joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hiyo mimba aliyopewa Fei ipo wapi, mbona unacho ongea havi relate.Sasa jamaa kaamua tu kumtia mimba mke wako halafu anakurudishia mahari yake... Na mke anaonekana kumpenda jamaa.....🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mimba aliyopewa Fei ipo wapi, mbona unacho ongea havi relate.Sasa jamaa kaamua tu kumtia mimba mke wako halafu anakurudishia mahari yake... Na mke anaonekana kumpenda jamaa.....🤣🤣🤣🤣
Feisal kukubali kuchezea hiyo team na kuanza kutema mate akikuona ni mimba. Hujaona ka bwana mdogo kwa sasa kana dharau sana?Hiyo mimba aliyopewa Fei ipo wapi, mbona unacho ongea havi relate.
Ni kweli mkuu na fadhira zinatakiwa kuwa mutually yaani kila upande ujishushe waangalie nini kifanyike kwa masilahi ya pamoja sasa mmoja akijaribu kufanya umafia italeta shida.. feisal akiona sasa ni wakati muafaka wa yeye kutafuta changamoto mpya akae na uongozi waongee wakubaliane kwa pamoja na yanga kama timu yenye mikakati na ukizingatia wapo katikati ya msimu ivyo wanahitaji wachezaji wao muhimu wakiona kwa sasa sio wakati mzuri wa feisal kuondoka wakakataa ombi la mchezaji kuondoka basi uamuzi wao uheshimiwe.Tunachoomba wamlizane vizuri tu, kama Feisal hataki kuichezea Yanga tena. Yanga wakubaliane naye na kuona njia ya kumsaidia kuuvunja huo mkataba.
Feisal katusaidia sana kwenye timu, tukumbuke fadhila zake na yeye tumuonyeshe fadhila kwenye hili.
Mbn swali lako jepesi sana ndugu? Toto kashafuata hizo njia za kuvunja mkataba kaandika barua ya kuvunja mkataba, kaweka pesa ya kuvunja mkataba tsh.112 millions na kaondoka kwenye timu.Tangu hapo inafahamika kuwa Feisal ni mali halali ya Yanga....kesi ya msingi ya Feisal na Yanga ni uhalali wa kuuvunja huo mkataba.......tunataka kamati ituambie baada ya kuwa yeye ni mali Yanga je ni halali kwake kuvunja mkataba vile alivyovunja.......
Ndugu taratibu kidogo unajua kwann kamat imesema itatoa uamzi huo kamili j3 tar9? Maana yake huo mda fei kama nia yake ya kuvunja mkataba bado inayo maana yake anaweza kufanya hivo mda huu wa siku hizi 2 ndio maana wamesema hivo kwaiyo usifurahi sana haimamishi kwamba fei atabaki yanga na kuitumikia no maana anaweza fanya lolote ktk hizo siku 3 akifuata utaratibu wa kuvunja mkataba mbele ya kamati hiyo si mlirudisha hera yake sasa kwa sasa anaweza kuwapa mbele za hii kamati na mambo yakaisha kabisa so tujiandae lolote lonaweza kutokeaKuna watu humu wame kasirika, ila ndio mpira haijalishi mchezaji ana mkataba wa miaka mingapi, mkataba wake unaweza kuvunjwa cha msingi taratibu za usajili zifuatwe.
Makolo walilishupalia hili swala,mpaka msemaji wao akawa ripota wa kuitegemea wa habari za Fei,wakasahahu brother Kibu bado yupo yupo sana na yupo zake Dubai, huko wao wapo bongo wakimlaumu na wamesahau kwamba Chama kupitia Insta live alisema kabakisha miezi sita.
Cc. OKW BOBAN SUNZU na mdogo wake DullyJr kwani ndo walikuwa washupaza shingo wazuri kuhusu habari za Fei. 😂😂😂Makolo wataambia nini watu!
Walitakiwa kusema taarifa kamili ya uamuzi huo itatolewa j3😁Kamati imeamua kuwa Fei ni mchezaji wa Yanga.
Ila Uamuzi kamili utatolewa j3? Mie ndo sielewi au taarifa haijakaa sawaa.
Fei ana mimba ya Yanga ,wanaomtaka wasubirie baada ya mwaka mmoja na nusu au wasubirie mpaka baada ya mwaka na nusu.Feisal kukubali kuchezea hiyo team na kuanza kutema mate akikuona ni mimba. Hujaona ka bwana mdogo kwa sasa kana dharau sana?
Moira biashara kwahiyo lazima maridhiano ya pande zote yaafikiwe, hajang'ang'aniwa lakini afuate sheria ili Yanga wapate chao kinachostahili na yeye akapate chake huko (yaani utaratibu ufuatwe)Watu wameshamlipia mpaka mahari umerudisha... Wamemla....yaan alishakutema.... So huyo hana mapenzi nawe unaachana naye. Yeye siyo Mungu wako
Ameshasema hakutaki achana naye....Fei ana mimba ya Yanga ,wanaomtaka wasubirie baada ya mwaka mmoja na nusu au wasubirie mpaka baada ya mwaka na nusu.
