JUA ni Kali Sana
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 1,202
- 1,543
Hongera zakeMungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
YeahNi kitambi tu
InasemekanaMungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
55?????????????????????????????????Lady j d hakuwahi kumezà hayo p2, GGH alikaa nae 15 yrs hadi wakaachana hakupàta mimba, sasa technology imekuwa àmeweza kupàta mimba akiwa 55. Tumwombee apate mjukuu salama.
Hakuna linaloshindikana chini ya juaView attachment 3237676
Dr. Mariposa mariposa vipi kisayansi miaka 45+ anaweza kushika ujauzito?
DR Mambo Jambo
Yapo ambayo chini ya jua hayawezekani.Hakuna linaloshindikana chini ya jua
ChaiMungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Hongera kwa kidume aliyefanikisha hiliMungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Ana Miaka Mingapi ?Wanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wente miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
Si yule mtangazaji marehemu alisemaga eti alikuwa anamkojoza huyu dada kwa miaka kadhaa?Mungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Nani kakutuma kupost hii mambo,kwanini usiwe na subra na kaba,kwani unapotrza nini mjini hapo kwa kuamua kuwa kimya.Mungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Upo ... CC Smart911 (•‿•)(•‿•)(•‿•)Amin watoto ni baraka
Hongera zakeMungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
kumbe tunyojadili ni MAUZAUZA tu?Picha imepigwa 6/5/2024, kama ni mtoto anaye tayari. Hongera