Neo_Trapper
Member
- Sep 21, 2021
- 27
- 40
Ni afadhari uamini kuwa Mungu yupo halafu ukienda usimkute kuliko kuamini kuwa hayupo halafu ukienda umkute, ndugu kuna watu wanafikishwa chemba kwanza kupewa vifuti na mateke ya mbavu kisa kuamini hayupo na wakamkuta Famchezo?!Dini ni utumwa wa ajabu sana. Watu wanauana kwa kumpigania Mungu asiyejulikana Wala kuongea. Kazi kweli
Muda mwingine uwe unaficha upumbavu wako bibi.Whatever they say let them say. Ukicheza na mbwa utaingia nae msikitini.
Huyo salama yake madaktari waseme ni mwehu tu.
Kwa nini Alah asichukue hicho kichwa mpaka mumsaidie? Au hawezi?Wewe huna hoja. Ukimkuru Mtume tukikupata kichwa chako ni halali yetu. Labda ithibitike kuwa u mwendawazimu.
[emoji1787][emoji1787] Wewe ni mpumbavu sana.Huyo salama yake awe ni mwehu tu.
Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.
Wewe ukimtukana au kumkeli Mtume wetuyeyote, tukikushika elewa kuwa kichwa chako halali yetu, labda uwe ni mwendawazimu tu ndiyo salama yako.[emoji1787][emoji1787] Wewe ni mpumbavu sana.
Ivi huyo mnaemtetea sindio amewapa albadiri?
Ama mkiisoma haifanyi kazi?
Kwanini hamuwasomei albadir hao mnaosema wanakufuru.
Yani mnatumia nguvu kubwa kuumiza watu kwasababu ya huyo aliewapa albadir ambayo hamuiamin?
Hoples!.
Sasa madaktari si wanaweza kuhongwa na kudanganyatu kuwa ni mwehu wakati ana akili timamu! Kwanini msimuulize alah utimamu wa akili wa huyo mtu ili awaambie usahihi?Whatever they say let them say. Ukicheza na mbwa utaingia nae msikitini.
Huyo salama yake madaktari waseme ni mwehu tu.
Na kwa nini msimuachie Allah amuadhibu?Huyo salama yake awe ni mwehu tu.
Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.
Yesu alifika na kuitangua Torati.Unabishana na Yesu wewe?Wewe ukimtukana au kumkeli Mtume wetuyeyote, tukikushika elewa kuwa kichwa chako halali yetu, labda uwe ni mwendawazimu tu ndiyo salama yako.
Sheria ya kukufuru haikuanzia kwenye Qur'an kaisome Biblia yako, nani aliifuta sheria hiyo?
Kumbuka hilo.
Mngekuwa hamna mchezo na kutotenda dhambi hapo sawa, ila mna bidii ya kuchinja binadamu wenzenu hiyo inathibitisha nyinyi siyo waumini wa mwenyezi Mungu.We are Muslims, hatuna mchezo na Mwenyezi Mungu na Mitume yake.
Na alivyo mjinga atabisha ulichomuandikia.These people...!🤔Mngekuwa hamna mchezo na kutotenda dhambi hapo sawa, ila mna bidii ya kuchinja binadamu wenzenu hiyo inathibitisha nyinyi siyo waumini wa mwenyezi Mungu.
Huyo salama yake awe ni mwehu tu.
Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.
Huyo salama yake awe ni mwehu tu.
Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.
We hapo huna dhambi hadi uhukumu mwingine
Kwanini msimwache aliyetukwana adeal nae??
Kwann asiuliwe ili iwe fundisho kwa wengine kudhihaki Imani za watu.
Kwani Mungu wenu hawez kujitetea mwenyewe?We are Muslims, hatuna mchezo na Mwenyezi Mungu na Mitume yake.
Hii imani ya mtume imewafanya waafrika baadhi wamekuwa kama wasengerema, yaani wamekosa kabisa rationale kwenye decision making.Mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Mauritania amekamatwa kwa kuandika karatasi ya mtihani akimtusi Mtume Muhammad katika mitihani ya mwezi uliopita.
Vyombo vya habari vya ndani vimeripoti kuwa mamlaka za kidini zilidai hukumu ya kifo ikiwa msichana huyo ambaye hajatajwa jina lake atapatikana na hatia ya kukufuru.
Mauritania imeimarisha sheria za kukufuru, zinazoelekeza adhabu ya kifo kwa Waislamu ambao "wanamdhihaki au kumtukana Mungu au Mtume, hata wakitubu".
Hapo awali watu waliweza kuepuka hukumu ya kifo ikiwa walionesha majuto. Chombo cha habari cha Pan-Arab al-Quds al-Araby kiliripoti Jumatano kwamba mwanafunzi huyo anatoka katika mji wa kaskazini-magharibi wa Atar na anatoka katika kabila la Haratin, ambao ni vizazi vya watumwa wenye asili ya kusini mwa jangwa la Sahara.
Source BBC
NB vijana wameshajua kuwa hakuna cha dini ya haki wala mabikra 72 ni nadharia tu, FaizaFoxy, Kikwajuni One na wafuasi wenzenu povu ruksa
Acha ujinga wewe ajuza, haumuachi wewe kama nani ?Huyo salama yake awe ni mwehu tu.
Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.
Hao mitume ndio wamewafundisha ujinga wa kuua wengine ?We are Muslims, hatuna mchezo na Mwenyezi Mungu na Mitume yake.
Dini ya haki hiyo,Allah anashindwa kujipambania mpaka asaidiweHuyo salama yake awe ni mwehu tu.
Serikali wakimwachia mitaani hatumwachi.