Hatima ya Manji na Uchunguzi wa EPA

Hatima ya Manji na Uchunguzi wa EPA

Tusifurahie yakimkuta makuu maana pesa hazitapatikana, sana acha wafurahi wakina Mengi maana ndio watashika nafasi za juu kati ya mabilionea wa Tanzania.
 
how the hell is Mtikila close to Manji...lol acheni masihara... Manji is the owner of the Largest Conglomerate in Tanzania. Ni fisadi na mfuga mafisadi but he is not closely associated na Mtikila... Please!!!

nafokiri umechanganya mabo mambo ni Mtikila na Rostam si manji mdau
 
how the hell is Mtikila close to Manji...lol acheni masihara... Manji is the owner of the Largest Conglomerate in Tanzania. Ni fisadi na mfuga mafisadi but he is not closely associated na Mtikila... Please!!!

kinyambiss, you'd better go slow on this. If Mtikila has been on Rostam's payroll, it will be suprising if he is not on Manji's payroll as well.
 
Wana JF

Taarifa ya kuaminika kutoka kwa wafanyakazi wa Quality Group wanasema majira ya saa tisa mchana wametangaziwa rasmi kuwa Manji hali yake ni mbaya, alikuwa amewekewa drip na juhudi zote zilikuwa zikifanyika kuokoa maisha yake ambayo wameelezwa kwa wakati huo yalikuwa hatarini!
 
Tangu saa tisa hadi sasa?? Duuu naona anaweza kuserve labda wamkandamize nyingine kiana.
 
Tusifurahie yakimkuta makuu maana pesa hazitapatikana, sana acha wafurahi wakina Mengi maana ndio watashika nafasi za juu kati ya mabilionea wa Tanzania.


Pasco

Mimi napata wasiwasi na motive ya huyu jamaa kutaka kujiua wakati ni trilionea, na kwa mazingira na umasikini wa wadanganyika, anauwezo wa kununua gereza lote akala starehe popote atakavyo bila issue kubumbuluka.

Kwa mtazamo wangu nahisi yafuatayo, ambayo vyombo vya usalama lazima wazingatie kwa ku-take precaution:

1. Huyu jamaa huenda anataka kuhadaa watu kuwa amekufa, then wanaifanyia reconstruction kuwa huyu ndiye Manji, watu hamtaruhusiwa humuona wala kuhudhuria mazishi yake kama Balali

2. Baada ya kujiua, atakimbilia nchi nyingine akaendelee kutumbua pesa zetu huku Bongo ninyi mnajua mlishamzika, na pesa zilishapotea!

Natoa Tahadhari kwa watu wa usalama wawe makini kwa kufanya yafuatavyo:

1. Wamchukue DNA sample yake ili iwekwe kwenye data bank na hii ni kwa mafisadi wote, ili siku za usoni tunaweza kutrace watu wenye thinking ya kudissappear kama Manji

2. Kwakuwa anakaribia kuwa mtuhumiwa rasmi kwenye issues nyingi zaidi ya EPA, awe under survaillence, hata kama ni lazima awe na body guard, na atibiwe under Government medical Management Team.

3. Wasiruhusu afe bila kutaja account zake zote zilizoko nje maana Manji deal zake nyingi huwa hatumii jina lake kamwe! They can make some sort of a deal ili a-voluntie mwenyewe kutoa data za ufisadi wote alioufanya na watu alioshirikiana naye. Kwa hili kujiua hatakuwa matyr, haki ya wallah hataiona pepo bali akhera...watumia watu wadini kum-counsel aache uppuuzi wake.

4. Wachunguze nani anashirikiana naye kupanga mipango ya kujiua? lazima wapo think tank yake!
 
Vipi, hawa jamaa mafisadi walitishia usalama wa Kikwete kwa hiyo akaamua kuwarudi mapema? Nashangaa sipidi yake imekuwa ya haraka sana siku za hivi karibuni, wakati siku za nyuma huko alikuwa akisuasua sana hata pale palipokuwa na ukweli wa wazi kabisa. Sasa hivi naona kaamua kuweka gia ya nguvu na kukanyaga mafuta moja kwa moja bila kulegeza; hebu tusubiri mwisho wake, isijekuwa ni mbio za sakafuni tu.
 
