Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Fanton Mahal sikiliza kisa changu kidogo sana kisha uelewe kitu..
Hapa nipo mimi mama na mke wangu na baba utamuona pia kwenye maongezi ya mama.. Sitaweka maneno ya baba maana yule ni mwanaume kuniliko why? He went through a lot before I was born.. so with a cape on my hand ( Only fir soldiers) salute to him.

The story..

Mom: Mkeo kaondoka kwako?
Mimi: Ndio ila bado namuhitaji.
Mom: Mkeo ni mzuri sana hata mimi najiona ndani yake vile nilikuwa bado binti wa umri wake..
Ila amini kuwa huyo ni mzee kwako hutakiwi kumlilia yeye ndie anatakiwa akulilie maana nakujua wewe ni mtafutaji na sio mpambanaji..
Wewe ni mtafutaji kama baba yako maana yake una mkono wa mali.

Mwachie watoto na ukate mawasiliano nae kwa muda mrefu hata ikiwezekana miaka mitano..awalee na yeye..

Anatakiwa ajue kuwa mimi pia nilileta ujuaji na kusema kuwa naweza, Baba yenu akaniachia watoto. Nilijuta na kutaabika mpaka leo najuta..
Mama alipofika hapo niliuhisi ule uchungu mwingi wa majuto ndani yake maana sauti ilibadilika ikakwaruza kisha alivuta pumzi iliyochanganyika na tumaji maji ni wazi zilikuwa ni kamasi nyepesi japo sikumuona lakini sauti ya kuivuta ile pumzi kwa nguvu niliisikia kisha alitulia kama sekunde kumi off the phone
Probably alikuwa anapangusa macho na pua ajili ya kilio cha kimya kimya..

Aliposikika tena sasa ilikuwa ni kilio waziwazi huku akisema..

Mwanangu kama nikakuzaa kwa uchungu na leo mwanamke anakuja kukufanya kama msukule eti ni wewe atakuwa anayumbisha kila uonekanapo kusimama kiuchumi basi amani isikae upande wake..

Alikuwekea dawa gani huyo malaya?
Hao malaya wa Singida wanakuwaga na dawa kali sana mwanangu nakushauri tafuta njia ujinasue utoke humo vinginevyo hutamuacha. Na kama hutomuacha basi amini hutazeeka na chochote hata kijiko mwanangu..

Na huyo mwanamke asijerudi kwako daima. Na siku akija kwangu kuniomba nimuombee msamaha ndio siku nitafungwa kwa mauaji..

Nilimsikiliza mama na Mshua wangu aliongea maneno machache sana lakini yalitosha kunionyesha mimi ni nani hapa duniani nikachukua uamuzi mpaka leo nadunda kiroho safi tu..
Na kuhusu kujinasua hakika nilipambana na Ulimwengu mwingine kabisa tena wa nguvu za ajabu..
Hivyo mimi pia ilibidi niwekeze muda wa kutosha na pesa nyingi kuufufua ushetani wangu ambao nilikuwa nimeamua kuuacha miaka mingi..

Sijaachia kombola lolote kwenda upande wa pili maana naweza kuidhuru mpaka damu yangu but kwa jinsi nilivyozifunga njia huwa naiona nafsi yake ikinifuata hata usiku huku inatia huruma katika mazingira tofauti..

Hata nafsi ya mama huwa inanifuata usiku kuomba niilegezee ile nafsi ya EX wangu lakini huwa naiambia..
Nimerudi kuwa yule shetani mwenyewe sina huruma maana hawa binadamu ukicheka nao utapoteza uhai..
 
Simple hivyo eti???

Wewe mumeo alivyojua umevuliwa nguo na hawara ulimuomba msamaha maisha yakaendelea?kama cha kuandika hamna kwanini usikae tu kimya kuliko kumshauri mtu ujinga?
Haaaaa kwan we mwanamke?? upo vizuri una sifa zote we malikia wa nguvuuu?? sijajua mpaka leo kwanin wanawake wanachukiana
 
Fanton Mahal sikiliza kisa changu kidogo sana kisha uelewe kitu..
Hapa nipo mimi mama na mke wangu na baba utamuona pia kwenye maongezi ya mama.. Sitaweka maneno ya baba maana yule ni mwanaume kuniliko why? He went through a lot before I was born.. so with a cape on my hand ( Only fir soldiers) salute to him.

