Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

Yaaani we acha tu, watu kimewauma utasema walikua katikati yao wakilala usiku,

Angekua Mbasha ndio kaoa angesapotiwa, ila kwa kua ni Flora maneno kibaoooooooo,

Mwanamke sharti asimame imara asikubali kuyumbishwa.
 
Reactions: 314
Jamaa kama kalazimishwa vile kweli vijana wa bongo walaini sana wanaburuzwa kama watoto? Sijui ni umaskini, lack of confidence? Am confused
 
KAMA ni makusud ya mwenyezi MUNGU wa mbinguni, tupo kama mashuhuda, but kama sio yeye ni MUNGU hutanguae ishara za waovu, mikono yao isitimize makusud yao. Yeye ni MUNGU ajuae mawazo yetu kabla ya kesho
 
Walifunga Ndoa kanisani

Kama kweli alifunga ndoa,,,,,basi iyo ya sasa ni batili na mm naitengua ktk ulimwengu wa roho na natangaza kuwa ni batili,,,,,,,,na huyo mchungaji aliyefungisha ndoa nae atakua ni fake pastor.

Amefungia ndoa kanisa gani????
 
Katukanisha dini yetu huyu... Kuanzia sasa ni haramu... Bible inasema mwanamke au mwanaume akimwacha mkewe au mmewe bas na asiolewe tena.. Kinyume na hapo atakuwa kahaba, mzinifu, malaya, haramu na mengine yaendanayo na hayo..... Kwaiyo wewe Dada ni haramu, ukimgusa mtu inabidi akanawe.
 
Sasa akatulie kwenye ndoa atutaki kusikia akilia lia tena mara [emoji125] anaonewa, sijui mwanaume anamnyanyasa, sijui mwanaume anataka wasichana wengineo.
Na yule dogo Lazima atataka kupata watoto angalau wawili, sasa sijui Flora Mbasha atakuwa tayari

Yule dogo ndio maana ata katika harusi ana amani akiwaza vitu kama ivyo anakuwa ana amani, na ukijumlisha ndugu tayari washampaka mineno yetu ya kiafrika basi hata katika katika harusi ndio maana kama kapigwa sindano ya ganzi,
 
Mbinguni unakujua wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…