Hongera kwake mwanangu @oscaroscarMungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Kwamba ndo kidume wa Commando Jide, lolHongera kwake mwanangu @oscaroscar
Kufufua wafu ni mojawapo ya tendo ambalo lilishawahi fanyika chini ya juaKwenda kumfufua mzee Kibao inawezekana?
Hakuna hicho kitu mkuu, ni hadithi tu hizo tunasoma kwenye vitabu.Kufufua watu niojawapo ya tendo ambalo lilishawahi fanyika chini ya jua
Wafu hawawezi kuamkaKufufua watu niojawapo ya tendo ambalo lilishawahi fanyika chini ya jua
Sarcasm.Mungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Uongo unakusaidia nini? 55 huyo.ana 47 (born 15 June 1979), inawezekana amefanya In vitro fertilisation (IVF)
Kwanini tunagombana kwa umri wa Jide? Umeona ni 55 or choose any number u like, its okay.Uongo unakusaidia nini? 55 huyo
Huu si ujauzito ni uvimbe wa tumbo kapata kutokana na kula sana kitimoto na kunywa pombe kali.Mungu ni mwema kila wakati.
Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.
Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.
Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Yesu alikufa akafufukaWafu hawawezi kuamka
Swali zuri sana..kwani alikuwa na shida ya kupata mtoto?
Kwa historia yake, nina uhakika atakuwa ameshapata mtoto ndio akapostPicha imepigwa 6/5/2024, kama ni mtoto anaye tayari. Hongera kwake
Thinking is hard, that's why we judge.Wanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk kubwa ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%,ni kubwa sana hio
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wenye miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
No offence ila kama kweli umeamua kuongelea kuhusu uzombie miaka 20 ijayo nakataa. Naamini uzombie umeshaanza na ushahidi mzuri ni hiki ulichokiandika.But in 20yrs to come Tz itakuwa na watoto mazombie wengi... Mwanamke wa kiafrika kuzaa akiwa 35+ ni kuzaa changamoto... Mnameza sana P2, mnafanya sana abortion, mnatombeka sana...