Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Mama Wa Yesu akiwa na miaka 13 ,aliolewa na Yoseph,mzee wa miaka 90,kuwa na akili watu wa mashariki ya kati wanakula nyama na maziwa ,wana afya usiwe mjinga wa kuwafananisha na waafrika wanaokula ugali na chumvi.Ukiona mpaka wanachoma ujue dini imejaa utapeli. Uoe binti wa miaka 12 halafu wakuache salama? Bila kuwa na vitisho Quran zote zingechomwa moto uarabuni.
Huko kusema Mungu hayupo,ndio kuweko kwake.Kisichokuwepo hakisemwi kuwa hakipo.Yesu, Mohammad, sijui juju wamajuj, na habari za Miungu zote hizo ni uhuni mtupu.
Ndomaana umeleta habari za yesu wa kule upande wa pili ukihisi unataka kunikomoa.
Bahati mbaya umenikosa.
Mola mlezi ambae ni muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.
Angekuwepo wala hata msingekuwa mnataka kijana huyo auliwe,
Angekuwepo kweli wala hata kusingekuwa na mifarakano ya dini zenu hizo kupondeana.
Wewe maisha yako yote umewekeza na unabidiii katika kuamini kuliko kujua.
Shame on you
View attachment 2696361
Ndio Yesu na Isa ni tofauti.Yesu aliomba aokolewe na kikombe cha kifo kwa Mungu wake,hskujibiwa,akauliwa.Quran ni copy na paste ya Biblia. Kama unabisha
Msome Yesu na Issa ndiyo utajua hawa watu ni tofauti ila japo watu wa Issa wanalazimisha lakini ukija kwenye maandiko utajua walichokiandika hawajui
Sijui walifundishwa na nani.Hao wanasayansi wa mwanzo kina 1.Aristotle 2.Galileo Galilei walifundishwa na nani?Tumia akili.
Ndio ujuwe elimu inakuja kupitia maarifa.Uki ambiwa Mtume Muhammad hakusoma,lakini ujuwe anayo elimu ya kuzaliwa.Sijui walifundishwa na nani.
Halafu hii inahusiana vipi na nlichokuuliza!?
Wewe ubongo wako umefungiwa Not gate.?Huko kusema Mungu hayupo,ndio kuweko kwake.Kisichokuwepo hakisemwi kuwa hakipo.
Sio mu Irani ni Mu Iraq,wapo wa Iraq wasio waislamu.Alafu aliyekichoma ni muislam wa kutoka iran ni mkimbizi wa kutokea Iran amekichoma lakini wanataka Sweden walaanike duh kivipi wakati Muslim mwenzao ndiyo kakichoma moto
Huna hoja.
Sasa Galilei alikuwa na maarifa makubwa na ambayo yanafunction hadi leo kwenye uhalisia.Ndio ujuwe elimu inakuja kupitia maarifa.Uki ambiwa Mtume Muhammad hakusoma,lakini ujuwe anayo elimu ya kuzaliwa.
Na ndio hivyo hivyo wanasayansi wa kwanza Aristotle na Galileo Galilei hawakusoma,lakini walikuwa na elimu ya kuzaliwa.
Unaelewa hata Not gate lakini!?Huna hoja.
Kwahiyo ndo dini yenu ya Haq inavyo sema hivyo...Huyo salama yake awe ni mwehu tu.
Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.
Sio kweliNdio ujuwe elimu inakuja kupitia maarifa.Uki ambiwa Mtume Muhammad hakusoma,lakini ujuwe anayo elimu ya kuzaliwa.
Na ndio hivyo hivyo wanasayansi wa kwanza Aristotle na Galileo Galilei hawakusoma,lakini walikuwa na elimu ya kuzaliwa.
Ni kama unataka wajipinge wenyeweDhambi kwa waislamu ni
1. Nguruwe
2. Kumtusi Muhamad
3. Kuharibu au kukashifu Quran.
Mengine yote siyo dhambi. Huwezi kuona waislamu wanaandamana kupinga uwepo kwa vikundi vya kigaidi
Acha roho mbayaHuyo salama yake awe ni mwehu tu.
Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.
Aliianza Mungu kwenye biblia, lini imefutwa hii:Acha roho mbaya
Aah bana, tunafata sheria ya Biblia:Kwahiyo ndo dini yenu ya Haq inavyo sema hivyo...
Tena mungu wenu hali jojo hadi atetewe! Hahahahahaha!
Tunajifunza kutoka kwa Yesu:Wapumbavu sana nyie watu
Tunajifunza kutoka kwa Yesu:
34 Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
35 Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;
36 na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.