Mimi ninachojua watu wote wenye uwezo na wana nia ya kujiua huwa hawakubali mateso au maumivu ya muda Mrefu. Kama mtu amedhamilia kujiua na ana uwezo kifedha huchukua bastola au bunduki yake na kujimaliza within few seconds. Wengine huchukuwa kamba nzito ya uhakika na kujimaliza kimtondo. ambo ya kunywa sumu ni ya watoto wa Sekondari bwana, hiki kitu kweli inabidi kichunguzwe vizuri .
 
Huyu fisadi mwana wa mafisadi anataka kuukwepa mkono wa sheria maana anajua yaliyompata Mramba na Yona jana naye yatampata hivi karibuni.
 
Shetani ndivyo anavyofanya kazi.Anakutumikisha halafu mwishoni anadai maisha yako.Kaa chonjo.
 
Wakinywa sumu mafisadi 10 hivi wakafilia mbali huko, Tanzania will be a safer place. Si wanahatarisha uchumi na usalama wa nchi hawa, au mi ndo sikusikia vizuri!!

Tanzania will not be a safer place kwa kuondoka mafisadi au kwa kufikishwa mafisadi na kukutwa na tuhuma kama ikibainika hivyo watafungwa.
Hakuna uhusiano wa safer place na mambo yaliopo ya ufisadi.
Hali hiyo itapatikana ikiwa tu wananchi wa Tz wataridhika na hali ya maisha waliyonayo ,kwa maana kuondoka kwa vitendo vya wizi wa kuuwana kwa kuiba simu ya mkononi,kuuwana kwa kutamania utajiri,kuuwana kwa kuiba kadi za simu na viselula viliomo,kuingia kweny nyumba kuuwa kwa ajili ya kuiba TV na redio,kuuwana kwa ajili ya kumkwapulia mtu vijisenti vilivyo mfukoni,watu wanaua kwa kuvamia kambi ya watalii porini na kuwakwapua laki tano na kuwaibia miwani na kofia.
Tanzania itakuwa na amani na utulivu kama hivi vifo vinavyosababishwa na watu wachache kwa gharama ndogo vitaondoka.

Nategemea vifo vya aina hii katika miji au nchi nyingi vimeanza kutoweka ,Tanzania kama tunavyosifiwa kuwa tunapiga hatua katika maendeleo basi serikali haina budi kutupa nusu ya nguvu zake katika kupambana na hali hii. Naweza kusema bado WaTanzania wengi wapo katika ujinga ,na ujinga ni adui wa maendeleo ,wanasiasa wetu,wabunge na viongozi hawana budi kuwahutubia wananchi maneno matamu na kuwagusia gusia mambo haya ili yafike kwa walengwa kwani tone la maji linaweza kupasua jiwe au kichwa(watu wa usalama wanelewa namna tone la maji linavyotesa).

Matokeo ya vifo vya kiholela vimekuwa ni vya kawaida kwa Watanzania na hasa hivi vinavyosababishwa na ujambazi wa vitu vidogovidogo kama simu na tv redio au vijisenti vya kutumia siku moja au nusu siku,mtu anapoteza roho ya mwenziwe kwa lakitano tu. Hivi Tanzania ya leo Laki tano utatumia siku ngapi ,itakuhitajia kuuwa watu wangapi ili ujitosheleze kwa maisha ya kila siku.

Tanzania ni nchi nzuri sana na inasifiwa kikweli kweli lakini wanasema hakuna Peace of Mind wananchi wake wanaishi kwa wasiwasi kwa ufupi hakuna usalama , au usalama wa raia zake ni sifuri au mdogo sana kiasi cha kuwafanya watu wawe kama wehu.