The story..

Mom: Mkeo kaondoka kwako?
Mimi: Ndio ila bado namuhitaji.
Mom: Mkeo ni mzuri sana hata mimi najiona ndani yake vile nilikuwa bado binti wa umri wake..
Ila amini kuwa huyo ni mzee kwako hutakiwi kumlilia yeye ndie anatakiwa akulilie maana nakujua wewe ni mtafutaji na sio mpambanaji..
Wewe ni mtafutaji kama baba yako maana yake una mkono wa mali.

Mwachie watoto na ukate mawasiliano nae kwa muda mrefu hata ikiwezekana miaka mitano..awalee na yeye..

Anatakiwa ajue kuwa mimi pia nilileta ujuaji na kusema kuwa naweza, Baba yenu akaniachia watoto. Nilijuta na kutaabika mpaka leo najuta..
Mama alipofika hapo niliuhisi ule uchungu mwingi wa majuto ndani yake maana sauti ilibadilika ikakwaruza kisha alivuta pumzi iliyochanganyika na tumaji maji ni wazi zilikuwa ni kamasi nyepesi japo sikumuona lakini sauti ya kuivuta ile pumzi kwa nguvu niliisikia kisha alitulia kama sekunde kumi off the phone
Probably alikuwa anapangusa macho na pua ajili ya kilio cha kimya kimya..

Aliposikika tena sasa ilikuwa ni kilio waziwazi huku akisema..

Mwanangu kama nikakuzaa kwa uchungu na leo mwanamke anakuja kukufanya kama msukule eti ni wewe atakuwa anayumbisha kila uonekanapo kusimama kiuchumi basi amani isikae upande wake..

Alikuwekea dawa gani huyo malaya?
Hao malaya wa Singida wanakuwaga na dawa kali sana mwanangu nakushauri tafuta njia ujinasue utoke humo vinginevyo hutamuacha. Na kama hutomuacha basi amini hutazeeka na chochote hata kijiko mwanangu..

Na huyo mwanamke asijerudi kwako daima. Na siku akija kwangu kuniomba nimuombee msamaha ndio siku nitafungwa kwa mauaji..

Nilimsikiliza mama na Mshua wangu aliongea maneno machache sana lakini yalitosha kunionyesha mimi ni nani hapa duniani nikachukua uamuzi mpaka leo nadunda kiroho safi tu..
Na kuhusu kujinasua hakika nilipambana na Ulimwengu mwingine kabisa tena wa nguvu za ajabu..
Hivyo mimi pia ilibidi niwekeze muda wa kutosha na pesa nyingi kuufufua ushetani wangu ambao nilikuwa nimeamua kuuacha miaka mingi..

Sijaachia kombola lolote kwenda upande wa pili maana naweza kuidhuru mpaka damu yangu but kwa jinsi nilivyozifunga njia huwa naiona nafsi yake ikinifuata hata usiku huku inatia huruma katika mazingira tofauti..

Hata nafsi ya mama huwa inanifuata usiku kuomba niilegezee ile nafsi ya EX wangu lakini huwa naiambia..
Nimerudi kuwa yule shetani mwenyewe sina huruma maana hawa binadamu ukicheka nao utapoteza uhai..
Nimekuelewa kamanda. Mabaduni tunapaswa kuishi namna hii. Tafuta suluhuu weee kama anaendelea kukomaa bas acha iwe hivyo
 
Nimekuelewa kamanda. Mabaduni tunapaswa kuishi namna hii. Tafuta suluhuu weee kama anaendelea kukomaa bas acha iwe hivyo
Mwaka sasa ushapita mimi nilioa kwa misingi yangu nikaacha loophole za kuponea ikitokea akaanza sarakasi
Ndugu zake walipoona hakuna cha kugawana ilibidi tu wamsapoti aondoke kwangu maana mali zote nilishauza kitambo sana..
Nq cheti cha ndoa huwa siruhusu mwanamke anisainishe mkataba ule wa kitapeli.

