Kama vile ndoa inavyojengwa na mambo mengi, ndoa inavunjwa na mambo mengi pia.
Mke/Mume haondoki kwa kosa moja!
So visa ni vingi, vya muda mrefu, vilivyoachwa kuchukuliwa maamuzi sahihi kwa wakati au hazikuchukuliwa maamuzi kabisa.
Inafika muda akili inachoka!
Both mkikosa sababu za kuendelea kuwa pamoja hakuna sababu tena ya kubakia!
Na kimsingine mwingine anaweza asiondoke yeye, anaweza asitamke yeye kuwa hii ndoa imefika mwisho ila anaishi na mwenzi akiwa ameshatengana nae kimwili kihisia kiakili na kikila kitu.
So hakuna ndoa inavunjika mtu atakupa sababu moja, kwamba alifanya hivi nikaondoka! SIO kweli
💩💩💩 sasa singo maza wewe utaenda wapi tumbo limejaa visu vya leba, kinena kimekomaa kwa kunyoa 💩 utaenda wapi kwapa nyeusi kwasababu ya kuficha chenchi za kununulia vitu sokoni 💩 unataka tu kujifariji useless...
Mkuu atapata mtu sema huyo mtu hata toa huduma kwa watoto kwasababu huyo Mwanamke atakua anaogopa kumuomba matunzo ya watoto kwasababu anajua Mwanaume atakimbia, kwahiyo Maswala ya Huduma za watito wake atakua ana toa mwenyewe na kuomba kwa Mzazi mwenzake.
Mkuu atapata mtu sema huyo mtu hata toa huduma kwa watoto kwasababu huyo Mwanamke atakua anaogopa kumuomba matunzo ya watoto kwasababu anajua Mwanaume atakimbia, kwahiyo Maswala ya Huduma za watito wake atakua ana toa mwenyewe na kuomba kwa Mzazi mwenzake
Umeona sasa? Mnaenda kumfanya huyo binti aone mahusiano ya ndoa ya hovyo..!!
Mkeo itakuwa amekurupuka kudai talaka ila atajutia na itamtesa sana baadae..!!
Mkuu km kuna uwezekano wa kuahirisha maamuzi fanya hivyo kwa mustakabali wa watoto wenu..!! Mkishindwa sana gawaneni vyumba mlee mtoto.
Unajua kinachoenda kutokea? Wewe utaanzisha familia na mwanamke mwingine, na mkeo nae ataanzisha familia na mwanaume mwingine..!!
Hapo mtawaweka katikati watoto wenu, wakiwa kwa baba wanakuta mama mwingine na watoto wake, wakiwa kwa mama wanakuta baba mwingine na watoto wake..!!! Hao watoto watakuwa na huzuni miaka yote.. 😥
Nikweli kwa Tamaduni za Afrika kikawaida Watoto wanakua na Mama wengi ila Baba anakua mmoja, lakini sikuhizi utakuta watoto watano wa Mama mmoja na wa Baba wapo watatu.
yes,
Mimi husema kama kile nilichokipigania miaka yote , nimeishi ,nimekua humo, nimetengeneza life legacy Kimepotea, kuna nn kingine kitauma kupoteza?
Hakuna aiseee! Viende tu basi hakuna kingine cha kugombea kibaki, hakuna hata moja.
Rafiki, ninawapenda watoto wangu sana. Ila sikuwa na namna ilinipasa kutengana nao kwa muda.
Nilipokuwa ninaelekea kulikuwa kubaya zaidia ya kutengana nao kwa muda.
1. I WAS SUICIDAL, WANGENIKOSA MAZIMA. sasa kipi bora waone kaburi au waone mlango ambao mama yao anaishi, niliwachagulia waone mlango ambao mama yao anaishi.
2. I WAS VENGEFUL, ningeweza kufanya chochote katika mtanziko ule wa kihisia, chochote pengine hata madhara kwao, ilinipasa kuwakimbia kwa muda kwa usalama wa kila mmoja.
3. I WAS ECONOMICALLY UNSTABLE, kuliko niwachukue nishindwe kuwapa huduma stahiki, ilikuwa lazima niptee kwa muda ili nirudi nikiwa ninajimudu, so i did it.
4. I WAS EMOTIONAL WEAK, ninaamini katika cutting generational traumas, sikutaka kabisa kuwalea au kuendelea kuwalea nikiwa that weak, ilikuwa lazima nijitenge nijiboreshe nikiwa sawa niweze kuwale bila kuwaambukiza maumivu yangu wala kuwatizama kama burden na sababu ya kubaki kwneye ndoa yenye maumivu.
