Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

Hongera sana mkuu umetua mzigo mzito sana Nina Imani utakuwa huru sasa maana tulikuwa tunakaribia kukukosa.
 
Picha lilipoanza ulionyesha ni jamaa Lia Lia + kulalamika .

Demu utombewe, ukute na picha za utupu, alafu wee ndio ulielie.
Ilinipa wakat mgumu sana kukubaki ukweli na uhalisia. Sikua nimetarajia. Ikanipa tabu
Anyway , X Mkeo alijua utazungusha suala la Talaka, Sasa haamini ndo Ivo Kawa mtalikiwa.
Yahp, alifikiri hivyo, na nili notice hilo kwenye session
Mchepuko wake hawez kumuoa sababu keshazaa watoto wengi, Engine imechoka , na sababu kubwa kabisa ya kutomuoa ni kwamba kashuhudia demu anavunja ndoa yake mwenyewe .
Sijui kwann huwa hawafikirii kuwa wanatazamwaje na wanaodhan wanawahitaji. Kama umeweza mfanyia mwanaume mwenzake hiv , ataanzaje kukukuamini kuwa huwez mfanyia na yeye??
Mwisho, Hongera , kuanza Upya Si ujinga.

Muda mfupi ujao, jiandae Ndugu zake na viongozi wa Dini kuanza kukubembeleza.
Shukran mkuu. Ila kuhusu wao kunitafuta sidhani. Wale ni viburi mnoo. Wana ego za hatari. Kilichotufkkisha hapa na wife n ego yake tu, nilikua tayar kumsamehe nkkawa nambembeleza
 
Speechless ... Ngoja nikaangalie mikeka yangu inaendaje!

Asilimia 50 50? Aje tugawane mikeka iliyochanika!

By The way umenifanya nilifikirie swala la ndoa mara mbili mbili
Hatari sana. Kila mmoja ana bahati yake kwenye maisha, ndio maana hata mali wapo wenye nyingi na wapo wenye chache. Kikubwa kumuomba Mungu sana.
 
Sikusoma Uzi wa kwanza ila niseme tu umekutana na vita!
Muktadha wa madaraka uliosema ni matokeo ya woman empowerment hata hivyo Hilo ni tone tu baada ya miaka 50 kutoka Sasa wanaume watakuwa kwenye ujenzi na kuchimba mitaro plus labda u driver
Something must really be done. Ouer young men must really take this a serious note
 
Anaetembea na mke wa mtu hawezi kumuoa akiachwa na mumewe.

Kale kamtelezo na ule usumbufu wote wa mwanamke anampelekea mumewe, mchepuko kwako ni burudani na kufurahi tu.

Siku mke akiachwa, yule mchepuko atamkimbia miguu inagusa kisogo.
 
Aiseee kwanini akitaka 60% kwamba yeye amechangia sana kwenye hizo mali?
Hapana, katika uharibu uliofanyika juZ kat pale home, mija ya vitu vimechukulia ni a pile of my diaries, za toka mwaka 2014 (mimi napenda sana kuandika na ku keep records). Hivyo mbali na kutopenda ku prolong hii case, pia yf alijua amefanya nini, ndio maana naamini kabisa ule wiz pale nyumban ni yeye aliwatuma. Nahis alijua kuhsu kupoteza records zangu ikiwemo receipts za manunuzi. Hivyo ingenmgharim nguvu kubwa sana ku justify my contribution kwa ushahidi wa documents
 
Ni kweli mkuu. Japo haikua rahis kukubali kuchukua huu uamuzi. Ila nashkuru limetokea hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…