Hatari ya mtandao wa Tinder Tanzania

Utinder utakufa but Umalaya utadumu. Zimekufa lugha, yamekufa makabila, vimezama visiwa, imefutika miji, wameenda wakoloni Afrika hadi wameondoka, wamedondoka wafalme wakazikwa, zimeibuka tabia mpya, ikaja Sayansi na teknolojia, zimechomwa Sodoma na Gomora...lakini Umalaya na Ukahaba vime survive na kudumu.

Umalaya na ukahaba vitapotea duniani siku ambayo binaadamu watabaki wawiili tu.
 
Ipi mkuu nikatafute 2025 nipate
Ingia google pale ukasearch zitakuja option nyingi, Mimi sio mtaalam sana wa mambo hayo ila naelewa coz kuna project kadhaa nilishawahi kuzifanya zenye case study ya hako kamtandao so iliniladhim nifanye karesearch kasiko kalazima, na hitimisho likaangukia huko.
 
Ulienda huko kufanya nini watu wako kwenye biashara mkuu.
 
Tala hawana hamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