Hatima ya Fei Toto kujulikana Jumatatu tarehe 9 Januari 2023

Hatima ya Fei Toto kujulikana Jumatatu tarehe 9 Januari 2023

Yanga mwenzangu una ubwege mkubwa sana. Yaani unafurahia hili? Yaani mke hakutaki anaondoka na anaenda kutiwa na mwanaume mwingine. Mahakama inamrudisha kwako kuwa hakuondoka na talaka unafurahia? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] WE SI BWEGE SANA? UTAKUWA NA AKILI KWELI? USITUAIBISHE SISI WENYE AKILI.
Hatakama hanitaki,aondoke kwa utaratibu,tusiumizane.
 
Tanzania yangu daah kwani nani asiyejua Feisal ni mchezaji wa Yanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kikubwa tunataka maamuzi juu ya feisal kuvunja mkataba wake asepe

Ndo tunachohitaji kujua je anaruhusiwa kuvunja au laaah hayo maamuzi kamili ndo tunataka bhana
Kwani mkataba uko upande mmoja? Unachotakiwa kujua ni kuwa wachezaji wetu wajifunze kuheshimu mikataba yao, mengine ni kivuli cha maumivu mnayopata baada ya hukumu hii
 
Yanga wanaweza kuchukua hatua baada ya hukumu ya jumla sio hii ambayo bado ina mkanganyiko.......andiko hili la tff bado halihitimishi suala la FEISAL
Hukumu HAINA MKANGANYIKO wowote. Inatosha kabisa kwamba Feisal ni mchezaji halali wa Yanga, labda kama unataka kusema TFF wanaweza kuiamuru klabu ivunje mkataba wake. Vinginevyo busara pekee kwa Yanga ni kuwaita mezani wale wote wenye nia ya kumsajili kijana ili waysmalize. Sioni namna nyingine ambapo hukumu hii inaweza kubadilika, utata unatengenezwa na wale waliotamani maamuzi yawe tofauti.
 
Yanga mwenzangu una ubwege mkubwa sana. Yaani unafurahia hili? Yaani mke hakutaki anaondoka na anaenda kutiwa na mwanaume mwingine. Mahakama inamrudisha kwako kuwa hakuondoka na talaka unafurahia? 🤣🤣🤣🤣🤣 WE SI BWEGE SANA? UTAKUWA NA AKILI KWELI? USITUAIBISHE SISI WENYE AKILI.
Kwanza licha ya kutumia lugha isiyo staha nakuuliza, Fei kuchezea timu ipi nyingine (kutiwa) ndipo akarudishwa? Ushabiki mandazi. Yanga walitaka tu ifahamike kuwa Fei ni binti yao hivyo atakaye kumposa aje mezani, sio kumtwaa kama kiruka njia. Sasa ni wakati sahihi wa kuleta posa ili mahari ijadiliwe.

HALAFU KWANI UNAUMIA UKIWA WAPI?
 
Ndug tofauti yetu mimi na wewe ni mitazamo tu kuniambia mimi ni mjinga sio sawa mbona mimi hakuna mahali nimekutukana??? Kuwa muungwana basi umesema hujui kama kama nimemaliza hata primary je kama ni kweli sijamaliza hata primary je ningeweza kuandika ukaelewa kama sijamaliza darasa la 7??

Hivi kwann mnachukia sana mtu akiasema ukweli?? Hivi ukiwa mshabiki wa utopolo lazima akili ziyumbee na kuduma??? Unasema hajafuata utaratibu lakini unasahau huyu fei aliingiza pesa ambazo ni haki yenu yanga ambao mlimsajilia kweny account yenu mkazirudisha sasa mnasemaje hajafuata utaratibu huo mnaoutaka nyie hawezi kuufuta kwa sababu kuna njia nyingine ambayo mtakaba unampa kufuata sio hio mnayotaka ninyi ziko njia na taratbu nyingine kweny huo mtakataba zinamruhusu sema nyie mnataka kuabudiwa kama miungu Wangu vile mnamlzamisha atumie hio njia yy hataki anatumia njia nyingine hamtaki sasa mnaanza kulia lia na kutia huruma hapa.. Mtu alisema kweli mnakiwa wakali na kuanza matusi ndug huu mchezo hautaki hasira hata kidogo kuwa mpole lakini sio George wa Geita
Wewe jamaa huelewi lolote katika unayo bishania, kuendelea kuandika ni kujiaibiaha.
 
Hukumu HAINA MKANGANYIKO wowote. Inatosha kabisa kwamba Feisal ni mchezaji halali wa Yanga, labda kama unataka kusema TFF wanaweza kuiamuru klabu ivunje mkataba wake. Vinginevyo busara pekee kwa Yanga ni kuwaita mezani wale wote wenye nia ya kumsajili kijana ili waysmalize. Sioni namna nyingine ambapo hukumu hii inaweza kubadilika, utata unatengenezwa na wale waliotamani maamuzi yawe tofauti.
Huo ni mtazamo wako.....na hatuna budi kuuheshimu..,
 
Nadhani ni ufafanuzi wa jinsi walivyofikia maamuzi hayo. Hukumu ni hiyo, kinachosubiriwa na maelezo ya kina.
Kwa hiyo hapawezekani kuwepo na matumaini kwenye hayo maelezo ya kina......???

Je wakisema kuwa japokuwa wana mkataba lakini nafasi ya kuvunja anayo kulingana na aina ya mkatab.....???
 
Back
Top Bottom