HAVING GOING THROUGH ALL THOSE SELF projective facts, NILINYANYUA MIKONO JUU, NIKAMSHUKURU MUNGU NIKAWAACHA.
5 yrs now, Sijawahi kujutia uamuzi ule
Ninaweza kuwalea bila majeraha(Ninaishi na mmoja aliye under 18, the rest two mmoja yuko chuo, mwingine nilipoondoka alikuwa form six now anajitegemea),ninawatimizia mahitaji yao bila changamoto wala kuhitaji support iwapo isitokee kwa mhusika kulingana na maamuzi binafsi which im okey with, ninayatizama maisha very positively so ninayafurahia na ninasubiri uzee wenye baraka, nimefind life purposes so i love to live adn i celebrate it. I am economically and emotional stable now kila kitu nakitizama katika uhalisia bila self or personal blame.
NA HIKI NDICHO WAZAZI TUNAPASWA KUKIOMBA TULEE WATOTO WETU WITH THAT SAFETY!
mzazi mwenye character hiso nne hapo juu nilikuwa nazo, ni MORE THAN FATAL kwa malezi na makuzi ya mtoto.
Sikutaka my failures as a wife iendele kuathiri my motherhood!
So yes!
NI NGUMU NAKUELEWA, ila wakati fulani INATULAZIMU
Rafiki, ninawapenda watoto wangu sana. Ila sikuwa na namna ilinipasa kutengana nao kwa muda.
Nilipokuwa ninaelekea kulikuwa kubaya zaidia ya kutengana nao kwa muda.
1. I WAS SUICIDAL, WANGENIKOSA MAZIMA. sasa kipi bora waone kaburi au waone mlango ambao mama yao anaishi, niliwachagulia waone mlango ambao mama yao anaishi.
2. I WAS VENGEFUL, ningeweza kufanya chochote katika mtanziko ule wa kihisia, chochote pengine hata madhara kwao, ilinipasa kuwakimbia kwa muda kwa usalama wa kila mmoja.
3. I WAS ECONOMICALLY UNSTABLE, kuliko niwachukue nishindwe kuwapa huduma stahiki, ilikuwa lazima niptee kwa muda ili nirudi nikiwa ninajimudu, so i did it.
4. I WAS EMOTIONAL WEAK, ninaamini katika cutting generational traumas, sikutaka kabisa kuwalea au kuendelea kuwalea nikiwa that weak, ilikuwa lazima nijitenge nijiboreshe nikiwa sawa niweze kuwale bila kuwaambukiza maumivu yangu wala kuwatizama kama burden na sababu ya kubaki kwneye ndoa yenye maumivu.
HAVING GOING THROUGH ALL THOSE SELF projective facts, NILINYANYUA MIKONO JUU, NIKAMSHUKURU MUNGU NIKAWAACHA.
5 yrs now, Sijawahi kujutia uamuzi ule
Ninaweza kuwalea bila majeraha(Ninaishi na mmoja aliye under 18, the rest two mmoja yuko chuo, mwingine nilipoondoka alikuwa form six now anajitegemea),ninawatimizia mahitaji yao bila changamoto wala kuhitaji support iwapo isitokee kwa mhusika kulingana na maamuzi binafsi which im okey with, ninayatizama maisha very positively so ninayafurahia na ninasubiri uzee wenye baraka, nimefind life purposes so i love to live adn i celebrate it. I am economically and emotional stable now kila kitu nakitizama katika uhalisia bila self or personal blame.
NA HIKI NDICHO WAZAZI TUNAPASWA KUKIOMBA TULEE WATOTO WETU WITH THAT SAFETY!
mzazi mwenye character hiso nne hapo juu nilikuwa nazo, ni MORE THAN FATAL kwa malezi na makuzi ya mtoto.
Sikutaka my failures as a wife iendele kuathiri my motherhood!
So yes!
NI NGUMU NAKUELEWA, ila wakati fulani INATULAZIMU
Wakuu heshima kwenu. Poleni na majukumu. Ndugu yenu numerudi tena kuwajuza yale yanayoendelea kunisibu, maana najua hapa wamejaa watu wenye upeo wa kushauri, kutia moyo ,kuonya, kukufungua jicho upate alert na wengine weeengi sana. Wiki kadhaa zimepita toka nilete mikasa yangu na mazonge ya...
www.jamiiforums.com
"Samansi" ya mahakama ilielekeza nifike mahamani siku ya leo tarehe 12 Feb 025 nami nikafanya hivyo.