If you are to stay then no problem if you are to leave then you are up to it..
No gain no loss for me its just a kind of life we live
The game got no malice to anybody..
Dont tie yourself nor her. Just live freely.
Huyu nilie nae yeye hata akitokea mdau akamwambia na wakaelewana kufunga ndoa mi natoa tu baraka maisha mengine yaendelee upesi.. Nimejifunza vingi kwenye haya maisha..
Hata serikali huwa inakufukuza kazi na hata kukufunga na bado watoto wanahitaji chakula..kikwetu tunasema

"Hata Entang'ana ngukwaere, amatinde ghayo gharara.."
 
Ni kama ulikuwepo chief. Tena hakimu alikua mwanadada tu mrembo, ila aliona kitu na ni kama mwingine aangesima alikaa upande wangu.
Mungu awape nguvu wote wenye akili ya utambuzi sijamwona mke wako lakini kwa ulivo eleza kila kimoja kipo wazi.
 
Mtoto ndo anafanya niwasiliane naye,moyo wa mzazi kwa mtoto unakuwaga wa tofauti sana ,ila kama siyo mtoto huyo mwingine hata akifa naona kawaida kama taarifa ya habari za wale wanaokufa huko middle east.
 
Mtoto ndo anafanya niwasiliane naye,moyo wa mzazi kwa mtoto unakuwaga wa tofauti sana ,ila kama siyo mtoto huyo mwingine hata akifa naona kawaida kama taarifa ya habari za wale wanaokufa huko middle east.
[emoji23][emoji23][emoji23] safi sana mkuu..
Kwa mtoto Yan moyo unakua kama Sufi...
Ila hizo takataka nyingine waiiiii...life lisife shaur lake...
 
Nje ya maada,

Walio tunga hizo sheria za ndoa walikua wanawaza nini, Yani mgawanyo wa mali ni 50 50 lkn Kulea watoto hilo ni jukumu la baba kikawaida, Kawaida gani hyo? Imetafsiriwa kisheria au ni upeo wa hakimu?
Mkuu wamesema ni kawaida lakini siyo kwamba husipo lea utafungwa jela, unaweza kulea mtoto kwa kumlipia gharama kwenye shule za Serikali na ukamnunulia vifaa ya shule kwa mwaka mara moja ila kwenye kuwanunulua chakula unaweza husiwanunulie kwasababu chakula anachokula Mama yao na wao watakula hicho hicho tu.
 
Pole sana aisee,kuna kitu kimenifumbua macho kwa sisi wenye ndoa, ila kwa sheria zetu naona kama wanawake wanapendelewa sana kama ni ivyo, nitamshauri mwanangu mkubwa wa kiume ambae ni barehe,azae tu nje kuoa aje kuoa baadae sana wakati kishajipata kimaisha, hawa viumbe ni hatari na wanadekezwa sana kumbe kwenye vyombo vya haki.


yaani mahakama inasajesti mgawanyo wa 50% kwa 50% wakati hata katika uislam haipo ivyo!!!?
Mkuu hii itakua ndoa ya kikristo lakini kama ingekua ndoa ya Kimila mwanamke angeondoka kama alivyokuja na Ndoa yingi za kimila hazivunjiki kirahisi ila wanatengana tu.
 
Mkuu umedadavua kwa undani haswa,naona bora iibuke chuki kubwa baina ya wanawake na wanaume.Mimi nilikimbia nyumba kitambo sana na bado maisha ya wanangu yalivurugwa sana.Hata nilipotoa matumizi hayakwenda ipasavyo.KUTAKUWA NA CHUKI KUBWA SIKU ZA USONI.
Mkuu Mwanaume hakimbii Nyumba wala mji wake ila Mwanamke ndiyo anatakiwa akimbie yeye.
 
