Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

Ndoa ya kikristo inavunjika kwa sababu mbili
Uasherati
Kifo
Sasa kama mbasha alibaka, unataka nini tena!
Una uhakika alibaka?

Flora Mbasha mpaka akapata mtoto wa nje ya Ndoa hakubakwa?
 
Hatimaye kaoa. Ndio uzuri wa maisha ya siku hizi.
 
Acha mawazo chakavu dear, mbona mdada wa miaka 26 anaolewa na Mme wa miaka 38! Ni maelewano tu!
Na umri wa waoanao sio tatizo bora miili yao inaendana
Unasema bora miili inaendana badala useme Akili na Feelings.
 
Kifupi kuna mtu tunapendana na kaachana na mumewe na mumewe yupo hai bado sasa nikifikiria haya ya Flora wanaposema hayuko sahihi kufanya hayo ndiyo nachoka kabisa mm nakosa raha.
Oooooho!! Subiri ampate mwingine na ww uachwe utafurah na roho yako, ivi hujaona wanawake ambao ni wapya wapya? Anyway nenda urudi umepoteza muda
 
Kuna watu wanabahati, kuna wanaoingia kaburini hawajawahi kuvaa gauni hili wengine wanalivaa zaidi ya mara moja. Ninawatakia maisha ya heri na furaha mr and mrs Kusekwa.
Maombi hayo, na miujizA,
Mkiambiwa okokeni hamtaki
 
Kuna watu wamedhihirisha ya kwamba hata Mungu mwenyewe huwa hawapangii cha kufanya. Binadamu tumebadilika sana.
 
...
Mwenye story ya Winny na Nelly afafanue, tupongezane na facts zibaki ...
...
 
We live by the choice we make not by chance
Kama hakuwa na furaha nara ya kwanza kwa nini ang'ang'anie kuishi na mbasha?? Hatujui nini kilitokea mpaka kaamua kumuacha tena kwa kumbambikia kesi afu ukitanguliza hisia hili swala huwezi kuona clear picture
Afu mbasha nae kulalamika kumekuwa kwingi inaashiria low self esteem anajifanya anajifanya kuposti picha na mtoto watu wamuonee huruma
Yaani anaonekana desperate hizo mambo huwa wanafanya wanawake mwanaume ukifanya hivo unaonyesha kutojiamini watoto wa kike huku usukumani unakuacha mara moja
 
Hayawi Hayawi sasa yamekua, hongereni wanandoa,

Nimewapenda vile maneno ya watu hayajawatetemesha,

Maisha yenyewe mafupi haya, vipi ujibane bane.
 
Back
Top Bottom