Mwana Mnyonge
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 518
- 451
Kwa hiyo ulifikiria akiweka hizo 112m Basi mkataba umevunjwa ,kweli elimu elimu elimu Ni muhimu,ingekuwa hivyo mbona wachezaji wengi wangekuwa wanavunja mikataba yaoNdugu taratibu kidogo unajua kwann kamat imesema itatoa uamzi huo kamili j3 tar9? Maana yake huo mda fei kama nia yake ya kuvunja mkataba bado inayo maana yake anaweza kufanya hivo mda huu wa siku hizi 2 ndio maana wamesema hivo kwaiyo usifurahi sana haimamishi kwamba fei atabaki yanga na kuitumikia no maana anaweza fanya lolote ktk hizo siku 3 akifuata utaratibu wa kuvunja mkataba mbele ya kamati hiyo si mlirudisha hera yake sasa kwa sasa anaweza kuwapa mbele za hii kamati na mambo yakaisha kabisa so tujiandae lolote lonaweza kutokea
Lakini ukiwaza tu kikawaida hata kama fei atabaki yanga kwa namna alivokiwisha onyesha nia yake ya kuondoka unazani atakuwa fei yule wa siku zote!?? Atacheza kwa hamasa, molali na kujituma kama mwanzo???
Tena nilisikia hata kocha na baadhi ya viongozi wakisema kuwa eti fei akijichanganya akarudi anaoigwa bench mpaka akili imkae sawa kwamba yanga ndo wamemtengeneza sasa analete dharau sasa embu fikiria kama mambo yenyewe ndo haya si ni bora tu aende??? Na yy hiki ndo kinacho mpa hofu kuwa amesha wakwanza ma kuwakera watu wa yanga vya kutosha bora akomae tu na nia yake ya kusepa ni hayo tu.