Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Sema mwamba inaonekana sio pangu pakavu, hiyo kesi haiishi kindezi kwa watu kama Poor Brain
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure, thanksHongera umeupiga mwingi sana , jilinde sana usije shiriki nae vingi vinavyokatazwa anaweza tafuta namna nyingine ya kukuumiza
Sasa ningesema nini Mamii?Sio vizuri kusema huna pingamizi live live😅🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Kabisa kaka. Bora uzingatie amani mali zinatafutwa tu sema hawa wemzetu wengine huwa wanaamua kutukomoaNilichogundua wewe ni mwanaume.
Mimi binafsi sipendi mambo ya kesi na kuvutana.
Ukinizingua nakuachia kila kitu napita hivi.
Amani ni bora kuliko mali na mapenzi fake
Tuko pamoja kaka.ahsanteWewe jamaa ni mwamba sana tena sana na kiukweli umenifundisha kitu kikubwa sana katika maisha haya. Ubarikiwe sana tena sana kwa hiki ulichokileta hapa.
Mkuu hiz sheria kwa sisi tusiojua kucheza nazo zitakuua lakin kwa wasomi wa huo mambo wao wanaona pia loopholes kibao za kucheza nazoNje ya maada,
Walio tunga hizo sheria za ndoa walikua wanawaza nini, Yani mgawanyo wa mali ni 50 50 lkn Kulea watoto hilo ni jukumu la baba kikawaida, Kawaida gani hyo? Imetafsiriwa kisheria au ni upeo wa hakimu?
Kibaya zaidi akiachika na mchepuko anamuacha kwani mchepuko anaogopa atapewa majukumu kamili ya uleziKabisa kaka. Bora uzingatie amani mali zinatafutwa tu sema hawa wemzetu wengine huwa wanaamua kutukomoa
Ningeshangaa sana kama kina livapool VPN na wenzake wazee wa kataa ndoa msingekuja ku co sign hii ishue. All in all jamaa kaimaliza kikamandaKaribu sana chamani mkuu
Ulichelewa sana kuachana na malaya sasa hakuna kuoa tena tafuta pesa tu
Kwakwel, mkuu inasikitisha sanaKataa ndoa tulishaliona hili suala siku nyingi sana,
nikiona watu kwenye vikaovya harusi huwa natamani niwaambie wapitie mahakamani kwanza wafanya case studies
Mke wa mtu mtamu akiwa kaolewaKibaya zaidi akiachika na mchepuko anamuacha kwani mchepuko anaogopa atapewa majukumu kamili ya ulezi
Mkuu sio kweli, nimeona huu ujinga unakula muda wangu, ujana huu nikae kuanza kushinda mahakamani kisa kesi ya mgao wa mali? Nikaona si kweli.Sema mwamba inaonekana sio pangu pakavu, hiyo kesi haiishi kindezi kwa watu kama Poor Brain
Tena amechelewa sana alitakiwa aside kabisa chama chetu kimempokea kwa moyo mkunjufu kabisaNingeshangaa sana kama kina livapool VPN na wenzake wazee wa kataa ndoa msingekuja ku co sign hii ishue. All in all jamaa kaimaliza kikamanda
SahihiMke wa mtu mtamu akiwa kaolewa
😂😂😂Tena amechelewa sana alitakiwa aside kabisa chama chetu kimempokea kwa moyo mkunjufu kabisa