Hivyo unaposikia safer place basi ujue simu tv na redio sio vitu vinavyoweza kumfanya mtu kumkatisha maisha mtu mwengine.

tatizo ni kubanwa kwa njia za uchumi na masheria kibao ambayo kama yangeondolewa vitu hivi vingelijaa mpaka simba na chui nao huko mbugani wangekuwa wanamiliki redio,tv na vijiselula ,kusingekuwepo ukabaji wa kukwapua vitu hivyo,unakwapua unaenda kumuuzia nani ,na ikiwa vimejaa kila kona nani atanunua kwa mtu na haswa kitu cha wizi. bado tupo mbali sana kuwa safe country.
 
I say Manji we, usife ati ndugu yetu we. Lipa kwanza pesa yetu yote uliyokwiba and then ufe kama unataka. Usiondoke na deni letu ati.
BTW hivi haiwezikuwa kuna cospirancy ya kumuua ili sehemu ya ushahidi kwa akina RA upotee?
Maana RA ni bingwa wa kutafuta kupoteza ushahidi kwa gharama yoyote kama anaona kuna uwezekano wa kumtia hatiani!
 
jamani,tusitumie uwepo wa matukio kuandika chochote...mnataka wazee wa jangwani tuandamane eeh!!

kaka hii yako imenifurahisha mnoooo, na tutaandamana kweli we waache wamzushie mabaya mdhamini wetu ooh
 
jamanii ehhh hebu tupeni basi hizo habari huyo ponjori kishavuta????maana nshaanza kushtukia movie yetu itakoishia..tutaambiwa hela zoote alikufa nazo marehemu MAnji so hakuna wa kuhukumiwa
 
Nina mahaka na hii habari kwamba jamaa asije akawa kategeshewa ili aondoke na kufuta ushahidi kwa wengine waliosalia. Nachelea hiyo style yake ya kutaka kujimaliza. Tuombe Mungu apone na kisha yote yatajulikana tu.
 
Huenda hanywi ya kutosha, kwa nini kila siku wamnusuru? akashike nyaya za umemee basii. very simpo
 
Mtasikia hali yake ilizidi kuwa mbaya na akasafirishwa na "madaktari wasio na mipaka" kwenda South Africa kwa matibabu zaidi. That will be the end of story....
 
Kama ni kufa wacha afe ,kama watakufa wacha wafe ila atakaebakia ndio mwizi na ndie atakaesulubiwa kwa ajili ya wote.Kama wananchi watakuwa na imani ya namna uendeshaji wa kesi utakavyokwenda,na serikali wala mtu asijaribu kwa chini au kwa juu kuwakingia kifua watu hawa ,nasema wataumbuka watu katika kesi hii ikiwa wanaojidai wanaubavu wa kutembelea watuhumiwa mahakamani na kuzungumza nao, matembezi hayo yatatoa jawabu mbaya kutoka kwa wananchi ,ni bora viongozi wa serikali wakajitenga na watu hao kwa njia moja au nyengine , lakini kujifanya shujaa na kwenda rumande kuwaliwaza ni kuwafanya wajinga wananchi wa Tanzania hasa jambo hilo linapofanywa na kiongozi katika nafasi yeyote ile.
 
Manji anabwia madawa ya kulevya...huenda sasa mwili wake umeshakuwa dhoofu sana.

Ukiwa mtumia unga, hoja sio iwapo utakufa bali utakufa lini.
 
Wamchukue DNA sample yake ili iwekwe kwenye data bank na hii ni kwa mafisadi wote, ili siku za usoni tunaweza kutrace watu wenye thinking ya kudissappear kama Manji

Mkuu Mnyoofu
Tungekuwa na usalama wenye mawazo safi kama yako, miaka kumi ingekuwa mingi kuwamaliza wahujumu uchumi.
Tatizo hawa jamaa wanadhani DNA ni ya kupima watu wanaokata watoto tu. Hawajui kuwa hiyo mashine ni moja ya nyara za taifa

Jamani wanaJf huko aliko Manji any news? Maana kuna watu hata hujui uombe Mungu wafe ama waishi! As we know sala must be specific ili ijibu
 
Back
Top Bottom