Mkuu Mwanaume hakimbii Nyumba wala mji wake ila Mwanamke ndiyo anatakiwa akimbie yeye.
Hakuna kukimbia ameachiwa nyumba,Unadhani wangemuweka ndani SI kila kitu kingesimama kwake.Hii SI kukimbia ni kufunika kombe mwanaharamu apite kwanza Jamii imekaa kirushwarushwa hii watu wanaweza kukupoteza na unajua siku hizi vyombo vya Sheria vinavyowaabudu.
 
Fanton Mahal sikiliza kisa changu kidogo sana kisha uelewe kitu..
Hapa nipo mimi mama na mke wangu na baba utamuona pia kwenye maongezi ya mama.. Sitaweka maneno ya baba maana yule ni mwanaume kuniliko why? He went through a lot before I was born.. so with a cape on my hand ( Only fir soldiers) salute to him.

The story..

Mom: Mkeo kaondoka kwako?
Mimi: Ndio ila bado namuhitaji.
Mom: Mkeo ni mzuri sana hata mimi najiona ndani yake vile nilikuwa bado binti wa umri wake..
Ila amini kuwa huyo ni mzee kwako hutakiwi kumlilia yeye ndie anatakiwa akulilie maana nakujua wewe ni mtafutaji na sio mpambanaji..
Wewe ni mtafutaji kama baba yako maana yake una mkono wa mali.

Mwachie watoto na ukate mawasiliano nae kwa muda mrefu hata ikiwezekana miaka mitano..awalee na yeye..

Anatakiwa ajue kuwa mimi pia nilileta ujuaji na kusema kuwa naweza, Baba yenu akaniachia watoto. Nilijuta na kutaabika mpaka leo najuta..
Mama alipofika hapo niliuhisi ule uchungu mwingi wa majuto ndani yake maana sauti ilibadilika ikakwaruza kisha alivuta pumzi iliyochanganyika na tumaji maji ni wazi zilikuwa ni kamasi nyepesi japo sikumuona lakini sauti ya kuivuta ile pumzi kwa nguvu niliisikia kisha alitulia kama sekunde kumi off the phone
Probably alikuwa anapangusa macho na pua ajili ya kilio cha kimya kimya..

Aliposikika tena sasa ilikuwa ni kilio waziwazi huku akisema..

Mwanangu kama nikakuzaa kwa uchungu na leo mwanamke anakuja kukufanya kama msukule eti ni wewe atakuwa anayumbisha kila uonekanapo kusimama kiuchumi basi amani isikae upande wake..

Alikuwekea dawa gani huyo malaya?
Hao malaya wa Singida wanakuwaga na dawa kali sana mwanangu nakushauri tafuta njia ujinasue utoke humo vinginevyo hutamuacha. Na kama hutomuacha basi amini hutazeeka na chochote hata kijiko mwanangu..

Na huyo mwanamke asijerudi kwako daima. Na siku akija kwangu kuniomba nimuombee msamaha ndio siku nitafungwa kwa mauaji..

Nilimsikiliza mama na Mshua wangu aliongea maneno machache sana lakini yalitosha kunionyesha mimi ni nani hapa duniani nikachukua uamuzi mpaka leo nadunda kiroho safi tu..
Na kuhusu kujinasua hakika nilipambana na Ulimwengu mwingine kabisa tena wa nguvu za ajabu..
Hivyo mimi pia ilibidi niwekeze muda wa kutosha na pesa nyingi kuufufua ushetani wangu ambao nilikuwa nimeamua kuuacha miaka mingi..

Sijaachia kombola lolote kwenda upande wa pili maana naweza kuidhuru mpaka damu yangu but kwa jinsi nilivyozifunga njia huwa naiona nafsi yake ikinifuata hata usiku huku inatia huruma katika mazingira tofauti..

