Hatima ya Fei Toto kujulikana Jumatatu tarehe 9 Januari 2023

Hatima ya Fei Toto kujulikana Jumatatu tarehe 9 Januari 2023

Khaaaaah sasa wangekaa nayo kmya tyuuh had j3, au wanapima upepo ili waone nn kipo nje, ili j3 wajue wanatoa maamuzi gan kulingana na mapokeo ya hii taarifa ya awali.

Kazi ipo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hii ndo Tanzania yetu siunaijua lakini au mmeisahau tunaendesha mambo kitofauti sana wa inavotakiwa kuwa sie tuna dunia yetu aisee tumo humo kwa taarifa hii kila mwanamichezo anayo kuwa fei ni mali ya yanga sasa wao wanazani kuwa sie hatujui hilo??

Tunataka kujua fei awaletee yanga hera hapohapo mbele ya kamati aondoke iwe imeisha au vip sasa wao wanakuja na porojo zao sasa walishindwa nini kusubiri hiyo j3 ndo watutangazie au wanapima upepo wetu nje ya ili waone watakuja na lipi hiyo j3 Tanzania buana kila kitu ni siasa tu hata visivohitaji siasa
 
Khaaaaah sasa wangekaa nayo kmya tyuuh had j3, au wanapima upepo ili waone nn kipo nje, ili j3 wajue wanatoa maamuzi gan kulingana na mapokeo ya hii taarifa ya awali.

Kazi ipo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanatengeneza mwanya wa kuchuma.kajinchi kachafu sana haka.
 
Yanga Sasa Mkalisheni Bench Huyo Mpaka Aote Sugu
Sasa kauli kama hizi akiziona na kuzisikia ndio kabisaa hatarudi kumbe mnamtaka arejee ili mumuadhibu kwa kumkalisha bench si mumiachie aende tu kama ni hivo mi nilijua mnamtaka aje kuongeza nguvu kweny kikosi kumbe kumkomoa!!???
 
Aende zake tu. Ni kama vile ng'ombe unaweza kumpeleka bwawani lakini huwezi kumlazimisha kunywa maji.
Ni hatari sana kuwepo kwenye timu aweza kufanya hujuma labda akae benchi bila faida yoyote kwa club .

Nakumbuka kipindi kile Rooney alivyotaka kuhamia ManU kutoka Everton kabla ya mkataba wake kwisha aliwekewa mkwara na kusota benchi bila faida yoyote kwa club huku club ikiendelea kufanya vibaya.

Mwishowe Everton waliback down waliogapa angeweza kwenda Bure baada ya mkataba wake kwisha.

Mchezaji kama ameamua kuondoka ni vyema akaondoka kwani mapenzi Hana tena katika club hiyo.
 
Hakika mfano wako haukidhi vigezo hata nusu, kwanza kabisa ikiwa mke basi alikuwa hajatafunwa mbususu maana hakuchezea club yoyote wala kusainishwa lakini mbili nimeona jina lako Chizi Maarifa 🤣🤣🤣🤣
Hajachezewa mbususu wakati analala nje, we jamaa amka.
 
Chama ndo kaongelea umeona simba wakimzuia?
Unamzuije mcheza mwenye mkataba wa chini ya miezi sita?

Okay kuhusu kuongea Clip aliipost Shaffih Dauda kutoka kwenye Insta live ya Chama.

Ila still bado ni habari ya upande mmoja ndio maana nikamuiliza,kisha wasikia Simba wakiongea kuhusu swala la Chama?
 
Yaani mfanyakazi anatoka nyumbani kwake asubuhi anamwambia boss Niko zangu mishe vifaa vyako vya kazi nimemwachia store keeper kuanzia Leo Mimi na wewe basi?
Halafu kuna watu wanaona huyo mfanyakazi yuko sahihi? Hata wanasheria 26 waliofaulu ni wengi maana nchi hii imejaa vilaza watupu.
Kwaiyo kama mtu hataki kuendelea kufanya kwako utamlazimisha ndio maana kumbe wote ni wale wale si kakupa na kurudisha stahiki zako mwache aende we si boss leta mwingine maisha yasonge acheni kulia lia na kutia huruma hapa au hamna hera hata alizowarudishia mumezitakaa jamaa amezichukua anazitumia kula bata sjui mtamlaumu nani na hera mumekiri kuwa mumezirudisha wenyewe!?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unamzuije mcheza mwenye mkataba wa chini ya miezi sita?

Okay kuhusu kuongea Clip aliipost Shaffih Dauda kutoka kwenye Insta live ya Chama.

Ila still bado ni habari ya upande mmoja ndio maana nikamuiliza,kisha wasikia Simba wakiongea kuhusu swala la Chama?
Nchi hii mkuu ina maajabu sana na kama hili na mengine halijakustua basi huwa hatupo makini.Ujinga ni mwingi sana
 
Nchi hii mkuu ina maajabu sana na kama hili na mengine halijakustua basi huwa hatupo makini.Ujinga ni mwingi sana
Linishtue lipi? wakati taratibu zipo wazi,kama kufuata taratibu ni ujinga basi sawa. Ila uhuni huu wa kutokufuata taratibu litaliumiza soka la Tanzania.
 
Mbn swali lako jepesi sana ndugu? Toto kashafuata hizo njia za kuvunja mkataba kaandika barua ya kuvunja mkataba, kaweka pesa ya kuvunja mkataba tsh.112 millions na kaondoka kwenye timu. Majibu ya kamati ni kwamba hizo njia ulizotumia siyo halali so wewe Toto bado ni mchezaji wa Yanga mpaka hapo ukifuata taratibu zingine zinazokubaliwa na taratibu za FiFa. Full stop!
Nadhani kama kumbu kumbu zangu zipo sawa.....tff shitaka la kwanza la Yanga ni uhalali wa mkataba kati ya Yanga na FEISA.....ndio jibu lake limetolewa hapa katika hatua za awali.......kuhusu uhalali wa kuuvunja mkataba ndio majibu yake yanatoka tarehe Tisa.....naomba kurekebishwa kama nitakuwa nimekengeuka......??
 
Kuvunja ana ruhusiwa mchezaji yoyote yule haijalishi amebakisha miaka mingapi as long sheria na taratibu zifuatwe na pande mbili zikubaliane.
Nakubaliana na wewe katika hili......kwa mazingira ni kwamba FEISAL Bado ni mchezaji wa Yanga kwa kuwa bado mkataba wake haujaisha na upande mmoja unataka kuvunja mkataba..,..umiliki wa FEISAL kwa Yanga ni mpaka kamati itakapo jiridhisha kuwa hizo njia za kuuvunja mkataba ni sahihi na zimeainishwa kwenye mkataba wake.......ndio maana kamati imetoa majibu Kwa awamu kama ilivyo ainishwa na mlalamikaji ambaye ni Yanga........
 
Back
Top Bottom