Hatimaye Ambwene Mwasonge amuweka hadharani mke mtarajiwa

Hatimaye Ambwene Mwasonge amuweka hadharani mke mtarajiwa

Bwana Yesu apewe sifa....

ule msemo usemao kelele nyingi zinamshindo mkuu...hatimaye mwimbaji pendwa wa nyimbo za injili Tanzania
4cc0a85218767459f666b00e4d8a7914.jpg
kama(upendo wa kweli na siku moja) ambwene mwasonge ametangaza uchumba na muda si mrefu ataingia kwenye ndoa..

Kiukweli ambwene amechukua chombo kizuri sana kama biblia inavyosema "apataye mke na kapata kitu chema"
ec97b725cc6bcb690bbcd22b79ce9e00.jpg

Mbona ni Mwanamke wa kawaida sana ukilinganisha na Mademu zangu wote niliofanyana / ngonoka nao huko nyuma?
 
Hebu muangalie mara ya pili mkuu hichi kifaa hatari...

Hamna Kitu hapo Mkuu na naanza sasa kupatwa na wasiwasi kuwa huenda Wewe ni Mgeni wa Mbunye Mkuu. Ni Mwanamke mzuri tu ila siyo mrembo. Mtafute Mtu akupe tofauti ya Mzuri na Mrembo kisha utanielewa namaanisha nini tafadhali. Tanzania kuna Mademu / Wanawake warembo huyo anasubiri mpaka unajiuliza Mwenyezi Mungu alimuumbaje umbaje.

Hiyo Ndito ni ya kawaida sana Mkuu wala usitishike.
 
Kakaa katulia hakua na haraka ndomana kapata chombo cha uhakika maana tokeanamjua mwasongwe hadi Leo naona ni Muda sana zaidi ya miaka 15 kumbe alikua hajaoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom