Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

Wewe acha kumdanganya na kuudanganya umma. Hiki ni kituko. Ni kinyume na dini yake. Kitendo hiki kipashwa kukemewa kwa ukali sana. Kwa ufupi FLORA kwa sasa ana wanaume wawili na hii inaitwa UKAHABA.
Ni ukweli mchungu lakini usemwe kwa upendo! Mungu awape kuyatengeneza! Flora (aliyedai talaka mahakamani) amrudie Mbasha! Hilo linawezekana maana hakuna lisilowezekana kwa Mungu!
Huyu dogo amejivika jukumu la kulea mke wa mtu! Japo sina uhakika kama analea au analelewa!
 
je Flora alipima UKIMWI. kulikuwa na rumours kwamba ni jumlisha.
 
Ni ukweli mchungu lakini usemwe kwa upendo! Mungu awape kuyatengeneza! Flora (aliyedai talaka mahakamani) amrudie Mbasha! Hilo linawezekana maana hakuna lisilowezekana kwa Mungu!
Huyu dogo amejivika jukumu la kulea mke wa mtu! Japo sina uhakika kama analea au analelewa!


je Flora alipima UKIMWI. kulikuwa na rumours kwamba ni jumlisha.

You made my day [emoji2] [emoji2]
 
Ni aibu kwake biblia imesema alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe,

lakini pia mtume paulo kashauri ingekuwa bora kama ingewezekana kuishi bila koa au kuolewa Bali kumutumikia Mungu.

Sasa kama ndoa imesumbua kwa nini asingeamua kukaa peke yake na kumutumika Mungu?
Tatizo huko chini hakuwezi kuishi na upweke
 
kweli frola ni fara sana hapo usikute yeye ndo kamforce huyo kiboy wafunge ndoa ilimladi tu sijui amuonyeshe x wake.. yaan ww frola ni choko wa machoko.. watu kama hao moto wao unawasubili wa kujifanya wanamtukuza mungu huku ngenye zinawasumbua na kutembea na vitoto vidogo
 
Ni aibu kwake biblia imesema alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe,

lakini pia mtume paulo kashauri ingekuwa bora kama ingewezekana kuishi bila koa au kuolewa Bali kumutumikia Mungu.

Sasa kama ndoa imesumbua kwa nini asingeamua kukaa peke yake na kumutumika Mungu?
Nyege nyege Ngunga
 
622959b8767086107a7db1bf4b465165.jpg
 
Kila LA kheri Flora. Maisha ni yako ma maisha ni wewe. Huwezi kuishi maisha ya wengine maana utakuwa mtumwa wa wengine hadi kufa. Umefanya uamuzi sahihi, songa mbele na endelea kumtukuza Mungu maana kila jambo lina maana yake. Mipango ya Mungu sio ya mwanadamu.
Usiruhusu mtu yeyote awaye kuhoji juu ya maisha yako. It's you and only you.
Naona unamtetea Fuska Flora Mbasha (FFM)
 
Wewe acha kumdanganya na kuudanganya umma. Hiki ni kituko. Ni kinyume na dini yake. Kitendo hiki kipashwa kukemewa kwa ukali sana. Kwa ufupi FLORA kwa sasa ana wanaume wawili na hii inaitwa UKAHABA.
Ni kweli kabisa ni UKAHABA
 
Huyo kijana kaamua kwenda kuoa Used (Mke wa mtu) wakati mabinti wabichi kabisa wapo tele.
Hivi hiyo ndoa imefungwa kanisa gani?
Maana kiuhalisia Wakristo wanaoana mara moja tu katika maisha yao au mpaka mmojaa afariki dunia ndio inawezekana kuoana tena.
 
Mmmmm, hongeren ila vumilianen kwenye madhaifu yenu. Mungu awape maisha marefu na yenye mafanikio mazuri.
 
Dogo na ww akikuchoka atakuacha kwa fedhea! Tabia ni tabia.
 
Back
Top Bottom