Hatimaye Ambwene Mwasonge amuweka hadharani mke mtarajiwa

Una maana miaka yote alikuwa ana Fanya zinaa Tu. Halafu hako Ka binti kanaonekana kajanja hakaendani na huyo jamaa
Katoto ka Mzumbe hako...........Mungu amsaidie sana mundu gwa Kyala
 
mimi mwenyewe niippoingia tu huku nikashangaa !nywys tusihukumu sana !ila ni mtoto wa mjini kuliko men !men ni mshamba shamba !tuwaombee heri tu kwakwel
Hpo ndo ikweshen ina balance.binti mjanja mjanja sanaaa,yaani sanaaa tu.
Hata huyo dogo nyakyusa usimchukulie poa, ohoooo!
 
Hongera zake mtumishi ila tokea nakua namsikiliza kwenye nyimbo zake..nilijua alishapata jiko kitambo.Mungu amtangulie.
 
Kila la kheri na Mungu awatangulie!
Sometime mwonekano wa mtu unaweza kukujuza jinsi alivyo, huenda kakawa kasumbufu huko mbeleni.
 
Hakuna watu wanaoniboa kwenye mitandao kama wanaoleta mambo sijui ya bwana sijui mambo ya mtume. Religion is like penis, don't show it off to the public.
 
Acha kupotosha watu wewe lusifer

Sent using Jamii Forums mobile app
 

JF never boring..... by The Boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…