Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Kiukwel inaumiza sana kweny maisha usiombe yakukute
 
Huu ndo uanaume malizana nae na utainjoy sana, uko huru, kumbuka kwa Mimi kuwa na migogoro sipendelei Bora nimpe vitu vyote, hapo nakupa big up ndugu, kwanza watoto unao, pili hakuna majukumu zaid ya hiyo 150,000, ,na komea hapo usiongeze Kaa tulia enjoy, kama utafikiria kuoa baadae Rafiki usiende kwa wataftaji, chagua kuku wa kienyeji mrembo kazi yake kupika kupakua ajirembe kwa ajili Yako tu, ambaye si mjuaji asiye na makuu, mkuu umaskini hauishi utaendelea kuwepo zaid na zaaid, usimtoe mke wako nje kufanya kazi kazi fanya wewe hudumia familia, ona mgao umepita na bado jukumu la kulea ni lako, yeye pesa zake ni za nini? Ndo maana waerevu tunasema Mwanamke Kaa nyumbani hutaki huo ndo mwisho wetu, ndugu chagua kuku wa kienyeji utafaidika.
 
Umeona sasa? Mnaenda kumfanya huyo binti aone mahusiano ya ndoa ya hovyo..!!

Mkeo itakuwa amekurupuka kudai talaka ila atajutia na itamtesa sana baadae..!!

Mkuu km kuna uwezekano wa kuahirisha maamuzi fanya hivyo kwa mustakabali wa watoto wenu..!! Mkishindwa sana gawaneni vyumba mlee mtoto.

Unajua kinachoenda kutokea? Wewe utaanzisha familia na mwanamke mwingine, na mkeo nae ataanzisha familia na mwanaume mwingine..!!
Hapo mtawaweka katikati watoto wenu, wakiwa kwa baba wanakuta mama mwingine na watoto wake, wakiwa kwa mama wanakuta baba mwingine na watoto wake..!!! Hao watoto watakuwa na huzuni miaka yote.. ๐Ÿ˜ฅ
 
Huyo ni mtoto mdogo sana anajulikana humu kwa maandishi yake asikuumize akili,umetumia nguvu nyingi sana kutaka kumpa ufahamu mtu ambae hajakua.
 
Mmmmhhh KUANZA UPYA SI UJINGA,,, ila kuna vit VITACHELEWA SANAAA,,, akiomba msamaha fanya jambo maisha haya jawah kueleweka na hayata eleweka TUNAISHI SEHEMU NDOGO SANAAA YENYE furaha kiduchu,,,,, upendo utamalaki juu yako
Simple hivyo eti???

Wewe mumeo alivyojua umevuliwa nguo na hawara ulimuomba msamaha maisha yakaendelea?kama cha kuandika hamna kwanini usikae tu kimya kuliko kumshauri mtu ujinga?
 
Kuna hii comment, af kuna mmoja pia nasubiri ajibu... asipojibu nitamtafuta nimtag๐Ÿ˜…
Huwa natamani hawa kufahamu umri wao, na kama ni wakubwa natamani kufahamu kama wana watoto wa kike... kama una D2 utanielewa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
We kweli the worst.

Kwanini umuattack hivyo.

Huwezi kupresent hoja yako bila kumdhihaki mtu?
Ulikiona lakini alichomshauri mwenzako?

Yaani mke amet*mbwa pamoja na kupigwa picha za utupu,jamaa amehoji kistaarabu lakini mke amemjibu sh!t mke akaona haitoshi akamtia sell,kidogo akarudi akabeba home appliances akaona haitoshi akaenda kudai talaka tena mahakamani na mgao wa mali mume amekubali halafu inakuja kenge moja hapa inasema huku imebana pua โ€huyo msamehe tu maisha yaendeโ€.

Ndiyo nikamuuliza labda ana experience zaidi yetu yeye alipofumaniwa alisamehewa na mumewe?
 
Pole sana ila Kuna sehem umetunyima uhondo ,pale ulipokataa kuongea naye pembeni,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