Jimmy George
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 1,733
- 1,648
Sijasema wote lakini mkuu walokole wengi tunao mitaani kwetu tunawaona mkuu ni kosa kuwasingizia wapendwaSiyo kweli! Mfano mmoja mbovu hauwezi kuwa kielelezo cha jamii kubwa sana ya walokole/wakristo wa kweli!