Hatimaye Ambwene Mwasonge amuweka hadharani mke mtarajiwa

Hatimaye Ambwene Mwasonge amuweka hadharani mke mtarajiwa

Hongera yake.
Ila binti anaonekana mdogo sana.
Biblia inasema mwanaume mwenye umri wa 35 aoe mwnmke mwenye umri wa 25

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Jina la bibi harusi mtarajiwa vipi?nae anafanya shughuli gani na wapi au nae anamwimbia bwana?ila kifaa si cha kijingajinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biblia inasema mwanaume mwenye umri wa 35 aoe mwnmke mwenye umri wa 25

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Nafikiri muangalie na nyakati pia, i think you know what i mean.
Waliandikiwa hivyo watu gani na kwa nyakati gani?
 
Huyo mtoto ni ana shepu na mzigo wa maana..tatizo moja ni mfupi wa kimo, ila ni mzuri sana yani

Sent using Jamii Forums mobile app
Toa neno tatizo hapo hatutafuti miss world !huyo mtoto kama physical wife material kuzaa mbegu nzuri za watoto na 100% mgegedo murua yuko safi sana ready to loose me leg to have such a woman as a wife!tatizo ufupi kwani nataka mchuma karafuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri muangalie na nyakati pia, i think you know what i mean.
Waliandikiwa hivyo watu gani na kwa nyakati gani?
Kama ni ivyo basi hakuna haja ya kufata maandiko ya biblia maana si ya nyakati zetu

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Kama ni ivyo basi hakuna haja ya kufata maandiko ya biblia maana si ya nyakati zetu

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
I think you still have alot to learn about the Bible.
 
Mimi nikisikia nyimbo za dini zinanikumbusha kufakufa tu sitaki habari hizo.


haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhhh! zinaogofya !biblia ndo zaid nikikumbuka hayo maadhabu yake sasa hahahaha nabak mdogooooo!
ALLAH/MUNGU atusamehe na madhambi yetu kwakweli !
 
Awe makini tu asijeoa sura na shape akakaushwa upako kama Jack. Wengi maarufu uangukia makoloma kwani mke sio sura wala umbo tu Bali tabia na uchaji wa Kimungu sasa asijekuwa amefuatwa kwa ajili ya umaarufu na sio yeye kama alivyo. Hongera zake kwa hatua hiyo muhimu sana maishani. Nasifia hatua na sio umbo sura wala umaarufu wa mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhhh! zinaogofya !biblia ndo zaid nikikumbuka hayo maadhabu yake sasa hahahaha nabak mdogooooo!
ALLAH/MUNGU atusamehe na madhambi yetu kwakweli !
Hakuna Mungu. Ndiyo maana zinachefua zaidi.

Sent from my Kimulimuli
 
Una maana miaka yote alikuwa ana Fanya zinaa Tu. Halafu hako Ka binti kanaonekana kajanja hakaendani na huyo jamaa


mimi mwenyewe niippoingia tu huku nikashangaa !nywys tusihukumu sana !ila ni mtoto wa mjini kuliko men !men ni mshamba shamba !tuwaombee heri tu kwakwel
 
Back
Top Bottom