Au ushawahi kuona mwanamke aliyepewa mimba na wanaume wawili.
Hivi wewe umemaliza hata Primary school angalau?Ndugu taratibu kidogo unajua kwann kamat imesema itatoa uamzi huo kamili j3 tar9? Maana yake huo mda fei kama nia yake ya kuvunja mkataba bado inayo maana yake anaweza kufanya hivo mda huu wa siku hizi 2 ndio maana wamesema hivo kwaiyo usifurahi sana haimamishi kwamba fei atabaki yanga na kuitumikia no maana anaweza fanya lolote ktk hizo siku 3 akifuata utaratibu wa kuvunja mkataba mbele ya kamati hiyo si mlirudisha hera yake sasa kwa sasa anaweza kuwapa mbele za hii kamati na mambo yakaisha kabisa so tujiandae lolote lonaweza kutokea
Lakini ukiwaza tu kikawaida hata kama fei atabaki yanga kwa namna alivokiwisha onyesha nia yake ya kuondoka unazani atakuwa fei yule wa siku zote!?? Atacheza kwa hamasa, molali na kujituma kama mwanzo???
Tena nilisikia hata kocha na baadhi ya viongozi wakisema kuwa eti fei akijichanganya akarudi anaoigwa bench mpaka akili imkae sawa kwamba yanga ndo wamemtengeneza sasa analete dharau sasa embu fikiria kama mambo yenyewe ndo haya si ni bora tu aende??? Na yy hiki ndo kinacho mpa hofu kuwa amesha wakwanza ma kuwakera watu wa yanga vya kutosha bora akomae tu na nia yake ya kusepa ni hayo tu.
Si tulishapewa tukarudisha?Moira biashara kwahiyo lazima maridhiano ya pande zote yaafikiwe, hajang'ang'aniwa lakini afuate sheria ili Yanga wapate chao kinachostahili na yeye akapate chake huko (yaani utaratibu ufuatwe)
Taratibu zozote atakazofanya lazima Yanga itashirikishwa.Yanga walikuwa wanataka wanaomtaka Feitoto wafuate taratibu simple.Ndugu taratibu kidogo unajua kwann kamat imesema itatoa uamzi huo kamili j3 tar9? Maana yake huo mda fei kama nia yake ya kuvunja mkataba bado inayo maana yake anaweza kufanya hivo mda huu wa siku hizi 2 ndio maana wamesema hivo kwaiyo usifurahi sana haimamishi kwamba fei atabaki yanga na kuitumikia no maana anaweza fanya lolote ktk hizo siku 3 akifuata utaratibu wa kuvunja mkataba mbele ya kamati hiyo si mlirudisha hera yake sasa kwa sasa anaweza kuwapa mbele za hii kamati na mambo yakaisha kabisa so tujiandae lolote lonaweza kutokea
Lakini ukiwaza tu kikawaida hata kama fei atabaki yanga kwa namna alivokiwisha onyesha nia yake ya kuondoka unazani atakuwa fei yule wa siku zote!?? Atacheza kwa hamasa, molali na kujituma kama mwanzo???
Tena nilisikia hata kocha na baadhi ya viongozi wakisema kuwa eti fei akijichanganya akarudi anaoigwa bench mpaka akili imkae sawa kwamba yanga ndo wamemtengeneza sasa analete dharau sasa embu fikiria kama mambo yenyewe ndo haya si ni bora tu aende??? Na yy hiki ndo kinacho mpa hofu kuwa amesha wakwanza ma kuwakera watu wa yanga vya kutosha bora akomae tu na nia yake ya kusepa ni hayo tu.
Sasa mnashangilia nini kupata mchezaji wenu au kumyima namba.Kiranga anahangaisha watu waprove uwepe wa uchawi kila siku kumbe mpo huku.Unataka mchezaji wako au unataka umnyime namba.Safi sasa akili itamkaa sawa hao mambumbumbu wanaomdanganya wampe nafasi ya kucheza maana hatapewa nafasi hiyo jangwani
Yaa ila ina mimba yangu ya mwaka mmoja na nusu nayo tunaifanyaje?Ameshasema hakutaki achana naye....
Wakili msomi naona unapambanaHapo mambumbumbu ya utopolo yanazevezwa na kusetiwa ili wakija kustuka hakuna wa kumlaumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unachezea akili wewe,nyimwa vyote lakini upewe akili hata ya kuvukia barabara tu....
Subiri tarehe 9 sasa.
Chama ndo kaongelea umeona simba wakimzuia?Taratibu zozote atakazofanya lazima Yanga itashirikishwa.Yanga walikuwa wanataka wanaomtaka Feitoto wafuate taratibu simple.
Okay anaweza fanya lolote kama lipi? Manake ndivyo atazidi kujimaliza kumbuka FIFA wana sheria za kumlinda mchezaji na vile vile wana sheria za kuilinda club endapo mchezaji hasipofuata taratibu.
Mnapenda habari za uzushi "........tena nilisikia.......",mbona habari za kusikia kwenye soka zipo nyingi.
Mimi nimesikia kupitia insta live Chama mwenyewe kasema kabakisha miezi sita,je Simba husha wasikia wakiongelea swala la Chama?