Katika kesi hii mimi kama mdaiwa na aliyekua mke wangu kama mdai.
Niseme tu kitu, katika mfumo wa serikali na personally katika suala hili, nimekuja kugundua, wanawake wame occupy sana nafasi nyingi serikalini, sasa sijui sababu ni nini?
Maana ;
- nilipoitwa dawati, incharge pale alikuwa mwanamke.
nilipoitwa baraza, kikao chote kilijawa na wazee wa baraza wanawake
Kama ambavyo nilikua nimeamua kuwa natamani hili suala liishe tu, na pia kwa kuzingatia ushauri wa baadhi yenu ndugu zangu wana JF, sikupemda kesi iwe na mambo mengi.
Tulipoitwa chamber na hakimu, alianza kwa kusema "hii kesi leo mmeitwa ili iweze kutajwa tu na kipangiwa siku nyingine, hivyo, mdaiwa utasomewa tu charges zako kisha kama una neno utatamka"
Akasoma,kama ilivyo ainishwa kwenye "samansi" niliopokea ,kuwa mdai anataka
1. Talaka
2. Mgawanyo wa mali
3. Kuishi na watoto
4. Matunzo ya watoto
Akauliza "unasemaje?"
Nikamjibu, "nimesikia na sina pingamizi juu ya lolote katika hayo, na kwasababu sina pingamizi naomba mahakama kama inaweza, hili suala tulimalize hapa hapa na leo leo mheshimiwa hakimu"
Akauliza "umekubaliana na haya yote?"
Nikamjibu "ndiyo, nakubaliana na dai lake la talaka, pia nakubaliana na dai la mgawanyo wa mali, japo nitaomba kujua muongozo wa mahakama unasemaje kuhusu hilo , pia muongozo wa mahakama unasema nini kuhusu matunzo ya watoto na kuishi ma watoto, maana yote niko tayari ku comply"
Akasema "kama ni hivyo, basi hii kesi ni nyepesi na itakwenda vizuri, kuhusu mgawanyo wa mali, mahakama ina suggest 50% 50%, unless kama kama mmoja wenu hajaridhika na mtahitaji tuingie katika ushahidi wa kuthibitisha mchango wa kila mmoja kwa vithibitisho.
Pia matunzo ya watoto yamejikita katika chakula, malazi, afya, na ada. Jukumu hili ni la baba kikawaida, lakini mahakama inaangalia kama mama naye anajiweza, basi jukumu hili wote mtagawana.
Na mwisho kuhusu kuishi na watoto, maadam wako chini ya miaka 18, wataishi na mama, ila baba una ruhusa ya kuwaona . Kama unahama mkoa, maana yake watoto watakuja kwako likizo ambapo, mama atagharamia nauli za kwenda likizo na baba atagharamia nauli za kurudi.
Hivyo basi , ndugu mdai nitakuuliza na utajibu hoja moja baada ya nyingine.
1. Talaka.
Hapa nikawaambia sina pingamizi, niko tayari mke wangu apewe haki yale kama anavyo hitaji. Hapo, wife nikaona kashusha pumzi ndedu nzito. Na muda mwingi alikua anajifuta jasho ingawa ndani pana feni. Katika session yote honestly, sikumtazama usoni. Na hatukusalimiana.
2. Mgawanyo wa mali.
Nikasema, kwakua kesi hii imeshanigharimu suala la muda , nakubaliana na pendekezo la mahakama la fifty fifty, kama mwenzagu, mdai anaona amebanwa naomba apewe uhuru wa kuchagua ratio itayompa comfort. Akasema mimi nataka 60%. Hakimu akauliza, mdaiwa (mimi yani) uko tayari, nikasema SINA PINGAMIZI, mahakama impe hiyo 60% anayotaka.
3. Matunzo ya watoto
Hapa nikasema, always nimekua nalipa ada miaka yote, hivyo hili nitae delea nalo, na pia nitawahudumia gharama ya chakula isiyozidi 150,000/= kwa mwezi kwa kuanzia kwasababu, suala hili limeniathiri biashara zangu pia nahitaji ku settle na kuanza upya maisha, hivyo nikitulia nita adjust.
4. Kuishi na watoto.
Nikasema, nakubaliana na pendekezo la mahakama hapo juu.
Hakimu akasema, aisee, hii kesi imeemda vizuri sana.
