allesandro 2021
Senior Member
- Feb 10, 2021
- 142
- 156
Hatakama hanitaki,aondoke kwa utaratibu,tusiumizane.Yanga mwenzangu una ubwege mkubwa sana. Yaani unafurahia hili? Yaani mke hakutaki anaondoka na anaenda kutiwa na mwanaume mwingine. Mahakama inamrudisha kwako kuwa hakuondoka na talaka unafurahia? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] WE SI BWEGE SANA? UTAKUWA NA AKILI KWELI? USITUAIBISHE SISI WENYE AKILI.