Hatima ya Fei Toto kujulikana Jumatatu tarehe 9 Januari 2023

Makolo mnajipa tabu bure ndiyo maana mmeishia kuumia kwa nongwa.
 
Nenda kauvuje
 
So wewe mkeo kila mtu akija anajigongea tu si ndio?
 
Yaani mfanyakazi anatoka nyumbani kwake asubuhi anamwambia boss Niko zangu mishe vifaa vyako vya kazi nimemwachia store keeper kuanzia Leo Mimi na wewe basi?
Halafu kuna watu wanaona huyo mfanyakazi yuko sahihi? Hata wanasheria 26 waliofaulu ni wengi maana nchi hii imejaa vilaza watupu.
 
So wewe mkeo kila mtu akija anajigongea tu si ndio?
Yanga mwenzangu una ubwege mkubwa sana. Yaani unafurahia hili? Yaani mke hakutaki anaondoka na anaenda kutiwa na mwanaume mwingine. Mahakama inamrudisha kwako kuwa hakuondoka na talaka unafurahia? 🤣🤣🤣🤣🤣 WE SI BWEGE SANA? UTAKUWA NA AKILI KWELI? USITUAIBISHE SISI WENYE AKILI.
 
Hakika mfano wako haukidhi vigezo hata nusu, kwanza kabisa ikiwa mke basi alikuwa hajatafunwa mbususu maana hakuchezea club yoyote wala kusainishwa lakini mbili nimeona jina lako Chizi Maarifa 🤣🤣🤣🤣
 
Kamati imeamua kuwa Fei ni mchezaji wa Yanga.

Ila Uamuzi kamili utatolewa j3? Mie ndo sielewi au taarifa haijakaa sawaa.
Upo sahihi kwa sasa feisal ni mchezaji wa yanga kwaiyo anawajika kutumikia mkataba wake kama kawaida ikiwemo kuripoti kambini n.k ila suala la uhalali wa jaribio la kuvunja mkataba alilofanya litatolewa maamuzi jumatatu
 
Hakika mfano wako haukidhi vigezo hata nusu, kwanza kabisa ikiwa mke basi alikuwa hajatafunwa mbususu maana hakuchezea club yoyote wala kusainishwa lakini mbili nimeona jina lako Chizi Maarifa 🤣🤣🤣🤣
Watu wameshamlipia mpaka mahari umerudisha... Wamemla....yaan alishakutema.... So huyo hana mapenzi nawe unaachana naye. Yeye siyo Mungu wako
 
Wakati mkiendelea kuelekeza macho yenu kwenye suala la feisal mkumbuke chama kabakoza moezi 6 ivyo kisheria anaruhusiwa kumalizana na timu yoyote itakayo hitaji huduma yake
 
Tunachoomba wamlizane vizuri tu, kama Feisal hataki kuichezea Yanga tena. Yanga wakubaliane naye na kuona njia ya kumsaidia kuuvunja huo mkataba.

Feisal katusaidia sana kwenye timu, tukumbuke fadhila zake na yeye tumuonyeshe fadhila kwenye hili.
 
Mchakato mzima kwa namna ambavyo feisal aliuendesha sio sahihi kumbuka kwa sasa hayupo kambini aliondoka akiamini kitendo cha kudeposit ile pesa tayari ni mchezaji huru kitu ambacho hakuwa sahihi ilitakiwa taratibu za kuvunja mkataba zifanyike akiwa anafauta matakwa yote ya mkataba uliopo sasa hivi ni kama TFF wamemkumbusha kwamba bado mchezaji wa yanga iyo ni hatua ya kwanza kuelekea kumaliza hili suala maana sasa feisal itabidi atoke uko mafichoni arudi kambini kuendelea kutumikia mkataba wake wa sasa yeye sio mchezaji huru kama ambavyo alifikiria mwanzo
 
Watu wameshamlipia mpaka mahari umerudisha... Wamemla....yaan alishakutema.... So huyo hana mapenzi nawe unaachana naye. Yeye siyo Mungu wako
Hata mahali kabla ya kulipwa, mshenga hutanguliza barua kwani ndizo taratibu za kufuatwa kabla hujalipa mahali.
 
Aende lakini kwa utaratibu,,,, ! Alikutana na makanjanja hayajui Sheria yakamdanganya , akavimba kichwa ! Now hatumuhitaji, timu inayomtaka ije tukae mezani , aondoke kwa right price ili pande zote zifaidike (mchezaji na club )
Ni kweli mkuu, aliingia kwa kufuata utaratibu na aondoke kwa utaratibu vilevile' yanga wanamtoaje fei kwa 112 ml.!?

Anaemtaka ni muhuni muhuni, ameongea na mchumba, akamuhonga hela halafu anataka akaishi nae bila kuwashirikisha wazazi! Haahhaa....
 
Kwasasa nawashauri viongozi kwakua Feisal bado anamkataba wa mwaka mmoja na miezi sita, wamwache huru kwenda timu yoyote atakayopata.
Timu itakayo patikana ije izungumze na Yanga.

Kwasasa wamwache ata akitaka aende kuvua samaki hakuna shida, mradi akipata timu ailete mezani wazungumze na Yanga.
 
Hata mahali kabla ya kulipwa, mshenga hutanguliza barua kwani ndizo taratibu za kufuatwa kabla hujalipa mahali.
Sasa jamaa kaamua tu kumtia mimba mke wako halafu anakurudishia mahari yake... Na mke anaonekana kumpenda jamaa.....🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…