Wife akaomba "mheshimiwa naomba kidogo niongee na baba .... pembeni, kuhusu suala la mgawanyo wa mali"
Nikajibu "hakimu, sihitaji kuzungumza private , maana sioni kama kuna suala lolote ambalo kwasasa naweza ongea nae tukaelewana, kama ana jambo lolote aliseme hapa mbele yako"
Wife muda woote alikua anafuta jasho sijui maana yake ni nini, lakini katika vitu naamini, ni kwamba alitegemea confrontation na mimi labda nimuwekee kauzibe na vikwazo vya kukubali ombi la talaka, lakini akaona kila kitu nimekubaliana nae kama alivyotaka. Na kila alipotaka kuibua malalamiko, hakimu akawa anasema, naomba tusiguse sababu za mgogoro wenu kwakua sio sehemu ya madai yako mdai, yote uliyodai, tujikite hapo.
Hakim, akayasoma maandishi aliyoandika kisha akaita kila mtu asaini, nikasaini na yeye akasaini, lakini anaposaini akawa anajilalamisha chini chini, hata sijui anaongea nini.
Basi baada ya hapo tukaambiwa , baada ya siku 45 hati ya talaka itatoka na taratibu za utathmini zitaanza, hivyo tutakiwa kufika.
PIa nikatumia fursa hiyo kueleza kuhusu uharibu wa wa wizi uliotokea nyumbani kuonyesha RB ili ifahamike kuwa mali imeharibiwa na wezi.
Pia , ikafamika pale katika shauri kuwa mimi nilishahama nyumbani, na hii nikaona imem suprise mdai wangu, na sijui sababu ni nini!.
Baada ya yote, hakimu, akasema tumemaliza.
Nikanyanyuka na kutoka, japo niliona yf anaaga huku amekaa ana delay kutoka, like she was exhausted with the proceeding that ended.
Sijajua sasa kama walikua wanayapanga yao mengine au lah!!
Ikaisha hivyo.
Sasa baada ya siku ya 45 days ndio mengine yatafuata.
Kifupi nimefurahi hili suala halijawa extended, ngoma imeitwa leo na imetamatika leo, maana wengi walikua wanasema hii kitu inaweza ikaenda 2 months.
ADDITION:
Wakuu, kesi za kuvunjika ndoa ni nyingi sanaa nimekuatana nazo leo mahakamani. Hali sio nzuri kwenye hii taasisi ya kwanza kuanzishwa duniani
Rafiki, ninawapenda watoto wangu sana. Ila sikuwa na namna ilinipasa kutengana nao kwa muda.
Nilipokuwa ninaelekea kulikuwa kubaya zaidia ya kutengana nao kwa muda.
1. I WAS SUICIDAL, WANGENIKOSA MAZIMA. sasa kipi bora waone kaburi au waone mlango ambao mama yao anaishi, niliwachagulia waone mlango ambao mama yao anaishi.
2. I WAS VENGEFUL, ningeweza kufanya chochote katika mtanziko ule wa kihisia, chochote pengine hata madhara kwao, ilinipasa kuwakimbia kwa muda kwa usalama wa kila mmoja.
3. I WAS ECONOMICALLY UNSTABLE, kuliko niwachukue nishindwe kuwapa huduma stahiki, ilikuwa lazima niptee kwa muda ili nirudi nikiwa ninajimudu, so i did it.
4. I WAS EMOTIONAL WEAK, ninaamini katika cutting generational traumas, sikutaka kabisa kuwalea au kuendelea kuwalea nikiwa that weak, ilikuwa lazima nijitenge nijiboreshe nikiwa sawa niweze kuwale bila kuwaambukiza maumivu yangu wala kuwatizama kama burden na sababu ya kubaki kwneye ndoa yenye maumivu.
HAVING GOING THROUGH ALL THOSE SELF projective facts, NILINYANYUA MIKONO JUU, NIKAMSHUKURU MUNGU NIKAWAACHA.
5 yrs now, Sijawahi kujutia uamuzi ule
Ninaweza kuwalea bila majeraha(Ninaishi na mmoja aliye under 18, the rest two mmoja yuko chuo, mwingine nilipoondoka alikuwa form six now anajitegemea),ninawatimizia mahitaji yao bila changamoto wala kuhitaji support iwapo isitokee kwa mhusika kulingana na maamuzi binafsi which im okey with, ninayatizama maisha very positively so ninayafurahia na ninasubiri uzee wenye baraka, nimefind life purposes so i love to live adn i celebrate it. I am economically and emotional stable now kila kitu nakitizama katika uhalisia bila self or personal blame.