Hata nafsi ya mama huwa inanifuata usiku kuomba niilegezee ile nafsi ya EX wangu lakini huwa naiambia..
Nimerudi kuwa yule shetani mwenyewe sina huruma maana hawa binadamu ukicheka nao utapoteza uhai..
Mkuu nimependa sana kisa chako naomba nielezee zaidi inbox
 
Mwaka sasa ushapita mimi nilioa kwa misingi yangu nikaacha loophole za kuponea ikitokea akaanza sarakasi
Ndugu zake walipoona hakuna cha kugawana ilibidi tu wamsapoti aondoke kwangu maana mali zote nilishauza kitambo sana..
Nq cheti cha ndoa huwa siruhusu mwanamke anisainishe mkataba ule wa kitapeli.

If you are to stay then no problem if you are to leave then you are up to it..
No gain no loss for me its just a kind of life we live
The game got no malice to anybody..
Dont tie yourself nor her. Just live freely.
Huyu nilie nae yeye hata akitokea mdau akamwambia na wakaelewana kufunga ndoa mi natoa tu baraka maisha mengine yaendelee upesi.. Nimejifunza vingi kwenye haya maisha..
Hata serikali huwa inakufukuza kazi na hata kukufunga na bado watoto wanahitaji chakula..kikwetu tunasema

"Hata Entang'ana ngukwaere, amatinde ghayo gharara.."
Hahaha
 
Dunia ina mambo wewe hii.
Tulitengana, sasa akaanza kuishi na mtu.
Akarudi kuwa turudiane , nikampa masharti aondoe aliyekuwa anaishi naye.
Akasema kamuondoa, only tu kujua alitaka iwe double life as mi nilishaanzisha mji mwingine.
Nikawaka, akaniwekea mkwara wa shauri la mahakama, akijua nitarudi nyuma as si unajua tena wanawake wengi wa kitanzania na ndoa!
Mi nikakanyagia wese, wakamshauri asiendelee nikafuatwa nishuke niombe msamaha ili asinitaliki, nikawambia nyie we banaa hii ngoma iende ikienda!
nikasubiriwa nishuke, nikaaawambia lets meet mahakamani
Akapeleka shauri mahakamani ni mashtaka ya kubambika, akijua nitaona aibu tuyasuluhishe.
Nikamwambia we twende tu unachotaka na mi ndo nataka!
Mashtaka yote nikayakari,(mind you ni uongo)
Madai yote anayotaka kuhusu mali, watoto na talaka nikayaridhia.
Akajua nitasanda ndani ya siku 45, zikaisha
siku ya hukumu nikaenda na nikapokea hukumu.
nikatoka zangu pale Temeke, nikapita kula nikatafuta sehemu nikaliaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Nkarudi nyumbani, nikaomba likizo!
Nkajiruhusu kuumia, nikalia mno ila sio kuwa najutia bali hasira ya kuonewa
Mwisho nikakubali , na maisha yanaendelea!

With no regrets,
af sio kitu sijui cha miaka 5, ilikuwa na miaka 16.
Kisa cha kutengana kabla ya kupeana talaka ilikua nini?
 
Uzi una mafunzo buku kwa wanandoa. Mali kitu gani, hata akitaka 70-30 ni sawa tu. Tulitafuta na tutaendelea kutafuta.

Kwangu nadhani heartbreak kubwa kuliko zote ni kuwaacha watoto wangu. That'll break my heart to pieces.
 
Uzi una mafunzo buku kwa wanandoa. Mali kitu gani, hata akitaka 70-30 ni sawa tu. Tulitafuta na tutaendelea kutafuta.

Kwangu nadhani heartbreak kubwa kuliko zote ni kuwaacha watoto wangu. That'll break my heart to pieces.
yes,
Mimi husema kama kile nilichokipigania miaka yote , nimeishi ,nimekua humo, nimetengeneza life legacy Kimepotea, kuna nn kingine kitauma kupoteza?

Hakuna aiseee! Viende tu basi hakuna kingine cha kugombea kibaki, hakuna hata moja.
 
Back
Top Bottom