Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Kutoka kuishi kwake hadi kuishi kama kuku wa kufugwaAssad na familia yake wamefika salama Moscow. Serikali ya Urusi yawapa hifadhi kuishi humo kwa kwa muda wote.
Endelea kuota, ni ndoto nzuri sana hiyo.Ajiandae kumpokea na ayatolah maana muda sio mrefu mambo yataharibika kule kwake.
Amefanya uamuzi wa busaraKutoka kuishi kwake hadi kuishi kama kuku wa kufugwa
Kwa hiyo yale ma s-300/400 yameshindwa kazi...?Ajiandae kumpokea na ayatolah maana muda sio mrefu mambo yataharibika kule kwake.
Yale mapipa hayakuwa na mchango wowote zaidi ya mikwara tuKwa hiyo yale ma s-300/400 yameshindwa kazi...?
Watakuwa na kibunda cha maamaAssad na familia yake wamefika salama Moscow. Serikali ya Urusi yawapa hifadhi kuishi humo kwa muda wote.
Hilo lazimaWatakuwa na kibunda cha maama
I hope siku moja, hiki kilichompata Bashar Assad, kiwakute ma ccm,Assad na familia yake wamefika salama Moscow. Serikali ya Urusi yawapa hifadhi kuishi humo kwa muda wote.
Ukiona Nyani mjini ujue ana mtuwe.Assad na familia yake wamefika salama Moscow. Serikali ya Urusi yawapa hifadhi kuishi humo kwa muda wote.
Hahaha.....labda Rasilimali ziishe zote. Ila kama bado zipo endelea kuomba Mungu.I hope siku moja, hiki kilichompata Bashar Assad, kiwakute ma ccm,
Hayaitwi hivy, yanaitwa 'Machumachuma'Kwa hiyo yale ma s-300/400 yameshindwa kazi...?