Aache kulia lia na kututakia vikwazo, vikwazo vikiwekwa wanaoumia ni wananchi, yeye anakunywa bia huko ubelgiji. tena si ajabu hata kusali hasali. ukiangalia hati ya mashtaka, makosa yale yalifanywa soon before general election ya 2020. na kipindi kile kweli kuna baadhi ya sheli na maeneo mengine yalipigwa moto kama mabom hivi. selikali huwa inakuwa na ushahidi wa vitu vingi lakini inaamua kuweka pembeni ili kuangalia kama mkosaji hasa maarufu kama dj, kama ana adabu, wakiona analeta dharau, wanafungua tu file. mwaka jana walipanga kuvuruga kabisa hii nchi alimradi tu wachukue nchi.