NA HIKI NDICHO WAZAZI TUNAPASWA KUKIOMBA TULEE WATOTO WETU WITH THAT SAFETY!
mzazi mwenye character hiso nne hapo juu nilikuwa nazo, ni MORE THAN FATAL kwa malezi na makuzi ya mtoto.
Sikutaka my failures as a wife iendele kuathiri my motherhood!
So yes!
NI NGUMU NAKUELEWA, ila wakati fulani INATULAZIMU
Sina cha kuongezea mkuu.
Ujue nimekuja kugundua kwenye maisha huna haja ya kujiua kwasababu unapitia shida flan, maana kila unachopitia wewe sasa, kuna watu wameshapita huko kitambo, exactly the same au more morse than yours ,so kikubwa ni kufunguka ili usaidiwe. Utajiona mbona wewe yako madogo???
Mkuu hongera sana na big up japo nakuonea wivu wewe tayar una 5 yrs wakat mimi ndio naanza kuhesabu miezi 😂😂.
Nitazoea tu na mimi
Yakitokea braza, wewe mwenyewe utaweza tu. Maana mimi kwa case yangu, sio tu kwamba nawapenda wanangu, ila na wao wananipenda sanaaaaa na mama yao anajua, kiasi kwamba mara ya kwanza aliponikatia RB akawa anaogopa mimi kutiwa ndani, akisema kwamba "naogopa hawa watoto wasije kuja kunichukia siku wakija kukua na wakajua".
Ila bro, nimeamua nikae kando, hata watoto nimeona acha tu nikubali kuwa nao mbali kwasasa
Mkuu atapata mtu sema huyo mtu hata toa huduma kwa watoto kwasababu huyo Mwanamke atakua anaogopa kumuomba matunzo ya watoto kwasababu anajua Mwanaume atakimbia, kwahiyo Maswala ya Huduma za watito wake atakua ana toa mwenyewe na kuomba kwa Mzazi mwenzake.
Ofcourse huwez kukosa mwanaume maadam wewe ni mwanamke..Sema ndio kama usemavyo utajikuta unatumia nguvu nyingi kumfanya akae maana he will be having an upper hand kwenye affair yenu. Na katika hatua hiyo ni obvious utakutana na mtu ambayr tatar ana commitment na affair zingine pia.
Nothing personal that i mean but case ya Hamisa ni special one. Ile si ndoa ,ile ni michezo beyond ndoa. Ile ni game yenye interest zaid ya ndoa ,imebeba uchumi na vyeo vya watu, Yanga humo humo, Engineer humo humo.
yes,
Mimi husema kama kile nilichokipigania miaka yote , nimeishi ,nimekua humo, nimetengeneza life legacy Kimepotea, kuna nn kingine kitauma kupoteza?
Hakuna aiseee! Viende tu basi hakuna kingine cha kugombea kibaki, hakuna hata moja.
Inauma sana, unapimaaaaaa unaona maumivu ya kushikilia ni makubwa kuliko ya kuachilia vipoteee. Japo ukiwaza nguvu yote ya ujana unaiona ileee inakwemda na maji uanze upya, aisee maumivu yake sio madogo ila unaona sawa tu
Wakuu heshima kwenu. Poleni na majukumu. Ndugu yenu numerudi tena kuwajuza yale yanayoendelea kunisibu, maana najua hapa wamejaa watu wenye upeo wa kushauri, kutia moyo ,kuonya, kukufungua jicho upate alert na wengine weeengi sana. Wiki kadhaa zimepita toka nilete mikasa yangu na mazonge ya...
www.jamiiforums.com
"Samansi" ya mahakama ilielekeza nifike mahamani siku ya leo tarehe 12 Feb 025 nami nikafanya hivyo.
Katika kesi hii mimi kama mdaiwa na aliyekua mke wangu kama mdai.
Niseme tu kitu, katika mfumo wa serikali na personally katika suala hili, nimekuja kugundua, wanawake wame occupy sana nafasi nyingi serikalini, sasa sijui sababu ni nini?
Maana ;
- nilipoitwa dawati, incharge pale alikuwa mwanamke.
nilipoitwa baraza, kikao chote kilijawa na wazee wa baraza wanawake
Kama ambavyo nilikua nimeamua kuwa natamani hili suala liishe tu, na pia kwa kuzingatia ushauri wa baadhi yenu ndugu zangu wana JF, sikupemda kesi iwe na mambo mengi.
