asingekaa ajue Mama yake ni nani. Alimwacha akiwa mdogo sanaa...

Ni huruma ya Mama yangu tu kuwaunganisha.
 
Lakini sijui kwanini watu wamenikasirikia hivyo!!
 
Na ukiolewa na singo father sio sawa na kukodisha bwana wa mtu? Na yeye si ataendelea kulana na mzazi mwenzie; au baby mommas wanapashaga viporo na nani? Au baby daddy akipasha kiporo sio shida wala dhambi kwa sababu yeye ni mwanaume?
Ndo muolewe na masingo father wenzenu sio vijana wasio na watoto
 
Sijaelewa, kwa hiyo ndg mleta uzi, kilichokuzingua ni sauti yake kwenye simu, alivyoongea kwa adabu, umekumbuka mauno yake, nikushauri huyo demu usimtafute maana indicator zinanionesha anakuzidi hela miaka 12 hajawahi hata kumwambia bint yake msalimie baba yako, siku mkutane aje na prado akuachie laki 5 afu huyo anasepa πŸ˜…πŸ˜…
 
Na ukiolewa na singo father sio sawa na kukodisha bwana wa mtu? Na yeye si ataendelea kulana na mzazi mwenzie; au baby mommas wanapashaga viporo na nani? Au baby daddy akipasha kiporo sio shida wala dhambi kwa sababu yeye ni mwanaume?
Posts zako huwa zina maneno ya hekima na busara kweli.
 
Afu wamekuonea tu. Teh Uzi utafungwa kila siku ule; mambo elfu kumi

Em tusije kuchambwa tunaharibu uzi wa watu hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona buku 10 kidogo uduguu anguu. Wee nani wa kunichambaa JF hii? Tena sio m1 waje kwa vikundi.

Yaan wamejuajee kunikata ngebee, kiranga chotee fyaaa.
Woiiiih
 
Tulia na mkeo kijana
 
You wish......
How na huku naweza hata kuwaagiza wajomba waniletee mke leo na kesho asubuhi wanae wanagonga getini wameniletea mke [emoji23][emoji23]na shangazi kaja lake..... nyie ndio cheapest commodity any man can have.....yaani mwanaume anaweza ashindwe kula chips kuku lakini sio mwanamke wa kumnyandua
 
Ooh no wonder. Bye Lance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…