Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Hivi wanaolipia kule ni wote ama wanaume pekee, niliwahi kujiunga ila kutuma meseji wananidai kulipia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utinder utakufa but Umalaya utadumu. Zimekufa lugha, yamekufa makabila, vimezama visiwa, imefutika miji, wameenda wakoloni Afrika hadi wameondoka, wamedondoka wafalme wakazikwa, zimeibuka tabia mpya, ikaja Sayansi na teknolojia, zimechomwa Sodoma na Gomora...lakini Umalaya na Ukahaba vime survive na kudumu.𝗛𝗮𝘁𝗮𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝘁𝗮𝗻𝗱𝗮𝗼 𝘄𝗮 𝘁𝗶𝗻𝗱𝗲𝗿 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮
View attachment 3200971
Wimbi la watumiaji wa mtandao wanawake kwa wanaume wanatafuta wapenzi inazidi kushika Kasi nchini Tanzania 🤔
Imekuwaje???👋
Kuna tabia kubwa inazidi kushika Kasi nchini Tanzania ya wadada lika mbalimbali kujirahisisha kwa kutaka maisha mepesi ni hatari Sana.
Kuna program inaitwa tinder kazi yake kutafuta mchumba online ukimpata basi mnakua wapenzi.
View attachment 3200972
Ni app ambayo wengi wanaamini zinaweza kuwasaidia kupata upendo Toka kwa watu wengine lakini ni hatari maana inasababisha tatizo la afya ya akili ukiendekeza sana.
Kumekua na wimbi kubwa la wadada wa kitanzania kuweka picha zao na maelezo kadhaa kujihusu wao kuwa wanatafuta wapenzi kwenye mitandao ya kutafuta wapenzi jambo hii sio nzuri kabisa.
View attachment 3200973
Njia wanayotumia sio ya kujiheshimu na wajichukulia poa kabisa utakuta mdada anaandika kwenye mtandao jina lake, mahali anapoishi , anatafuta mwanaume wa aina Gani nk unafikiri ni salama.
Unajua kwanini Acha kabisa kutumia mtandao wa tinder 👇
• inasababisha wasiwasi pamoja na stress mfadhaiko haswa inapotokea Kila ukiweka taarifa zako ujampata mtu sahihi.
View attachment 3200974
• pia Kuna matapeli wengi wanatumia picha za sura za watu wengine kujiunga na kutapeli watu View attachment 3200980
• Kuna magonjwa unaweza kuyapata bila kutarajia.
• pia inahusisha masuala ya picha ya mwili ila kiuwalisia hujui chochote nyuma ya Huyo mtu unayetaka kuanzisha uhusiano naye jihadhari.
• unaweza tekwa bila kujijua na kutumika kingono
• thamani, hadhi yako kama mwanamke au mwanaume inapungua maana taarifa zako zote mtandaoni zipo kukuhusu wewe nk.
Wadada wakaka Acheni kutumia mtandao kutafuta wachumba mjiheshimu 🖐️
Vipi umeshawahi kutumia mtandao wa kutafuta mchumba online ulifanikiwa kufunga naye ndoa tuachie maoni yako ?
Naskia huko dar kila mumama anamiliki mikalio 😂😂🥱🥱Ma****mae daaah Tanzania sihami
Ingia google pale ukasearch zitakuja option nyingi, Mimi sio mtaalam sana wa mambo hayo ila naelewa coz kuna project kadhaa nilishawahi kuzifanya zenye case study ya hako kamtandao so iliniladhim nifanye karesearch kasiko kalazima, na hitimisho likaangukia huko.Ipi mkuu nikatafute 2025 nipate
Na hii ndo nia ya mtoa mada. Wasioijua Tinder wakajiunge!Asante kwa kunipa chimbo jipya wamefungasha 🙏🙏🙏🙏
Nipo hapamliopata wachumba online mje basi mtupe uzoefu 😅nawasubiri kwa hamu na mimi nitafute wangu wa Maisha.
Umekuja kunielimisha au kama mchumba mwenyewe 😅Nipo hapa
Ulienda huko kufanya nini watu wako kwenye biashara mkuu.𝗛𝗮𝘁𝗮𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝘁𝗮𝗻𝗱𝗮𝗼 𝘄𝗮 𝘁𝗶𝗻𝗱𝗲𝗿 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮
View attachment 3200971
Wimbi la watumiaji wa mtandao wanawake kwa wanaume wanatafuta wapenzi inazidi kushika Kasi nchini Tanzania 🤔
Imekuwaje???👋
Kuna tabia kubwa inazidi kushika Kasi nchini Tanzania ya wadada lika mbalimbali kujirahisisha kwa kutaka maisha mepesi ni hatari Sana.
Kuna program inaitwa tinder kazi yake kutafuta mchumba online ukimpata basi mnakua wapenzi.
View attachment 3200972
Ni app ambayo wengi wanaamini zinaweza kuwasaidia kupata upendo Toka kwa watu wengine lakini ni hatari maana inasababisha tatizo la afya ya akili ukiendekeza sana.
Kumekua na wimbi kubwa la wadada wa kitanzania kuweka picha zao na maelezo kadhaa kujihusu wao kuwa wanatafuta wapenzi kwenye mitandao ya kutafuta wapenzi jambo hii sio nzuri kabisa.
View attachment 3200973
Njia wanayotumia sio ya kujiheshimu na wajichukulia poa kabisa utakuta mdada anaandika kwenye mtandao jina lake, mahali anapoishi , anatafuta mwanaume wa aina Gani nk unafikiri ni salama.
Unajua kwanini Acha kabisa kutumia mtandao wa tinder 👇
• inasababisha wasiwasi pamoja na stress mfadhaiko haswa inapotokea Kila ukiweka taarifa zako ujampata mtu sahihi.
View attachment 3200974
• pia Kuna matapeli wengi wanatumia picha za sura za watu wengine kujiunga na kutapeli watu View attachment 3200980
• Kuna magonjwa unaweza kuyapata bila kutarajia.
• pia inahusisha masuala ya picha ya mwili ila kiuwalisia hujui chochote nyuma ya Huyo mtu unayetaka kuanzisha uhusiano naye jihadhari.
• unaweza tekwa bila kujijua na kutumika kingono
• thamani, hadhi yako kama mwanamke au mwanaume inapungua maana taarifa zako zote mtandaoni zipo kukuhusu wewe nk.
Wadada wakaka Acheni kutumia mtandao kutafuta wachumba mjiheshimu 🖐️
Vipi umeshawahi kutumia mtandao wa kutafuta mchumba online ulifanikiwa kufunga naye ndoa tuachie maoni yako ?
Mafisi popote mpo!!😂😂😂Huyo mwenye kanga aisee ni chuma cha pua
Haya wadada ukiwafata uso kwa uso wanakusumbua hata kukupiga kibuti, ila ukimkuta tinder chap kwa haraka unaosha rungu🥱🥱Ma****mae daaah Tanzania sihami
Tala hawana hamuWabongo huwa ni waharibifu wa vitu vyenye maana.
Lengo la tinder lilikuwa kuunganisha watu, wenye lengo la kutengeneza uhusiano.
Kilicho fata uka geuka mtandao wa makulumbembe kukutana.
angalia Kama kampuni ya mikopo Kama Tala, watz wali ifanyia uhuni WA ajabu.
Anaikuza kijanjaNa hii ndo nia ya mtoa mada. Wasioijua Tinder wakajiunge!