Tulipoitwa chamber na hakimu, alianza kwa kusema "hii kesi leo mmeitwa ili iweze kutajwa tu na kipangiwa siku nyingine, hivyo, mdaiwa utasomewa tu charges zako kisha kama una neno utatamka"
Akasoma,kama ilivyo ainishwa kwenye "samansi" niliopokea ,kuwa mdai anataka
1. Talaka
2. Mgawanyo wa mali
3. Kuishi na watoto
4. Matunzo ya watoto
Akauliza "unasemaje?"
Nikamjibu, "nimesikia na sina pingamizi juu ya lolote katika hayo, na kwasababu sina pingamizi naomba mahakama kama inaweza, hili suala tulimalize hapa hapa na leo leo mheshimiwa hakimu"
Akauliza "umekubaliana na haya yote?"
Nikamjibu "ndiyo, nakubaliana na dai lake la talaka, pia nakubaliana na dai la mgawanyo wa mali, japo nitaomba kujua muongozo wa mahakama unasemaje kuhusu hilo , pia muongozo wa mahakama unasema nini kuhusu matunzo ya watoto na kuishi ma watoto, maana yote niko tayari ku comply"
Akasema "kama ni hivyo, basi hii kesi ni nyepesi na itakwenda vizuri, kuhusu mgawanyo wa mali, mahakama ina suggest 50% 50%, unless kama kama mmoja wenu hajaridhika na mtahitaji tuingie katika ushahidi wa kuthibitisha mchango wa kila mmoja kwa vithibitisho.
Pia matunzo ya watoto yamejikita katika chakula, malazi, afya, na ada. Jukumu hili ni la baba kikawaida, lakini mahakama inaangalia kama mama naye anajiweza, basi jukumu hili wote mtagawana.
Na mwisho kuhusu kuishi na watoto, maadam wako chini ya miaka 18, wataishi na mama, ila baba una ruhusa ya kuwaona . Kama unahama mkoa, maana yake watoto watakuja kwako likizo ambapo, mama atagharamia nauli za kwenda likizo na baba atagharamia nauli za kurudi.
Hivyo basi , ndugu mdai nitakuuliza na utajibu hoja moja baada ya nyingine.
1. Talaka.
Hapa nikawaambia sina pingamizi, niko tayari mke wangu apewe haki yale kama anavyo hitaji. Hapo, wife nikaona kashusha pumzi ndedu nzito. Na muda mwingi alikua anajifuta jasho ingawa ndani pana feni. Katika session yote honestly, sikumtazama usoni. Na hatukusalimiana.
2. Mgawanyo wa mali.
Nikasema, kwakua kesi hii imeshanigharimu suala la muda , nakubaliana na pendekezo la mahakama la fifty fifty, kama mwenzagu, mdai anaona amebanwa naomba apewe uhuru wa kuchagua ratio itayompa comfort. Akasema mimi nataka 60%. Hakimu akauliza, mdaiwa (mimi yani) uko tayari, nikasema SINA PINGAMIZI, mahakama impe hiyo 60% anayotaka.
3. Matunzo ya watoto
Hapa nikasema, always nimekua nalipa ada miaka yote, hivyo hili nitae delea nalo, na pia nitawahudumia gharama ya chakula isiyozidi 150,000/= kwa mwezi kwa kuanzia kwasababu, suala hili limeniathiri biashara zangu pia nahitaji ku settle na kuanza upya maisha, hivyo nikitulia nita adjust.
4. Kuishi na watoto.
Nikasema, nakubaliana na pendekezo la mahakama hapo juu.
Hakimu akasema, aisee, hii kesi imeemda vizuri sana.
Wife akaomba "mheshimiwa naomba kidogo niongee na baba .... pembeni, kuhusu suala la mgawanyo wa mali"
Nikajibu "hakimu, sihitaji kuzungumza private , maana sioni kama kuna suala lolote ambalo kwasasa naweza ongea nae tukaelewana, kama ana jambo lolote aliseme hapa mbele yako"
Wife muda woote alikua anafuta jasho sijui maana yake ni nini, lakini katika vitu naamini, ni kwamba alitegemea confrontation na mimi labda nimuwekee kauzibe na vikwazo vya kukubali ombi la talaka, lakini akaona kila kitu nimekubaliana nae kama alivyotaka. Na kila alipotaka kuibua malalamiko, hakimu akawa anasema, naomba tusiguse sababu za mgogoro wenu kwakua sio sehemu ya madai yako mdai, yote uliyodai, tujikite hapo.
