Dah! Kutoka kupanga njama za kuua viongozi wa serikali hadi kulipua mitungi ya gesi!?
Upuuzi huu huwa anaupanga nani lakini? Kweli nimeanzan kuamini njama za kumuua Lissu walizipanga hawa hawa vichwa "think tank" waliondaa hii kesi......!
Watanzania kwa umoja wetu kazi yetu sasa iwe ni kuwatafuta hawa vichwa panzi! Unaweza kuta wapo sehemu nyeti serikalini ambayo maamuzi yao ndio yanaliongoza hili taifa! Hawa ndio wanapitia majina ya teuzi za mawaziri, mabalozi,nk hawa ndio wanajifungia sehemu na kuja na mbinu za kuinua uchumi na kutafuta muafaka wa tatizo la ajira, nk.nk....Jamani tuwatafute ili kunusuru taifa hili!