Hatima ya Fei Toto kujulikana Jumatatu tarehe 9 Januari 2023

Hatakama hanitaki,aondoke kwa utaratibu,tusiumizane.
 
Kwani mkataba uko upande mmoja? Unachotakiwa kujua ni kuwa wachezaji wetu wajifunze kuheshimu mikataba yao, mengine ni kivuli cha maumivu mnayopata baada ya hukumu hii
 
Yanga wanaweza kuchukua hatua baada ya hukumu ya jumla sio hii ambayo bado ina mkanganyiko.......andiko hili la tff bado halihitimishi suala la FEISAL
Hukumu HAINA MKANGANYIKO wowote. Inatosha kabisa kwamba Feisal ni mchezaji halali wa Yanga, labda kama unataka kusema TFF wanaweza kuiamuru klabu ivunje mkataba wake. Vinginevyo busara pekee kwa Yanga ni kuwaita mezani wale wote wenye nia ya kumsajili kijana ili waysmalize. Sioni namna nyingine ambapo hukumu hii inaweza kubadilika, utata unatengenezwa na wale waliotamani maamuzi yawe tofauti.
 
Kwanza licha ya kutumia lugha isiyo staha nakuuliza, Fei kuchezea timu ipi nyingine (kutiwa) ndipo akarudishwa? Ushabiki mandazi. Yanga walitaka tu ifahamike kuwa Fei ni binti yao hivyo atakaye kumposa aje mezani, sio kumtwaa kama kiruka njia. Sasa ni wakati sahihi wa kuleta posa ili mahari ijadiliwe.

HALAFU KWANI UNAUMIA UKIWA WAPI?
 
Wewe jamaa huelewi lolote katika unayo bishania, kuendelea kuandika ni kujiaibiaha.
 
Huo ni mtazamo wako.....na hatuna budi kuuheshimu..,
 
Nadhani ni ufafanuzi wa jinsi walivyofikia maamuzi hayo. Hukumu ni hiyo, kinachosubiriwa na maelezo ya kina.
Kwa hiyo hapawezekani kuwepo na matumaini kwenye hayo maelezo ya kina......???

Je wakisema kuwa japokuwa wana mkataba lakini nafasi ya kuvunja anayo kulingana na aina ya mkatab.....???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…