Hakim, akayasoma maandishi aliyoandika kisha akaita kila mtu asaini, nikasaini na yeye akasaini, lakini anaposaini akawa anajilalamisha chini chini, hata sijui anaongea nini.
Basi baada ya hapo tukaambiwa , baada ya siku 45 hati ya talaka itatoka na taratibu za utathmini zitaanza, hivyo tutakiwa kufika.
PIa nikatumia fursa hiyo kueleza kuhusu uharibu wa wa wizi uliotokea nyumbani kuonyesha RB ili ifahamike kuwa mali imeharibiwa na wezi.
Pia , ikafamika pale katika shauri kuwa mimi nilishahama nyumbani, na hii nikaona imem suprise mdai wangu, na sijui sababu ni nini!.
Baada ya yote, hakimu, akasema tumemaliza.
Nikanyanyuka na kutoka, japo niliona yf anaaga huku amekaa ana delay kutoka, like she was exhausted with the proceeding that ended.
Sijajua sasa kama walikua wanayapanga yao mengine au lah!!
Ikaisha hivyo.
Sasa baada ya siku ya 45 days ndio mengine yatafuata.
Kifupi nimefurahi hili suala halijawa extended, ngoma imeitwa leo na imetamatika leo, maana wengi walikua wanasema hii kitu inaweza ikaenda 2 months.
ADDITION:
Wakuu, kesi za kuvunjika ndoa ni nyingi sanaa nimekuatana nazo leo mahakamani. Hali sio nzuri kwenye hii taasisi ya kwanza kuanzishwa duniani
Wakuu heshima kwenu. Poleni na majukumu. Ndugu yenu numerudi tena kuwajuza yale yanayoendelea kunisibu, maana najua hapa wamejaa watu wenye upeo wa kushauri, kutia moyo ,kuonya, kukufungua jicho upate alert na wengine weeengi sana. Wiki kadhaa zimepita toka nilete mikasa yangu na mazonge ya...
www.jamiiforums.com
"Samansi" ya mahakama ilielekeza nifike mahamani siku ya leo tarehe 12 Feb 025 nami nikafanya hivyo.
Katika kesi hii mimi kama mdaiwa na aliyekua mke wangu kama mdai.
Niseme tu kitu, katika mfumo wa serikali na personally katika suala hili, nimekuja kugundua, wanawake wame occupy sana nafasi nyingi serikalini, sasa sijui sababu ni nini?
Maana ;
- nilipoitwa dawati, incharge pale alikuwa mwanamke.
nilipoitwa baraza, kikao chote kilijawa na wazee wa baraza wanawake
Kama ambavyo nilikua nimeamua kuwa natamani hili suala liishe tu, na pia kwa kuzingatia ushauri wa baadhi yenu ndugu zangu wana JF, sikupemda kesi iwe na mambo mengi.
Tulipoitwa chamber na hakimu, alianza kwa kusema "hii kesi leo mmeitwa ili iweze kutajwa tu na kipangiwa siku nyingine, hivyo, mdaiwa utasomewa tu charges zako kisha kama una neno utatamka"
Akasoma,kama ilivyo ainishwa kwenye "samansi" niliopokea ,kuwa mdai anataka
1. Talaka
2. Mgawanyo wa mali
3. Kuishi na watoto
4. Matunzo ya watoto
Akauliza "unasemaje?"
Nikamjibu, "nimesikia na sina pingamizi juu ya lolote katika hayo, na kwasababu sina pingamizi naomba mahakama kama inaweza, hili suala tulimalize hapa hapa na leo leo mheshimiwa hakimu"
Akauliza "umekubaliana na haya yote?"
Nikamjibu "ndiyo, nakubaliana na dai lake la talaka, pia nakubaliana na dai la mgawanyo wa mali, japo nitaomba kujua muongozo wa mahakama unasemaje kuhusu hilo , pia muongozo wa mahakama unasema nini kuhusu matunzo ya watoto na kuishi ma watoto, maana yote niko tayari ku comply"
Akasema "kama ni hivyo, basi hii kesi ni nyepesi na itakwenda vizuri, kuhusu mgawanyo wa mali, mahakama ina suggest 50% 50%, unless kama kama mmoja wenu hajaridhika na mtahitaji tuingie katika ushahidi wa kuthibitisha mchango wa kila mmoja kwa vithibitisho.
