Hatimae dada mkuu, Lady Jay Dee ni mjamzito

Hatimae dada mkuu, Lady Jay Dee ni mjamzito

Mungu ni mwema kila wakati.

Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.

Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.

Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Hongera kwake mwanangu @oscaroscar
 
Mungu ni mwema kila wakati.

Hakika usimkatie mtu tamaa. Inasemekana dada mkubwa, binti komando, ni mjamzito.

Ikumbukwe ni muda sasa anatafuta mtoto, hatimae mungu amesikia kilio chake. Dada mkubwa anajiandaa kupata mtoto wakati wowotr kuanzia sasa!! Kila hatua dua.

Kila la heri kwako.View attachment 3237669
Huu si ujauzito ni uvimbe wa tumbo kapata kutokana na kula sana kitimoto na kunywa pombe kali.
 
JD anasema amezaliwa 1979 (yaani kwa sasa ana miaka 45+), lakini ukifuatilia vizuri utagundua huo umri amechakachua.
Kivipi?
Lady JD ameanza kuhit kimuziki, tena kimataifa mwaka 2000 (yaani akiwa na karibu miaka 21), na wakati huo alikuwa amechakula kidato vizuri na huenda na chuo na kwa vyovyote vile amekuwa underground kimuziki kwa at last miaka 5 kabla ya kupata management nzuri ya kumtoa kimataifa.
Sasa unawaza tu, binti wa Kikurya tena kisabato aliwezaje kufanya mziki wa bongo flavour akiwa na miaka 15?
Jibu haiwezekani.

Kwa uchambuzi wa kimatukio, unaweza ukajua huenda dada yetu alizaliwa kabla ya 1975, na kwa sasa ana miaka isiyopungua 50.
 
Wanawake bana,muda wote wanakula ma-P2,anafika umri wa kulea wajukuu ndio anaanza kuzaa,.......hajui kuwa huo umri ni risk kubwa ya kupata watoto wenye congenital defect,hata kama risk inaongezeka kwa 2%,ni kubwa sana hio
Kitu kizuri kuhusu Dunia,ni kua bado wapo wanaume watakaoacha wanawake wenye miaka 20,na kwenda kuoa wazee wa miaka 40,hii tunaita life balance
Thinking is hard, that's why we judge.
 
But in 20yrs to come Tz itakuwa na watoto mazombie wengi... Mwanamke wa kiafrika kuzaa akiwa 35+ ni kuzaa changamoto... Mnameza sana P2, mnafanya sana abortion, mnatombeka sana...
No offence ila kama kweli umeamua kuongelea kuhusu uzombie miaka 20 ijayo nakataa. Naamini uzombie umeshaanza na ushahidi mzuri ni hiki ulichokiandika.
 
Halaf wema anakata tamaa kupata mtoto wakati sasa hivi unapata mimba ni pesa yako tu
 
Back
Top Bottom