Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naamini serikali yangu, Mbowe atulize macho yake kama panya aliyebanwa na mtego ni gaidi mpaka itakapothibitishwa siyo gaidi.kujitia ujinga huwa haisaidii kuondoa hoja iliyopo mezani kwamba Watanzania wa leo wanahitaji Katiba mpya, hii katiba ya mwaka 1977 ambapo nusu ya watanzania walikuwa hawajazaliwa na hawakushrikishwa si katiba yao.. na uzuri katiba huwa ni mali ya wananchi si mali ya CCM , so kuidai siyo UHAINI ama UGAIDI kama CCM inavyotaka kuwaamisha wananchi.
Tena ya kijinga kabisaMashtaka ya kipuuzi na ya kutunga, Mbowe kutaka Katiba Mpya sio kupanga kulipua vituo vya mafuta, hii dhulma iko siku mtaulizwa mbele ya safari mmekosa aibu kabisa.
Hapa ndipo napowaona watu wa CCM kuanzia Mwenyekiti wao hadi Balozi wa nyumba kumi kwamba si watu wa HAKI.Gaidi Mbowe! Dah CCM bana, seriously Mbowe ni gaidi [emoji1784]
mashtaka ambayo siyo ya kipuuzi yangekuwaje, weka mfano wake. cdm mbona mnapungukiwaga akili naman hiyo? mashtaka mazito kama hayo unasema ya kipuuzi? jeuri imewafikisha wapi hadi sasa? segerea.Mashtaka ya kipuuzi na ya kutunga, Mbowe kutaka Katiba Mpya sio kupanga kulipua vituo vya mafuta, hii dhulma iko siku mtaulizwa mbele ya safari mmekosa aibu kabisa.
Hawa akina Hamnazo huwa hauwajui kipi hawakubaliani nacho na kipi wanakubaliana nacho, hakuna kitu kibaya kama pale mtu anapokuwa hajielewi.Hati ya mashtaka lazima iwe na lugha ya ki beberu eee
Kaka mambo ya gizani huishia gizani...Ingekuwa nchini Kenya hii kesi ingerushwa mubashara!
Duh mbona wanajichaganya na tareheANGALIA TAREHE NA TAREHE YA SAINIView attachment 1870224View attachment 1870226View attachment 1870227
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
ina shida gani? mbona haina shidaDuh mbona wanajichaganya na tarehe
na kwa wanaomfahamu DJ, wanajua kabisa kwamba alifanya makisa hayo na alikuwa akiratibu. nyie wengine pigeni kelele lakini kelele zenu haziwezi kumtoa chura pangoni.Very serious offenses
Haya ndio madhara ya kurun chama Cha siasa kama Serikali inayojitegemea.
Nilishawahi kuandika hapa haya madude yanaitwa sijui Redbrigade na nini sijui ni kujipa majukumu ambayo chama hakipaswi kuwa nayo.
Chama kinapaswa kueneza sera zake tu.
Madhara ya kuextend obligations ndio kama haya.