Pia matunzo ya watoto yamejikita katika chakula, malazi, afya, na ada. Jukumu hili ni la baba kikawaida, lakini mahakama inaangalia kama mama naye anajiweza, basi jukumu hili wote mtagawana.
Na mwisho kuhusu kuishi na watoto, maadam wako chini ya miaka 18, wataishi na mama, ila baba una ruhusa ya kuwaona . Kama unahama mkoa, maana yake watoto watakuja kwako likizo ambapo, mama atagharamia nauli za kwenda likizo na baba atagharamia nauli za kurudi.
Hivyo basi , ndugu mdai nitakuuliza na utajibu hoja moja baada ya nyingine.
1. Talaka.
Hapa nikawaambia sina pingamizi, niko tayari mke wangu apewe haki yale kama anavyo hitaji. Hapo, wife nikaona kashusha pumzi ndedu nzito. Na muda mwingi alikua anajifuta jasho ingawa ndani pana feni. Katika session yote honestly, sikumtazama usoni. Na hatukusalimiana.
2. Mgawanyo wa mali.
Nikasema, kwakua kesi hii imeshanigharimu suala la muda , nakubaliana na pendekezo la mahakama la fifty fifty, kama mwenzagu, mdai anaona amebanwa naomba apewe uhuru wa kuchagua ratio itayompa comfort. Akasema mimi nataka 60%. Hakimu akauliza, mdaiwa (mimi yani) uko tayari, nikasema SINA PINGAMIZI, mahakama impe hiyo 60% anayotaka.
3. Matunzo ya watoto
Hapa nikasema, always nimekua nalipa ada miaka yote, hivyo hili nitae delea nalo, na pia nitawahudumia gharama ya chakula isiyozidi 150,000/= kwa mwezi kwa kuanzia kwasababu, suala hili limeniathiri biashara zangu pia nahitaji ku settle na kuanza upya maisha, hivyo nikitulia nita adjust.
4. Kuishi na watoto.
Nikasema, nakubaliana na pendekezo la mahakama hapo juu.
Hakimu akasema, aisee, hii kesi imeemda vizuri sana.
Wife akaomba "mheshimiwa naomba kidogo niongee na baba .... pembeni, kuhusu suala la mgawanyo wa mali"
Nikajibu "hakimu, sihitaji kuzungumza private , maana sioni kama kuna suala lolote ambalo kwasasa naweza ongea nae tukaelewana, kama ana jambo lolote aliseme hapa mbele yako"
Wife muda woote alikua anafuta jasho sijui maana yake ni nini, lakini katika vitu naamini, ni kwamba alitegemea confrontation na mimi labda nimuwekee kauzibe na vikwazo vya kukubali ombi la talaka, lakini akaona kila kitu nimekubaliana nae kama alivyotaka. Na kila alipotaka kuibua malalamiko, hakimu akawa anasema, naomba tusiguse sababu za mgogoro wenu kwakua sio sehemu ya madai yako mdai, yote uliyodai, tujikite hapo.
Hakim, akayasoma maandishi aliyoandika kisha akaita kila mtu asaini, nikasaini na yeye akasaini, lakini anaposaini akawa anajilalamisha chini chini, hata sijui anaongea nini.
Basi baada ya hapo tukaambiwa , baada ya siku 45 hati ya talaka itatoka na taratibu za utathmini zitaanza, hivyo tutakiwa kufika.
PIa nikatumia fursa hiyo kueleza kuhusu uharibu wa wa wizi uliotokea nyumbani kuonyesha RB ili ifahamike kuwa mali imeharibiwa na wezi.
Pia , ikafamika pale katika shauri kuwa mimi nilishahama nyumbani, na hii nikaona imem suprise mdai wangu, na sijui sababu ni nini!.
Baada ya yote, hakimu, akasema tumemaliza.
Nikanyanyuka na kutoka, japo niliona yf anaaga huku amekaa ana delay kutoka, like she was exhausted with the proceeding that ended.
Sijajua sasa kama walikua wanayapanga yao mengine au lah!!
Ikaisha hivyo.
Sasa baada ya siku ya 45 days ndio mengine yatafuata.
Kifupi nimefurahi hili suala halijawa extended, ngoma imeitwa leo na imetamatika leo, maana wengi walikua wanasema hii kitu inaweza ikaenda 2 months.
ADDITION:
Wakuu, kesi za kuvunjika ndoa ni nyingi sanaa nimekuatana nazo leo mahakamani. Hali sio nzuri kwenye hii taasisi ya kwanza kuanzishwa duniani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.