Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimuoa?ilinikuta 2017... nikafunga safari nikaenda hadi moshi tukakutana pale maeneo ya CRDB.. nikiwa na bint yangu niliyezaa nae... mengine ilikuwa historia
Hapo inategemeana na akili ya mwanamke,msiwe mnatutegemea kilakitu sisi, haiwezekani hadi ambacho MWANAMKE angefikiria kua ni kibaya,alaumiwe mwanaume as if mwanamke Hana akili.Wanaume ni watu wabaya sana kipenzi,basi tu
Sawa mkuuHapo inategemeana na akili ya mwanamke,msiwe mnatutegemea kilakitu sisi, haiwezekani hadi ambacho MWANAMKE angefikiria kua ni kibaya,alaumiwe mwanaume as if mwanamke Hana akili.
Jamaa akimtaka,si akatae?
Yaani atakwe akubali kupasha kiporo halafu yatokee kama ana ndoa yake,ipate misukosuko,tulaumiwe wanaume?
Hiyo siyo sawa.
Ha ha haHalafu akishamla anakuja na bandiko la kusema wazazi hawaachani, au anaenda kwa rickboy kutoa ushuhuda alivyomla ex wake kimasihara
Anachosema namuelewa. Wataenda kukumbushia siku si nyingi.😂 mwanamke alimuongelesha kwa heshima yule dah
Niliweza kwa miaka 12.Unazidi kuwafanya wanawake wenye watoto nje ya ndoa kuwa katika hali ngumu ya kutoaminika...
Muache dada wa watu kasha move on ana maisha yake na ameolewa..huoni unataka kumvurugia?
Msaada wako mkubwa kwake ni kutowasilia na nae kabisa...
Sasa kwanini amuongeleshe kwa heshima? Au mwamba ni kummisi kunamfanya asikie kaongeleshwa kwa heshimaAnachosema namuelewa. Wataenda kukumbushia siku si nyingi.
Babu usiisemee mioyo ya watu.My dear usiombe umpende mtu halafu mtengane, kisha mkutane tena baada ya miaka mingi, hata kama ulimfumania hundred percent hutakumbuka hilo zaidi ya yele mema mlioshikishana, hii ipo sana kwa sisi wanaume.
Inawezekana. Mtu ukiwa bado unampenda hata akikufokea unaweza usigundue.Sasa kwanini amuongeleshe kwa heshima? Au mwamba ni kummisi kunamfanya asikie kaongeleshwa kwa heshima
Ila kweli maana mapenz upofu. Imewahi nitokea piaInawezekana. Mtu ukiwa bado unampenda hata akikufokea unaweza usigundue.
Ulipasha makabichi?Ila kweli maana mapenz upofu. Imewahi nitokea pia
Noooo sinaga izo tabia.Ulipasha makabichi?
😂 HeheeNoooo sinaga izo tabia.
Kweli sipashagi makabichii😂 Hehee
Kweli sipashagi makabichii
Ni kweli jaribu ujionee 😂Vizuri kama ni kweli 😸