Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021

Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021

Informer

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2006
Posts
1,606
Reaction score
6,672
cab442ed-ce7a-4892-bf0b-b8e9f509d46f.jpg

4aadc128-1f17-4fe4-83c2-6c06e642c090.jpg

3ecd8307-2380-4cb4-9ec6-4e3ea9734069.jpg
 

Attachments

Mi sio mwanasheria lakini ukisoma hayo mashtaka ni ya kipuuzi ambayo itakuwa vigumu kwa washtaki kuthibitisha.

Ninaloliona hapo ni kumpotezea lengo la kudai katiba mpya kwa kumnyima dhamana.

Hii inathibitisha hofu waliyonayo CCM endapo katiba mpya itapatikana,kwahio wanajitahidi kuzuia kwa nguvu zote.
 
Mi sio mwanasheria lakini ukisoma hayo mashtaka ni ya kipuuzi ambayo itakuwa vigumu kwa washtaki kuthibitisha.

Ninaloliona hapo ni kumpotezea lengo la kudai katiba mpya kwa kumnyima dhamana.

Hii inathibitisha hofu waliyonayo CCM endapo katiba mpya itapatikana,kwahio wanajitahidi kuzuia kwa nguvu zote.
Cha msingi CDM wasitumie nguvu nyingi sana kwenye kesi hii, bali waendelee na kuelekeza mapambano ya kudai Katiba mpya kwa nguvu zaidi sababu hilo ndilo lengo kuu kwa sasa. Dhumuni la CCM ilikuwa ni kumpiga mchungaji ili kondoo watawanyike na hili wameshalitimiza.

Kwa hiyo waonyesheni CCM kwamba kondoo hawatawanyiki na katiba mpya inaendelea kudaiwa kwa nguvu zote.
 
Sawa DPP, damu ya hii na kikombe hiki na iwe juu yako - hata Yohana mbatizaji alihukumiwa gelezani kisa kumwambia mke wa mfalme anamegwa.

Yesu Kristo pia alihukumiwa ingawa DPP wa wakati huo Pilato alinawa mikono akasema kikombe hicho na kimwepuke mbali - wapambe wakamsurubu hadi wakamuua.

Leo tunaiona sahihi yako mkuu, yote ni sawa.
 
Kila ubaya aliotendewa Mbowe utalipwa
Binafsi nikiwa mmoja wa vyombo vya ulinzi na usalama nitamlipia Mbowe 'in kind'.
Hawa watawala dhalimu wanahitaji kufunzwa adabu, huku walipofika sasa ni too much kwa vile wanafahamu wananchi hawana la kuwafanya.

Kama kuwasulubu hawa mashetani wa ccm ndo 'ugaidi' wenyewe basi wajiandae kushuhudia vitendo vya kigaidi visivyo na kikomo kutoka humu humu ndani
 
Mbowe aminywe bumpu mpaka ataje nani alimjeruhi kwa risasi kamanda Lissu.
kujitia ujinga huwa haisaidii kuondoa hoja iliyopo mezani kwamba Watanzania wa leo wanahitaji Katiba mpya, hii katiba ya mwaka 1977 ambapo nusu ya watanzania walikuwa hawajazaliwa na hawakushrikishwa si katiba yao.. na uzuri katiba huwa ni mali ya wananchi si mali ya CCM , so kuidai siyo UHAINI ama UGAIDI kama CCM inavyotaka kuwaamisha wananchi.
 
Back
Top Bottom